Doa jeusi kwenye koti jeupe siku ya 100Mtihani kwa Pombe. Yetu masikio
Huo ni utovu mkubwa na ukiukwaji mkubwa wa maadili ya kaziAlichokifanya ni sawa na polisi kuwapigia simu wahalifu kuwa kesho kutakuwa na msako
Na yeyote anayefanya hivyo ana maslahi kwenye jambo husikaHuo ni utovu mkubwa na ukiukwaji mkubwa wa maadili ya kazi
Litakuwa doa kubwa sana na litaharibu rekodi yake ya siku 100 za kwanzaNdugu zangu Hapo hakuna hatua yoyote atayo chukuliwa huyo bwana msaliti naomba tusiharibu mabando yetu bure.
Kweli kabisa mkuu kama tunavyo shuhudia huyo muhongoNa yeyote anayefanya hivyo ana maslahi kwenye jambo husika
Huyu lazima awajibishwe tu na hapo bado hatujaingia mjengoni kufurumua issue ya escrowHuyu profesa anahujumiwa kuliko mawaziri wote na hiyo inatokana na utendaji wake wa kazi.. Mh Magufuli ukikubali hili utaendeshwa sana kama jk mawaziri wako wote wataonekana wabaya.. Kaza buti hapa kazi tu
Yaani ccm ni watu wa ajabu sana ebu ref mazombie wa zenji ndio utavunjika mbavuKwahiyo hata ule ujumbe wa simu ulitumwa na wabaya wake kupitia simu yake binafsi? Kweli jamaa wamedhamiria
Kosa kubwa sana hilo maana ni kuvujisha siri za ofisi na hilo ndio linatikwa kumuondoa kaziniNaona Mnamukumu Mhongo hata hamjui meseji iliandikwaje acheni ushabiki wa kupitiliza , inabidi kufikiri kabla ya kusema . Je kama itaandikwa kuwa Mhe. Waziri Mkuu anakuja huko kesho ni kosa?
Muhongo ni mboa nchiHivi safari hii anapanda ndege class gani ?? Maana kwenye awamu ya Jakaya alikataa kupanda ndege kwenda EGYPT kisa haikua FIRST CLASS
Membe alimpa dongo kwamba anafukuza kwa sababu yeye hajawateau ,sasa ngoja tuone nani mkweli kati ya Membe na Magufuli
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh naona wewe ni mwanawe muhongo unahofia kukosa mkate wa kila sikuKundi la majipu ndio linalokaa chini kutaka Mheshimiwa Mhongo aondolewe na tunamtahadharisha sana Rais asichukue hatua yoyote huyu mtu ni hazina ya taifa yote haya ni kwa kuwa wamedhibitiwa vilivyo na mwaka huu mtaipata kwa wizi wenu mpaka taifa lote litakate, wizi na uzembe viondoke.
Hakuna wakumfikiria mwenzake maana kila mtu kaingia kivyake ili apige madiliSipati picha kwa hiyo speech ya Kigwangalla, Muhongo anamfikiriaje!
mnafiki atajulikana tu subiri tuone watamfanyaje ?muhogo amedhamiria kumdanganya majalwa ili kuikosesha serikali mapato hii evidence inatosha simba anaweza kula wanyama wengine kwa uhodari ,inapokuja zamu ya kumla simba mwezie mtihani !***********************************************
....mna macho lakini hamuoni...
Ni wapi ambapo palitumbuliwa pakakosa A REAL EVIDENCE?&FACTS OR LIVES!
Unafiki ni mbaya sana !
Mkuu achana nao hao wapambe, atakiwe na UN aache kutulia huko, aje afanye kampeni jua kali vumbi kuhonga wapiga kura, kukimbizana usiku wa manane, kutafuta ubunge? Au kuwa mbunge nchi hii ni kigezo cha kuingia mbinguni?
Yawezekana kweli?Hakuna wakumfikiria mwenzake maana kila mtu kaingia kivyake ili apige madili
Pamoja yote yalotukia huko nyuma kuhusu huyu mtu, mkulu hakusikia wala kuona, tusubir Na tuone hatua gani atachukua dhidi yake