Uvujishaji siri za Serikali: Profesa Muhongo mtegoni

Uvujishaji siri za Serikali: Profesa Muhongo mtegoni

12669658_1237775639585288_978554263339994292_n.jpg

Haya kumekucha Prof Muhongo matatani tena ahusika na kumtumia meseji yule mama mkurugenzi wa wakala wa vipimo.Mkurugenzi amtaja live uliambiwa hili ni jipu, ukakataa linakutumbukia asubuhi mapema.

Kazi kwako sasa
Hooooooooooo
 
muongo ajifichi ata siku ya uongo. Tulipiga kelele Sana kuhusu uteuzi wa huyu bwana lakini maccm yalisema tuna chuki. Wakaenda mbali zaidi yakasema hakuna hazina tulionayo kama bwana muongo. Sasa limeoza lenyewe hili dawa ni kuliwekea spirit Tu.



Tatizo la Bwana Mkubwa ukimpinga unanekana wewe ni Jipu....
 
Jamani jinamizi likikuandama halikuachi mpaka utubu dhambi ya awali. ESCROW alinasa akanasuliwa je hili mafuta atatokea wapi? Nani atamsafish? Kma sio eneo lake la kazi ilikuwaje atoe agizo la kufunguliwa pump? Hii nchi ( njii hii) kweli ni mazingaombwe.

Inanikumbusha habari ya jamaa mmoja alikuwa na katabia ka udokozi katika nyumba ya kuabudia. Alidokoa mpaka watu wakamstukia wakamkata. Ijulikane kwamba yeye ndio alikuwa ameaminiwa na waumini wote na kupewa jukumu la kusimamia ukusanyaji nakutoa report kila wiki kabla ya kuzikabidhi ngazi za juu.

Mara ya kwanza alipokamatwa aliomba msamaha viingozi wakamsamehe wakayamaliza kimyakimya lakini akaachwa aendelee na majukumu yake. Panya ni panya tu. Baada ya muda mfupi tu akarudia tena kale kamchezo.

Waumini wakastuka tena.Mbona mambo kama yamejirudia? Wakaweka mtego tena. Hii siku aliiba kumbe kaiba fedha iliyokuwa chambo. akanaswa red handed! Hakuwa na la kusema kawa mdogo kuliko piriton tablet.

Kachukua tu simu yake kamtumia mshirika wake msg "Wamenikamata tena" Tangu siku ile hakuonekana tena katika nnyumba ile ya kuabudia. Alihama mtaa kimyakimya kusave aibu. Muhongo jiondor usingoje kupigiwa kelele km wakati wa ESCROW aibu yako.

AIBU AIBU AIBU KWA KIONGOZI
Muhongo ni fisadi tangu utawala wa mkwere na sasa kanaswa,inabidi awajibishwe na huu ni mtihani kwa magu
 
Watu tulisema kumrudisha muhongo nia dhambi kwa watanzania, watu wakamtetea weee, hata wakati sakata la escrow kuna waliomtetea eti anahujumiwa? Khaaa mtu uibe fedha za uma na bado wapambe wanasema unaonewa wivu? Mbaya sana akapewa ubunge na watanzania sisi sijui nani katuroga, leo hii huyu hapa uso kwa uso, sijui wanaompenda kama hata watathubutu kunywa nae chai.
Wamenywea na kuwa wadogo kama piriton,chezea hukumu ya mungu na laana za wapenda haki wewe?
 
Mkuu sisi tumerogwa.... maana hatuwezi walaumu wananchi kwa kumpa ubunge Muhongo wakati wabunge wanaweza mmpa uenyekiti mzee wa nyoka wa makengeza..... sisi tumerogwa..... Muhongo aachie ngazi hii ni aibu.....
Ni aibu kubwa sana mkuu
Cc lizaboni
Cc Ritz
 
yule mama asingekua na ujasiri wa kumtaja, na kama alikua hajui meter hazifanyi kazi kwa nini aiende au amtume mtu akajue sababu ni nini? kuna kitu hapa
 
Na hata kwa maelezo ya PM ni kuwa mita hizo zilifunguliwa siku moja kabla ya ziara yake. Je PM alishaongea na Prof. kumwambia kesho yake atafanya ziara pale? (Kushtukiza??)
Najaribu kuwaza hiyo sms ililenga kuagiza meter zifunguliwe kwa maana gani? Kuepusha soo la PM au Prof kumtaka huyo wakala aifungue haraka ifanye kazi kwa kutokuona mantiki ya kuzizuia kwa kigezo cha malalamiko?
Tujiulize kabla ya ushabiki...
Jibu ni rahisi tuu. Muhongo hafanyi kazi kiuadilifu bali kwa mbinu za kimafia na kuwa inaonyesha ana watu wake wapo ofisi zile kuu ili kuntonya whats going on kila wakati. Na hili la mafuta wanajuana ndio maana yule mama kupata sms hakujiukiza mara mbili bali ni kuagiza mafundi haraka.
Muhongo aweza kuwa zaidi ya tumjuavyo
 
Ni mtazamo tuu!

Mh. Muhongo amekuwa na maadui toka akatae kutoa vitalu vya Gesi kwa baadhi ya "" wenye nazo"

Na hadi anajiuzulu ilikuwa ni fitina za watu ...lakini alipojiuzulu jmosi...jtatu ya next week akarudishwa kwenye kitengo chake cha nishati UN

Kwanini arudishwe UN ? Wanajua jamaa ni kichwa...

Na magufuli kamrudisha pale pale kwa kuwa jamaa ni kichwa...

Sasa naona Fitina zimeanza tena..Naamini 90% magufuli hamfukuza muhongo...

Ni mtazamo tuu wakuu!
 
Jamani jinamizi likikuandama halikuachi mpaka utubu dhambi ya awali. ESCROW alinasa akanasuliwa je hili mafuta atatokea wapi? Nani atamsafish? Kma sio eneo lake la kazi ilikuwaje atoe agizo la kufunguliwa pump? Hii nchi ( njii hii) kweli ni mazingaombwe.

Inanikumbusha habari ya jamaa mmoja alikuwa na katabia ka udokozi katika nyumba ya kuabudia. Alidokoa mpaka watu wakamstukia wakamkata. Ijulikane kwamba yeye ndio alikuwa ameaminiwa na waumini wote na kupewa jukumu la kusimamia ukusanyaji nakutoa report kila wiki kabla ya kuzikabidhi ngazi za juu.

Mara ya kwanza alipokamatwa aliomba msamaha viingozi wakamsamehe wakayamaliza kimyakimya lakini akaachwa aendelee na majukumu yake. Panya ni panya tu. Baada ya muda mfupi tu akarudia tena kale kamchezo.

Waumini wakastuka tena.Mbona mambo kama yamejirudia? Wakaweka mtego tena. Hii siku aliiba kumbe kaiba fedha iliyokuwa chambo. akanaswa red handed! Hakuwa na la kusema kawa mdogo kuliko piriton tablet.

Kachukua tu simu yake kamtumia mshirika wake msg "Wamenikamata tena" Tangu siku ile hakuonekana tena katika nnyumba ile ya kuabudia. Alihama mtaa kimyakimya kusave aibu. Muhongo jiondor usingoje kupigiwa kelele km wakati wa ESCROW aibu yako.

AIBU AIBU AIBU KWA KIONGOZI
All leaders phones are being monitored now...this is just a reminder. ..no more auto mode in the new government...please keep very well informed
 
Hii hali ya Prof Muhongo kukumbwa na wimbi la shutuma ya "danganya danganya" kumbe haikuanza juzi au jana kwenye swala la "kuandika msg kwa Chuwa wa Vipimo na Mizani".Prof kumbe amekuwa sio msema ukweli kwa muda mrefu,na hii inaonekana kwa kauli hii ya Kigwangala wakati wa bunge ktk mjadala wa Escrow,hivi Dr Hamis Kigwangala anapata "ujasiri" gani wa kufanya kazi na mtu "muongo" kama huyu Prof??
Kwa kauli hii ya Dr HK,na shutuma za bandarini za Mama wa Wakala wa Vipimo,Prof Muhongo inabidi wampumzishe tu,hizi tuhuma zinashusha sana imani ya wananchi juu ya huyu waziri,ni kweli jamaa anaongea kwa ujasiri na "academic arrogance" yake,maana hata juzi nilbahatika kukutana nae kwenye Mgodi wa ufuwaji umeme wa Bwawa la Mtera kama mdau wa miradi ya umeme vijijini,lkn hii ya kumtumia mama wa Wakala wa vipimo meseji na kauli hii ya Dr HK wakati wa Escrow inazidi kupunguza imani ya Prof kwa wadau wa maendeleo na uwajibikaji wa pamoja wa serikali.

 
haya mambo yapo kwa viongozi wote hapa tz, sio serikalini tu, hata upinzani.

Siasa za hovyo sana hiziiii
 
Mtihani kwa Magufuli. Hapa lazima aonyeshe uongozi. Japo namkubali sana Muhongo, kama habari hizi ni za kweli, lazima atimuliwe haraka au ajiondoe mwenyewe. Itasaidia sana kuweka trend kwenye uongozi awamu ya tano.

Tayari ameitwa Ikulu na Mkuu wa Kaya; lolote laweza kutokea' ngoja tusubilie
 
Mbona mnakimbilia tu kuona Muhongo amekosea.

Kwani kama ametuma sms kwa kurespond taarifa ya gazeti tatizo hapo ni nini? mbona na Mh PM naye amerespond kwa taarifa hiyo hiyo ya Gazetini?

Kama kumekuwa na madudu hapo bandarini kwa miaka mitano, si Muhongo aliondoka akaingia Simbachawene na Muijage (ambaye ni mtaalamu wa eneo hilo) mbona naye hakung'amua uozo huo mpaka walipotibua Jamhuri?

Muhongo sio aina ya mtu wa kulea upuuzi...na kama alituma sms hakuwa na maana hiyo mnayoishabikia huku.

Pili...siku hizi watu si hucheza tu na mitandao...mara ngapi hata viongozi wakubwa wanaingizwa mkenge na kuishia kukanusha kuwa hawahusiki na taarifa fulani za mitandaoni.

Tuwe na subira tuache ushabiki, Muhongo sio mtoto kwamba akimbilie vyomba vya habari na kujitetea kama mnavyosubiri.
Huyo mama ni wa wizara ya viwanda na biashara siyo ya Muhongo
 
hakuna mtu mwenye mbinu za kulinda mafisadi wakumbwa kama jpm, huyo mm ana wajuuyake lakini watawabishwa wa ngaziyake tu
 
Huu ni upepo tu, utapita na La Plofeseee ataendelea luongoza hiyo secta ya miamba. Maana hakuna mwingine. Mkimkataa Tz UN wanamlilia
 
Back
Top Bottom