Haya yote ni maua ya ccm. Nani hakujua huyu mtu ni mwongo, mdanganyifu asiye na uzalendo hata? Nani hakuona alivyoambatisha vipeperushi fake kwenye utetezi wake bungeni kuwafanya Watanzania wapumbavu na kuendeleza ubabe wa ccm chini ya dolla?
Kila mtu aliona aliyoyfanya kikwte mdau kubwa la ufisadi Tanzania kuwlainda mafisadi wenzake. Magufuli ni ccm ile ile isiyosikia wala kuelewa lolote lihusulo maslahi ya taifa. Watanzania waliguna na kulalamika sana uteuzi wa mawaizri kwa kuwaweka watu ka ma muhongo, mwakyembe ambao ni dhahiri walitakiwa wawe mahakamani ama segerea. Lakin magufuli kwa kiburi hakutaka kuwasikiliza wala kuwajibu kwa staha waandishi wa habari waliohoja swali kwa ajili ya kumkumbusha.
Leo anaona namna baraza lake lilivyo na vibaraka wa ufisadi. Ni sawa na wapiganaji mamluki kutoka kwa jeshi la adui ndani ya kikosi chako. Ndiyo kazi wanafanya hawa. Ku spy mwelekeo na kuwapa mafisadi wenzao ama kupanga hatua za tahadhari ili kuharibu maboresho. Muhogo anatakiwa leo awe amesha ondolewa kwenye uwaziri. Ninashangaa magazeti hayajasema kitu.
Hawa watu ni washirika wa karibu kama si moja kwa moja na uhujumu wa uchumi na jitihada za ukombozi wa taifa.
Muhongo kupiga simu ni dhahiri anajua mchezo mzima na mpango wa serikali kutembelea kitengo aliujua. Angelikuwa si mdau wa hujuma ile, bila shaka angelichukua hatua juu ya suala la metre mara moja. Lakini kwa kumzunguka raisi na waiziri wake mkuu, anajifanya yuko nao machoni, halafu mikono inaoperate the other side. Anaamua kuidanganya serikali kwa kumpigia mdau mwenzake wafungue mita ili kufunika kombe. Upumbavu huu.
Muhongo na watuhumiw awote wa ufirauni wapelekwe mahakamani. Kwa kuwa ccm haina watu wenye sifa za kuongoza serikali, taratibu zifanyike kuwe na serikali shirikishi ya mseto kwa maslahi ya taifa. Kinyume cha hapa, yanayokuja kutokea, bahati nzuri ccm ndiyo watakoanza kuuona moto. Haiwezekani kuwafanya Watanzania taifa zima ni majuha kwa kuw atu mafisadi wanalindwa na jeshi la polisi.