Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Kama UN wanamlilia kwanini anakubali kuja kufanya kazi tanzania na kulipwa ela za madafu?awache kutudanganya sisi watu na akili zetu bhanaHuu ni upepo tu, utapita na La Plofeseee ataendelea luongoza hiyo secta ya miamba. Maana hakuna mwingine. Mkimkataa Tz UN wanamlilia