Sidhani kama Magu ataingia kwenye mtego rahisi namna hiyoNatabiri hivi;
Magufuli na majaliwa watalipotezea hili....
They can not put him responsible....
Mkuu,utabiri wako ni sawa na kutabiri jua kiangazi.Natabiri hivi;
Magufuli na majaliwa watalipotezea hili....
They can not put him responsible....
***********************************************Kauli ya membe inatimia kuwa jpm anawatumbua watumishi ambao hajawateua yeye na tuone atakao wateu yeye majaliwa alisema apewa jina la aliye tuma sms haya kapewa jina waonyeshe misuli sasa
Wewe ndo umekosa point ya kumtetea huyo mtu wako, unadhani serikali inafanya kazi kinyemela eee, hilo jina lako kwanza siwezi shangaaMbona watu wote huwa tunatumiana SMS?, acheni hizo, huyo mama alikosa point ya kujitetea akaona amsingizie mzee wa watu
Mkuu wala usitabiri. Ndo ishakuwa hivyo.Natabiri hivi;
Magufuli na majaliwa watalipotezea hili....
They can not put him responsible....
Wakati yeye ndo alizifunga akiwa waziri kwenye serikali ya utalii wa nje??Government makini haifanyi kazi kwa kukurupuka! Kama kweli Muhongo alikuwa na taarifa za muda mlefu kuwa meter hazifanyi kazi na akaacha waendelee kukisia vipimo hili ni tatizo.
Ila nadhani amepata taarifa za ghafla kuwa kuna meters hazifanyi kazi naye kwa kudhani anatatua tatizo on the sport ndo akaagiza within 24hrs zifanye kazi..
Bila kujua tangu lini hazifanyi kazi na kwa nini...
Huwezi kutoa maagizo ya kazi za serikali kwa sms! Why asingemtumia email ya kikazi?Mbona watu wote huwa tunatumiana SMS?, acheni hizo, huyo mama alikosa point ya kujitetea akaona amsingizie mzee wa watu
Hata sura kwa mbali! !!Nadhani alitaka kumsaidia yule mama MWIJARUBI, naona jina linafanana na jina la kati la mwenyewe Muhongo.
alimtumia sms kumwambia nini?![]()
Haya kumekucha Prof Muhongo matatani tena ahusika na kumtumia meseji yule mama mkurugenzi wa wakala wa vipimo.Mkurugenzi amtaja live uliambiwa hili ni jipu, ukakataa linakutumbukia asubuhi mapema.
Kazi kwako sasa
nasema halifichiki we u meliona halifichikiii....@mzee tupa tupa wa lumumba tafadhali itikiaa(...pembe la ng'ombe...)Halifichiki eeh Halifichiki pembe la ng'ombe