- Feb 10, 2006
- 4,433
- 15,851
Wakuu,
Mtakumbuka mnamo mwezi Machi/Aprili (kama sijakosea) mwenyekiti wa kamati ya Mabadiliko UVCCM Hussein Bashe aliahidi kutuomba JF ushauri juu ya reforms ndani ya chama.
Ametuomba kumpa ushirikiano (kama huna mapendekezo, bora usiandike) katika hili na hivyo naleta rai kwenu ambao mngependa au mpo tayari kutoa ushirikiano kwake (positive and negatives bila kujali itikadi za vyama) juu ya masuala yafuatayo:
Mtakumbuka mnamo mwezi Machi/Aprili (kama sijakosea) mwenyekiti wa kamati ya Mabadiliko UVCCM Hussein Bashe aliahidi kutuomba JF ushauri juu ya reforms ndani ya chama.
Ametuomba kumpa ushirikiano (kama huna mapendekezo, bora usiandike) katika hili na hivyo naleta rai kwenu ambao mngependa au mpo tayari kutoa ushirikiano kwake (positive and negatives bila kujali itikadi za vyama) juu ya masuala yafuatayo:
- Ni yepi mangufu ndani ya UVCCM katika:
- Muundo
- Mfumo wa upataji viongozi
- Mfumo wa mawasiliano wa UVCCM