QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
UVCCM wafanye Outreach kwa Ratiba maalumu. Wawe Independent katika kuendesha mabaraza yao na wafanye kazi kwa karibu zaidi na secretariet ya chama chao.
Uwakilishi wao kwenye kamati kuu ya chama inabidi uongezeka kwa kuzingatia population kubwa ya watanzania ambao ni vijana
Waache kuumarisha magenge ya kihuni na badala yake wawaeke mechanism ya kulea viongozi wa sasa na wa baadae.
Kwa kuwa wana vitega uchumi vya kutosha, basi waanzishe vyuo vya kufundisha makada wao kutoka sehemu zote Tanzania na kuwaingiza kwenye majimbo na wilaya
Tungeni katiba yenye mwanya wa watu kuunda petition pale wanapoona viongozi wao wajuu wanaenda vibaya au kuwa na mwelekeo wa kutumiwa na watu nje ya umoja wa vijana.
Tafsiri Itikadi yenu na muelekeze katika mitaala ya chuo mtakachoanzisha.Tumieni mtaji mkubwa mlio nao kiuchumi kuwekeza na kushinikiza utungaji wa sera zenye maslahi kwa vijana na muwe sharp kuji-associate na hizo sera
Wape umoja wa vijana meno ya kukosoa hata viongozi hadharani na kuwapa nguvu ya kushinikiza kujiuzulu kwa viongozi goi goi ili kurejesha heshima,nguvu na mvuto wa Umoja wenu
Kwa sababu nimepita tu haraka haraka nikaona nitoe mapendekezo ya dhati kabisa labda nikipata muda baaade nitatoa mchango wangu.
Siasa si uadui
hawawezi kuwa independent kwa sababu wao ni tawi katika mti mbovu. Lazima wawe wabovu. Ili UVCCM iwe safi, lazima mti wenyewe uwe safi. Maboresho ambayo wanaweza kufanya, waondoe gamba la kichwani yaani Kikwete. Kisha ndo CCM ifumuliwe upya, mafisadi wote wawekwe kizuizini. Kisha CCM iundwe upya hapo ndipo hayo matawi (UVCCM, UWT, WAZAZI n.k) yataweza kutenda kazi nzuri.
Mimi Quality (Mkuu wa Viwango Tanzania)