UVCCM: Hussein Bashe amjibu Nape kiaina

UVCCM: Hussein Bashe amjibu Nape kiaina

kweli maneno ni kama risasi. kwani risasi ikifyatuliwa ndio imetoka
huwezi irudisha. sasa haya maneno yaliyoandikwa hapa na kada wa uv-ccm
tumeyasoma mmhh. ama kweli sikio la kufa ni lakufa tuu.

mwananchi tahadhari chukua hatua
Kama hile proverb ya kichina inavyotuonya "ulimi ni silaha kubwa sana inaweza kumfanya mtu mmoja alishinde jeshi la askari helfu moja au kumfanya akatwe kichwa kwa dakika yote kutokana na kauli atakayo itoa", huyu jamaa kaaribu Lowassa.
 
Ndugu Hussein Mohammed Bashe bado ananipa wasiwasi kuwa hali za mivutano kule Nzega hajazimaliza............naendelea kuamini hivyo? i know politics na nimesomea and i know what i mean by saying that, kwanza naomba ukane hadharani huna jeraha,vita, kisasi kwenye nafsi yako juu ya uchaguzi wa jimbo la Nzega na mtu yeyote. na hili linalozunguka sasa kwamba ukishindwa wewe kurudi jimboni nzega mnamuanda kijana mwenzio SALIM ALLY wa UDSM kuja kuchukua jimbo 2015 je hili ni kweli?.

-umezungumza kuhusu uchaguzi na wanaccm 2015, mbona wewe tayari unakundi lako kwa ajili ya LOWASA AMA NCHIMBI kuwa rais baada ya Jakaya? mbona unaongoza zengwe la kumuingiza JAMAL KASSIM kuwa mwenyekiti wa Taifa UV-CCM na katika hilo wewe ukiwa kama mhasibu wa kutunza pesa za kampeni na kuwagawiya wapiga kura? sijui unapozungumza hayo unadhani unayofanya wewe wananchi hawaoni ama hawaelewi? na hili mnalopanga la mdogo wako IBRAHIM MOHAMED BASHE kuwa Rais wa UDOM mmefikia wapi? maana naona maandalizi ni makali sana, JUA TU KWAMBA KILA MNALOFANYA NA KUNDI LAKO LINAFAHAMIKA ila natakakusema tu huo ndio mwisho wenu wa kufanya haya madudu yoooooooooooye...yoooote so kila mnaloona mnaweza kufanya fanyeni after muda fulani ndio mwisho wa kundi lenu wote kuwalaghai WATANZANIA.

-UVCCM ambayo wewe ni mjumbe mnakazi kubwa sana kuibadilisha, ila nadhani ndio mnakamilisha muda wenu wa umri kikanuni sitegemei mnaweza CHAKACHUA TENA UMRI MRUDI HAPO, malizeni muda wenu waingine VIJANA WANAOWEZA FANYA KAZI SAWA SAWA KWA MASLAHI YA VIJANA WA TANZANIA, naamini nusu yenu mnaondoka 2012, japo mnapiga debe suala la umri liongezeke ili muendelee kukaa hapo UVCCM kwa maslahi ya kundi lenu, enough is enough.

Ohh my God, naona CCM kuna wakati mugumu wahenga walisema kifo cha mdomo mate hutawanyika. Kuna tatizo ambalo linakikumba chama hicho napata picha kwamba kwenye chama kuna elekea kuwa hakuna maelewano na hamwaminiani.
Ushauri wangu kwa CCM labda mkubali hoja inapokuwa na nguvu muichukue na kuifanyia kazi pasipo kuangalia imetoka kwa nani.
Yale mambo ambayo yana ukweli yapokeeni yafanyieni kazi.

Mwenekiti wa CCM, angalia isije ikawa unapewa ujumbe kiheshima heshima kwa maana navyofahamu watanzania watazunguka huko na huko lakini wakikulenga wewe kukuonyesha aidha uwezo wako ni mdogo au huna kabisa uwezo wa kuongoza chama hicho. lakini hilo utafanikiwa kulitenda endapo utakubali kuchagua timu inayoweza kukusaidia badala ya timu ambayo ipo kwa sababu kuwepo kwako madarakani ndo salama yao timu hiyo siku zote itakusoma usoni nini unataka kusikia na wala siyo kukupa ushauri mzuri.(mara zote mashauri mabovu huangamiza nchi, wakati mashauri bore nchi husitawi).
 
Du! Huko UVCCM hoja huwa zinajadilikaje maana nikimsikia huyu Bashe, heard of Shigela, Malisa na Ridhwani before. Hivi kwa mitizamo hii mngeweza kumn'goa mkoloni kweli ile 1961. Hebu pitieni historia ya Umoja wa Vijana, angalieni historia ya vijana wa enzi zile pamoja na kwamba wengine wamekuja kutusaliti huku mbele. You guys have a problem, big problem.
 
Ndugu Hussein Mohammed Bashe bado ananipa wasiwasi kuwa hali za mivutano kule Nzega hajazimaliza............naendelea kuamini hivyo? i know politics na nimesomea and i know what i mean by saying that, kwanza naomba ukane hadharani huna jeraha,vita, kisasi kwenye nafsi yako juu ya uchaguzi wa jimbo la Nzega na mtu yeyote. na hili linalozunguka sasa kwamba ukishindwa wewe kurudi jimboni nzega mnamuanda kijana mwenzio SALIM ALLY wa UDSM kuja kuchukua jimbo 2015 je hili ni kweli?.

-umezungumza kuhusu uchaguzi na wanaccm 2015, mbona wewe tayari unakundi lako kwa ajili ya LOWASA AMA NCHIMBI kuwa rais baada ya Jakaya? mbona unaongoza zengwe la kumuingiza JAMAL KASSIM kuwa mwenyekiti wa Taifa UV-CCM na katika hilo wewe ukiwa kama mhasibu wa kutunza pesa za kampeni na kuwagawiya wapiga kura? sijui unapozungumza hayo unadhani unayofanya wewe wananchi hawaoni ama hawaelewi? na hili mnalopanga la mdogo wako IBRAHIM MOHAMED BASHE kuwa Rais wa UDOM mmefikia wapi? maana naona maandalizi ni makali sana, JUA TU KWAMBA KILA MNALOFANYA NA KUNDI LAKO LINAFAHAMIKA ila natakakusema tu huo ndio mwisho wenu wa kufanya haya madudu yoooooooooooye...yoooote so kila mnaloona mnaweza kufanya fanyeni after muda fulani ndio mwisho wa kundi lenu wote kuwalaghai WATANZANIA.

-UVCCM ambayo wewe ni mjumbe mnakazi kubwa sana kuibadilisha, ila nadhani ndio mnakamilisha muda wenu wa umri kikanuni sitegemei mnaweza CHAKACHUA TENA UMRI MRUDI HAPO, malizeni muda wenu waingine VIJANA WANAOWEZA FANYA KAZI SAWA SAWA KWA MASLAHI YA VIJANA WA TANZANIA, naamini nusu yenu mnaondoka 2012, japo mnapiga debe suala la umri liongezeke ili muendelee kukaa hapo UVCCM kwa maslahi ya kundi lenu, enough is enough.

Wewe unachuki binafsi.....ingekuwa vema kama ungekuja na logical arguments hapa lakini ulichokujanacho nishutuma ambazo zimeelea na zinakosa mashiko. Bashe kaongea mambo ya msingi sana, na kama wewe ni CCM hiyo ndiyo tiba pekee kwa chama chenu, na sio DRAMA za kujivua gamba. Unachofanya wewe ndio kile alicho address bashe katika hotuba yake acheni kulumbana na kufikiria uchaguzi tu, wakati mna wasahau wanaowachagua na kugeuza majungu mtaji wa kisiasa......jenga hoja kama mwenzio alivyojenga na sio kuja na SIASA ZA MAJI TAKA!
 
Ndugu Hussein M Bashe naona umejitahidi sana kujitetea vizuri i think unasiasa za VISASI/CHUKI/KIGAIDI KAMA MAGAIDI WENGINE sina shaka katika hilo kwa jinsi ulivyojieleza kabla sijakufamisha kidogo SIASA HIZI ZA CCM NA WAPINZANIA, find any book written by MARIO PUZZO kisome ukielewe na ujikosoe mwenyewe kwa hayo uliyoyaeleza then u will change by being a good politician katika siasa za kiafrika.

Bashe naomba nikuulize where were u 1995? unamjua mtu aliyekuwa akiitwa BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE? unaposema utamuunga mkono LOWASA mjue kwanza BABA WA TAIFA LA TANZANIA ndio uzungumze huo upuuzi wako, mwalimu nyerere ukaweza kumsoma na kumjua u will be in a safe side, katika wanasiasa ambao wanawaza kuwa rais wa Tanzania siku za mbele LOWASA NI MMOJA WAPO, WAPO NA WENGINE LAKINI KATIKA HAO WOTE ni yeye alikuwa mmoja wa WASISI WA G-55 ndio maana nakwambia msome kambarage BABA WA TAIFA LA TANZANIA.

Nimezungumza hilo la G-55 katika siasa za leo walikuwa wengi lakini wengi washajiachilia na siasa hizi za sasa maana ni za kizazi cha DOT.COM, sasa jua huyo unayetaka kumsimamia alikuwa ni mmoja wa hilo, unataka mpaka tumfufue Nyerere aje akuambie wewe HUSSEIN M BASHE ujue hilo? mimi naendelea kuamini kila aliyekataliwa na BABA WA TAIFA KATIKA TAIFA HILI LA TANZANIA HAWEZI KUNEEMA NA KUINGIA IKULU HATA SIKU MMOJA DAIMA MILELE AMINA. Umemtaja mzee Malecela vema hata yeye alikataliwa na Baba wa Taifa asingeweza kuigusa ikulu, nchi hii ingewaka moto , IKULU NI MAHALA PATAKATIFU SIO KILA MTU ANAWEZA KUKAA PALE KUWATUMIKIA WATANZANIA.

BASHE nakuuliza swali jingine unadhani kwani mwalimu JULIUS KAMBARAGE NYERERE alimkataa EDWARD maana yeye kwakwe walikuwa watoto akiwaita kwa majina yao , unadhani ni kwanini alimkataa? naomba jibu katika hili......unadhani waTanzania hawajui hili? unajua miiko ya uongozi HUSSEIN M BASHE? historia ya Tanzania ina mambo mengi kuliko nchi yeyote AFRIKA MASHARIKI kama ulikuwa hujui hili jua kuanzia leo.

Bashe jua kwamba BABA WA TAIFA KATIKA KILA ALILOLISIMAMIA KATIKA UHAI WAKE WAPO WATANZANIA WATAYAHESHIMU MAWAZO YAKE DAIMA MILELE, HASA KATIKA KUWAPATA VIONGOZI WA TANZANIA......................katika ninayoamini kama angelikuwa hai Kambarage LOWASA ASINGELIKUWA WAZIRI MKUU, nataka ujue waliokufa wamekufa kiwiliwili roho zao ziko hai na zinaona ndio maana yalitokea yaliyotokea DODOMA 2008 mwezi wa pili.

kuna kukataliwa na kuambiwa bado hujatosha wakati ukifika utapata, sasa LOWASA UNAYETAKA WEWE AWE KIONGOZI WA TANZANIA ALIKATALIWA NA JEMEDARI WA NCHI HII, JAKAYA ALIAMBIWA SUBIRI hakukataliwa wewe haya huyajui................jua kuanzia sasa aliyejitolea uhai wake kuwatumikia waTanzania kiukweli? aliyeacha kazi yake ya mshahara kulikomboa Taifa lake, aliyenusurika kifungo kwa ajili ya uhai wa nchi yake. hayo ni machache tu nakupa kijana Bashe, soma historia ya nchii uijue vizuri usidanganywe na siasa za akina LOWASA,CHENGE, ROSTAM wakidhani vijana wengi wa leo hawajui nchi yao mnajidanganya nyie very funny kumtetea LOWASA bila HAYA AU AIBU katika mipaka ya Tanzania.

narudia tena katika hizi harakati za leo ni yeye peke yake aliyekuwa member wa NEC 1990s-19952s ambaye anapanga kila njama za kuingia IKULU 2015, nakwambia itapasuka ikulu ile vipande vipande na waTanzania tutasali sala hazijawahi saliwa popote ACHA ILE SALA ALIFANYA GOVONOR EDWARD TWINNING ALIPOFUNGA NJIA WANANCHI WASIPITE KIVUKONI PALE, ilimlazimu govonor kwenda kwa SHEIKH IDRISA kuomba, duru zinasema alipiga magoti na kuomba maana ilinyesha mvua haina kikomo maji yalijaa ikulu sehemu nyingine zikiwa salama, sheikh Idrisa leo ndio ule msikiti wa Idrisa unaitwa jina lake.

Hussein Bashe soma siasa ya Tanzania penda kuperuzi mambo yalivyokuwa na yalivyoleo, huwezi leo kutetea waTanzania kwa yanayotokea wakati katika vikao vya chama na jumuiya unacheza karata zako za kuwatetea MAFISADI, liko wazi katika kikao cha DODOMA CHA UVCCM ulikuwa kinara wa kutete mafisadi, kwani hujui VIJIWENI, MISIKITINI, MAKANISANI, VITUO VYA DALADALA, MIJINI NA VIJIJINI KILA MTU ANASEMA LOWASA.......LOWASA......kwa ubaya wa UFISADI, imeenda mbali zaidi ikisemwa hata baadhi ya viongozi wa serikali wanakwamisha maendeleo ya nchi wakipata order toka kwake maana ndio aliowapigia debe kupata hizo nafasi,.

japo naamini mambo yameanza kabadilika sasa, naamini tutaenda pazuri kadri siku zinavyokwenda.

mwisho niseme ni haki yako kikatiba kuunga mkono unachokiamini
 
Ndugu Hussein M Bashe naona umejitahidi sana kujitetea vizuri i think unasiasa za VISASI/CHUKI/KIGAIDI KAMA MAGAIDI WENGINE sina shaka katika hilo kwa jinsi ulivyojieleza kabla sijakufamisha kidogo SIASA HIZI ZA CCM NA WAPINZANIA, find any book written by MARIO PUZZO kisome ukielewe na ujikosoe mwenyewe kwa hayo uliyoyaeleza then u will change by being a good politician katika siasa za kiafrika.

Bashe naomba nikuulize where were u 1995? unamjua mtu aliyekuwa akiitwa BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE? unaposema utamuunga mkono LOWASA mjue kwanza BABA WA TAIFA LA TANZANIA ndio uzungumze huo upuuzi wako, mwalimu nyerere ukaweza kumsoma na kumjua u will be in a safe side, katika wanasiasa ambao wanawaza kuwa rais wa Tanzania siku za mbele LOWASA NI MMOJA WAPO, WAPO NA WENGINE LAKINI KATIKA HAO WOTE ni yeye alikuwa mmoja wa WASISI WA G-55 ndio maana nakwambia msome kambarage BABA WA TAIFA LA TANZANIA.

Nimezungumza hilo la G-55 katika siasa za leo walikuwa wengi lakini wengi washajiachilia na siasa hizi za sasa maana ni za kizazi cha DOT.COM, sasa jua huyo unayetaka kumsimamia alikuwa ni mmoja wa hilo, unataka mpaka tumfufue Nyerere aje akuambie wewe HUSSEIN M BASHE ujue hilo? mimi naendelea kuamini kila aliyekataliwa na BABA WA TAIFA KATIKA TAIFA HILI LA TANZANIA HAWEZI KUNEEMA NA KUINGIA IKULU HATA SIKU MMOJA DAIMA MILELE AMINA. Umemtaja mzee Malecela vema hata yeye alikataliwa na Baba wa Taifa asingeweza kuigusa ikulu, nchi hii ingewaka moto , IKULU NI MAHALA PATAKATIFU SIO KILA MTU ANAWEZA KUKAA PALE KUWATUMIKIA WATANZANIA.

BASHE nakuuliza swali jingine unadhani kwani mwalimu JULIUS KAMBARAGE NYERERE alimkataa EDWARD maana yeye kwakwe walikuwa watoto akiwaita kwa majina yao , unadhani ni kwanini alimkataa? naomba jibu katika hili......unadhani waTanzania hawajui hili? unajua miiko ya uongozi HUSSEIN M BASHE? historia ya Tanzania ina mambo mengi kuliko nchi yeyote AFRIKA MASHARIKI kama ulikuwa hujui hili jua kuanzia leo.

Bashe jua kwamba BABA WA TAIFA KATIKA KILA ALILOLISIMAMIA KATIKA UHAI WAKE WAPO WATANZANIA WATAYAHESHIMU MAWAZO YAKE DAIMA MILELE, HASA KATIKA KUWAPATA VIONGOZI WA TANZANIA......................katika ninayoamini kama angelikuwa hai Kambarage LOWASA ASINGELIKUWA WAZIRI MKUU, nataka ujue waliokufa wamekufa kiwiliwili roho zao ziko hai na zinaona ndio maana yalitokea yaliyotokea DODOMA 2008 mwezi wa pili.

kuna kukataliwa na kuambiwa bado hujatosha wakati ukifika utapata, sasa LOWASA UNAYETAKA WEWE AWE KIONGOZI WA TANZANIA ALIKATALIWA NA JEMEDARI WA NCHI HII, JAKAYA ALIAMBIWA SUBIRI hakukataliwa wewe haya huyajui................jua kuanzia sasa aliyejitolea uhai wake kuwatumikia waTanzania kiukweli? aliyeacha kazi yake ya mshahara kulikomboa Taifa lake, aliyenusurika kifungo kwa ajili ya uhai wa nchi yake. hayo ni machache tu nakupa kijana Bashe, soma historia ya nchii uijue vizuri usidanganywe na siasa za akina LOWASA,CHENGE, ROSTAM wakidhani vijana wengi wa leo hawajui nchi yao mnajidanganya nyie very funny kumtetea LOWASA bila HAYA AU AIBU katika mipaka ya Tanzania.

narudia tena katika hizi harakati za leo ni yeye peke yake aliyekuwa member wa NEC 1990s-19952s ambaye anapanga kila njama za kuingia IKULU 2015, nakwambia itapasuka ikulu ile vipande vipande na waTanzania tutasali sala hazijawahi saliwa popote ACHA ILE SALA ALIFANYA GOVONOR EDWARD TWINNING ALIPOFUNGA NJIA WANANCHI WASIPITE KIVUKONI PALE, ilimlazimu govonor kwenda kwa SHEIKH IDRISA kuomba, duru zinasema alipiga magoti na kuomba maana ilinyesha mvua haina kikomo maji yalijaa ikulu sehemu nyingine zikiwa salama, sheikh Idrisa leo ndio ule msikiti wa Idrisa unaitwa jina lake.

Hussein Bashe soma siasa ya Tanzania penda kuperuzi mambo yalivyokuwa na yalivyoleo, huwezi leo kutetea waTanzania kwa yanayotokea wakati katika vikao vya chama na jumuiya unacheza karata zako za kuwatetea MAFISADI, liko wazi katika kikao cha DODOMA CHA UVCCM ulikuwa kinara wa kutete mafisadi, kwani hujui VIJIWENI, MISIKITINI, MAKANISANI, VITUO VYA DALADALA, MIJINI NA VIJIJINI KILA MTU ANASEMA LOWASA.......LOWASA......kwa ubaya wa UFISADI, imeenda mbali zaidi ikisemwa hata baadhi ya viongozi wa serikali wanakwamisha maendeleo ya nchi wakipata order toka kwake maana ndio aliowapigia debe kupata hizo nafasi,.

japo naamini mambo yameanza kabadilika sasa, naamini tutaenda pazuri kadri siku zinavyokwenda.

mwisho niseme ni haki yako kikatiba kuunga mkono unachokiamini

The Following User Says Thank You to LAMPARD For This Useful Post:

HKigwangalla (Today)​
 
Ndugu Hussein M Bashe naona umejitahidi sana kujitetea vizuri i think unasiasa za VISASI/CHUKI/KIGAIDI KAMA MAGAIDI WENGINE sina shaka katika hilo kwa jinsi ulivyojieleza kabla sijakufamisha kidogo SIASA HIZI ZA CCM NA WAPINZANIA, find any book written by MARIO PUZZO kisome ukielewe na ujikosoe mwenyewe kwa hayo uliyoyaeleza then u will change by being a good politician katika siasa za kiafrika.

Bashe naomba nikuulize where were u 1995? unamjua mtu aliyekuwa akiitwa BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE? unaposema utamuunga mkono LOWASA mjue kwanza BABA WA TAIFA LA TANZANIA ndio uzungumze huo upuuzi wako, mwalimu nyerere ukaweza kumsoma na kumjua u will be in a safe side, katika wanasiasa ambao wanawaza kuwa rais wa Tanzania siku za mbele LOWASA NI MMOJA WAPO, WAPO NA WENGINE LAKINI KATIKA HAO WOTE ni yeye alikuwa mmoja wa WASISI WA G-55 ndio maana nakwambia msome kambarage BABA WA TAIFA LA TANZANIA.

Nimezungumza hilo la G-55 katika siasa za leo walikuwa wengi lakini wengi washajiachilia na siasa hizi za sasa maana ni za kizazi cha DOT.COM, sasa jua huyo unayetaka kumsimamia alikuwa ni mmoja wa hilo, unataka mpaka tumfufue Nyerere aje akuambie wewe HUSSEIN M BASHE ujue hilo? mimi naendelea kuamini kila aliyekataliwa na BABA WA TAIFA KATIKA TAIFA HILI LA TANZANIA HAWEZI KUNEEMA NA KUINGIA IKULU HATA SIKU MMOJA DAIMA MILELE AMINA. Umemtaja mzee Malecela vema hata yeye alikataliwa na Baba wa Taifa asingeweza kuigusa ikulu, nchi hii ingewaka moto , IKULU NI MAHALA PATAKATIFU SIO KILA MTU ANAWEZA KUKAA PALE KUWATUMIKIA WATANZANIA.

BASHE nakuuliza swali jingine unadhani kwani mwalimu JULIUS KAMBARAGE NYERERE alimkataa EDWARD maana yeye kwakwe walikuwa watoto akiwaita kwa majina yao , unadhani ni kwanini alimkataa? naomba jibu katika hili......unadhani waTanzania hawajui hili? unajua miiko ya uongozi HUSSEIN M BASHE? historia ya Tanzania ina mambo mengi kuliko nchi yeyote AFRIKA MASHARIKI kama ulikuwa hujui hili jua kuanzia leo.

Bashe jua kwamba BABA WA TAIFA KATIKA KILA ALILOLISIMAMIA KATIKA UHAI WAKE WAPO WATANZANIA WATAYAHESHIMU MAWAZO YAKE DAIMA MILELE, HASA KATIKA KUWAPATA VIONGOZI WA TANZANIA......................katika ninayoamini kama angelikuwa hai Kambarage LOWASA ASINGELIKUWA WAZIRI MKUU, nataka ujue waliokufa wamekufa kiwiliwili roho zao ziko hai na zinaona ndio maana yalitokea yaliyotokea DODOMA 2008 mwezi wa pili.

kuna kukataliwa na kuambiwa bado hujatosha wakati ukifika utapata, sasa LOWASA UNAYETAKA WEWE AWE KIONGOZI WA TANZANIA ALIKATALIWA NA JEMEDARI WA NCHI HII, JAKAYA ALIAMBIWA SUBIRI hakukataliwa wewe haya huyajui................jua kuanzia sasa aliyejitolea uhai wake kuwatumikia waTanzania kiukweli? aliyeacha kazi yake ya mshahara kulikomboa Taifa lake, aliyenusurika kifungo kwa ajili ya uhai wa nchi yake. hayo ni machache tu nakupa kijana Bashe, soma historia ya nchii uijue vizuri usidanganywe na siasa za akina LOWASA,CHENGE, ROSTAM wakidhani vijana wengi wa leo hawajui nchi yao mnajidanganya nyie very funny kumtetea LOWASA bila HAYA AU AIBU katika mipaka ya Tanzania.

narudia tena katika hizi harakati za leo ni yeye peke yake aliyekuwa member wa NEC 1990s-19952s ambaye anapanga kila njama za kuingia IKULU 2015, nakwambia itapasuka ikulu ile vipande vipande na waTanzania tutasali sala hazijawahi saliwa popote ACHA ILE SALA ALIFANYA GOVONOR EDWARD TWINNING ALIPOFUNGA NJIA WANANCHI WASIPITE KIVUKONI PALE, ilimlazimu govonor kwenda kwa SHEIKH IDRISA kuomba, duru zinasema alipiga magoti na kuomba maana ilinyesha mvua haina kikomo maji yalijaa ikulu sehemu nyingine zikiwa salama, sheikh Idrisa leo ndio ule msikiti wa Idrisa unaitwa jina lake.

Hussein Bashe soma siasa ya Tanzania penda kuperuzi mambo yalivyokuwa na yalivyoleo, huwezi leo kutetea waTanzania kwa yanayotokea wakati katika vikao vya chama na jumuiya unacheza karata zako za kuwatetea MAFISADI, liko wazi katika kikao cha DODOMA CHA UVCCM ulikuwa kinara wa kutete mafisadi, kwani hujui VIJIWENI, MISIKITINI, MAKANISANI, VITUO VYA DALADALA, MIJINI NA VIJIJINI KILA MTU ANASEMA LOWASA.......LOWASA......kwa ubaya wa UFISADI, imeenda mbali zaidi ikisemwa hata baadhi ya viongozi wa serikali wanakwamisha maendeleo ya nchi wakipata order toka kwake maana ndio aliowapigia debe kupata hizo nafasi,.

japo naamini mambo yameanza kabadilika sasa, naamini tutaenda pazuri kadri siku zinavyokwenda.

mwisho niseme ni haki yako kikatiba kuunga mkono unachokiamini

Lampard, Hongera sana kwa kujua historia ya nchi yetu. Mimi umenijuza mengi. Bila shaka na wewe umo ndani ya UVCCM...!

Hotuba ya Ndg yangu Bashe ni nzuri sana, wengine wamehoji kama ana moral authority ya kuongea alichokiongea, wengine wamehoji kama anajenga ama anabomoa, kama analitetea kundi lake ama 'CCM'. Mimi sipendi nimhukumu, Ndg yangu huyu, kwetu kumoja na mchezo wetu mmoja! Kuna mmoja amenifurahisha sana kwa kusema 'judge the message not a messenger!' Tufanye hivyo na sisi wanaCCM tutakisaidia chama chetu na nchi yetu.

Sitaki kuhoji kama Bashe amemlenga Nape ama la, lakini je Nape naye ana kundi lake ndani ya chama na Kigwangalla naye ana kundi lake ndani ya chama ama la? Kitu kikubwa kuliko sisi sote, kuliko makundi yote ni chama na cha muhimu kwa sasa ni kusafisha nyumba yetu na kuiimarisha zaidi ili tuendelee 'kutawala' (kutawala ni neno lililotumika hapa kisomi kama tafsiri ya 'kushika madaraka', 'to rule') - japokuwa misingi ya uongozi kama ilivyo kwenye katiba ya chama chetu iko wazi na inatutaka viongozi wa chama tuwe 'viongozi' kwa maana anayoitaka Bashe katika hotuba yake!

Kwa kiasi kikubwa, Bashe ameweka mtazamo wa kujenga image mpya ya chama kupitia kutatua matatizo ya wananchi kijamii na kiuchumi. Na huu ni mtazamo ulio kwenye vichwa vya wengi wetu ndani ya CCM, japokuwa kuna wengi pia wana taswira tofauti ya kukirudishia chama umaarufu wake ulioanza kushuka. Nao wana haki ya kufanya hayo.

Wakatabahu,
HK.
 
Ndugu Hussein M Bashe naona umejitahidi sana kujitetea vizuri i think unasiasa za VISASI/CHUKI/KIGAIDI KAMA MAGAIDI WENGINE sina shaka katika hilo kwa jinsi ulivyojieleza kabla sijakufamisha kidogo SIASA HIZI ZA CCM NA WAPINZANIA, find any book written by MARIO PUZZO kisome ukielewe na ujikosoe mwenyewe kwa hayo uliyoyaeleza then u will change by being a good politician katika siasa za kiafrika.

Bashe naomba nikuulize where were u 1995? unamjua mtu aliyekuwa akiitwa BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE? unaposema utamuunga mkono LOWASA mjue kwanza BABA WA TAIFA LA TANZANIA ndio uzungumze huo upuuzi wako, mwalimu nyerere ukaweza kumsoma na kumjua u will be in a safe side, katika wanasiasa ambao wanawaza kuwa rais wa Tanzania siku za mbele LOWASA NI MMOJA WAPO, WAPO NA WENGINE LAKINI KATIKA HAO WOTE ni yeye alikuwa mmoja wa WASISI WA G-55 ndio maana nakwambia msome kambarage BABA WA TAIFA LA TANZANIA.

Nimezungumza hilo la G-55 katika siasa za leo walikuwa wengi lakini wengi washajiachilia na siasa hizi za sasa maana ni za kizazi cha DOT.COM, sasa jua huyo unayetaka kumsimamia alikuwa ni mmoja wa hilo, unataka mpaka tumfufue Nyerere aje akuambie wewe HUSSEIN M BASHE ujue hilo? mimi naendelea kuamini kila aliyekataliwa na BABA WA TAIFA KATIKA TAIFA HILI LA TANZANIA HAWEZI KUNEEMA NA KUINGIA IKULU HATA SIKU MMOJA DAIMA MILELE AMINA. Umemtaja mzee Malecela vema hata yeye alikataliwa na Baba wa Taifa asingeweza kuigusa ikulu, nchi hii ingewaka moto , IKULU NI MAHALA PATAKATIFU SIO KILA MTU ANAWEZA KUKAA PALE KUWATUMIKIA WATANZANIA.

BASHE nakuuliza swali jingine unadhani kwani mwalimu JULIUS KAMBARAGE NYERERE alimkataa EDWARD maana yeye kwakwe walikuwa watoto akiwaita kwa majina yao , unadhani ni kwanini alimkataa? naomba jibu katika hili......unadhani waTanzania hawajui hili? unajua miiko ya uongozi HUSSEIN M BASHE? historia ya Tanzania ina mambo mengi kuliko nchi yeyote AFRIKA MASHARIKI kama ulikuwa hujui hili jua kuanzia leo.

Bashe jua kwamba BABA WA TAIFA KATIKA KILA ALILOLISIMAMIA KATIKA UHAI WAKE WAPO WATANZANIA WATAYAHESHIMU MAWAZO YAKE DAIMA MILELE, HASA KATIKA KUWAPATA VIONGOZI WA TANZANIA......................katika ninayoamini kama angelikuwa hai Kambarage LOWASA ASINGELIKUWA WAZIRI MKUU, nataka ujue waliokufa wamekufa kiwiliwili roho zao ziko hai na zinaona ndio maana yalitokea yaliyotokea DODOMA 2008 mwezi wa pili.

kuna kukataliwa na kuambiwa bado hujatosha wakati ukifika utapata, sasa LOWASA UNAYETAKA WEWE AWE KIONGOZI WA TANZANIA ALIKATALIWA NA JEMEDARI WA NCHI HII, JAKAYA ALIAMBIWA SUBIRI hakukataliwa wewe haya huyajui................jua kuanzia sasa aliyejitolea uhai wake kuwatumikia waTanzania kiukweli? aliyeacha kazi yake ya mshahara kulikomboa Taifa lake, aliyenusurika kifungo kwa ajili ya uhai wa nchi yake. hayo ni machache tu nakupa kijana Bashe, soma historia ya nchii uijue vizuri usidanganywe na siasa za akina LOWASA,CHENGE, ROSTAM wakidhani vijana wengi wa leo hawajui nchi yao mnajidanganya nyie very funny kumtetea LOWASA bila HAYA AU AIBU katika mipaka ya Tanzania.

narudia tena katika hizi harakati za leo ni yeye peke yake aliyekuwa member wa NEC 1990s-19952s ambaye anapanga kila njama za kuingia IKULU 2015, nakwambia itapasuka ikulu ile vipande vipande na waTanzania tutasali sala hazijawahi saliwa popote ACHA ILE SALA ALIFANYA GOVONOR EDWARD TWINNING ALIPOFUNGA NJIA WANANCHI WASIPITE KIVUKONI PALE, ilimlazimu govonor kwenda kwa SHEIKH IDRISA kuomba, duru zinasema alipiga magoti na kuomba maana ilinyesha mvua haina kikomo maji yalijaa ikulu sehemu nyingine zikiwa salama, sheikh Idrisa leo ndio ule msikiti wa Idrisa unaitwa jina lake.

Hussein Bashe soma siasa ya Tanzania penda kuperuzi mambo yalivyokuwa na yalivyoleo, huwezi leo kutetea waTanzania kwa yanayotokea wakati katika vikao vya chama na jumuiya unacheza karata zako za kuwatetea MAFISADI, liko wazi katika kikao cha DODOMA CHA UVCCM ulikuwa kinara wa kutete mafisadi, kwani hujui VIJIWENI, MISIKITINI, MAKANISANI, VITUO VYA DALADALA, MIJINI NA VIJIJINI KILA MTU ANASEMA LOWASA.......LOWASA......kwa ubaya wa UFISADI, imeenda mbali zaidi ikisemwa hata baadhi ya viongozi wa serikali wanakwamisha maendeleo ya nchi wakipata order toka kwake maana ndio aliowapigia debe kupata hizo nafasi,.

japo naamini mambo yameanza kabadilika sasa, naamini tutaenda pazuri kadri siku zinavyokwenda.

mwisho niseme ni haki yako kikatiba kuunga mkono unachokiamini.
Wewe nawe ni mpiga porojo tu. Unakuja kutudanganya habari za Baba wa taifa wakati sie wote tulikuwa watu wazima bwana. Labda kama una mpango wa kumdanganya Bashe sawa lakini kama ni mpango wa kusema ukweli, Nyerere aliwakataa mapacha wasio waadilifu wote wawili Lowasa na Kikwete wake.
Ajabu kwa ujanja ujanja wote walipotegeshea kafa wakarudi kwa kurubuni watu kwa pesa iliyoibiwa benki kuu na na ccm yenyewe watu wakaingia mkenge. Asilimia 80% bila kujua wakanyweshwa mafuta ya taa. Sasa matumbo yanachemka unakuja na vijihadithi virefu visivyo na maana kwa watanzania.
Sikiliza, wewe, Chama chako na viongozi wenu hamna uhalali tena wa kuiongoza nchi yetu hii.
 
Lampard, Hongera sana kwa kujua historia ya nchi yetu. Mimi umenijuza mengi. Bila shaka na wewe umo ndani ya UVCCM...!

Hotuba ya Ndg yangu Bashe ni nzuri sana, wengine wamehoji kama ana moral authority ya kuongea alichokiongea, wengine wamehoji kama anajenga ama anabomoa, kama analitetea kundi lake ama 'CCM'. Mimi sipendi nimhukumu, Ndg yangu huyu, kwetu kumoja na mchezo wetu mmoja! Kuna mmoja amenifurahisha sana kwa kusema 'judge the message not a messenger!' Tufanye hivyo na sisi wanaCCM tutakisaidia chama chetu na nchi yetu.

Sitaki kuhoji kama Bashe amemlenga Nape ama la, lakini je Nape naye ana kundi lake ndani ya chama na Kigwangalla naye ana kundi lake ndani ya chama ama la? Kitu kikubwa kuliko sisi sote, kuliko makundi yote ni chama na cha muhimu kwa sasa ni kusafisha nyumba yetu na kuiimarisha zaidi ili tuendelee 'kutawala' (kutawala ni neno lililotumika hapa kisomi kama tafsiri ya 'kushika madaraka', 'to rule') - japokuwa misingi ya uongozi kama ilivyo kwenye katiba ya chama chetu iko wazi na inatutaka viongozi wa chama tuwe 'viongozi' kwa maana anayoitaka Bashe katika hotuba yake!

Kwa kiasi kikubwa, Bashe ameweka mtazamo wa kujenga image mpya ya chama kupitia kutatua matatizo ya wananchi kijamii na kiuchumi. Na huu ni mtazamo ulio kwenye vichwa vya wengi wetu ndani ya CCM, japokuwa kuna wengi pia wana taswira tofauti ya kukirudishia chama umaarufu wake ulioanza kushuka. Nao wana haki ya kufanya hayo.

Wakatabahu,
HK.
Originally Posted by LAMPARD Ndugu Hussein M Bashe naona umejitahidi sana kujitetea vizuri i think unasiasa za VISASI/CHUKI/KIGAIDI KAMA MAGAIDI WENGINE sina shaka katika hilo kwa jinsi ulivyojieleza kabla sijakufamisha kidogo SIASA HIZI ZA CCM NA WAPINZANIA, find any book written by MARIO PUZZO kisome ukielewe na ujikosoe mwenyewe kwa hayo uliyoyaeleza then u will change by being a good politician katika siasa za kiafrika.

Bashe naomba nikuulize where were u 1995? unamjua mtu aliyekuwa akiitwa BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE? unaposema utamuunga mkono LOWASA mjue kwanza BABA WA TAIFA LA TANZANIA ndio uzungumze huo upuuzi wako, mwalimu nyerere ukaweza kumsoma na kumjua u will be in a safe side, katika wanasiasa ambao wanawaza kuwa rais wa Tanzania siku za mbele LOWASA NI MMOJA WAPO, WAPO NA WENGINE LAKINI KATIKA HAO WOTE ni yeye alikuwa mmoja wa WASISI WA G-55 ndio maana nakwambia msome kambarage BABA WA TAIFA LA TANZANIA.

Nimezungumza hilo la G-55 katika siasa za leo walikuwa wengi lakini wengi washajiachilia na siasa hizi za sasa maana ni za kizazi cha DOT.COM, sasa jua huyo unayetaka kumsimamia alikuwa ni mmoja wa hilo, unataka mpaka tumfufue Nyerere aje akuambie wewe HUSSEIN M BASHE ujue hilo? mimi naendelea kuamini kila aliyekataliwa na BABA WA TAIFA KATIKA TAIFA HILI LA TANZANIA HAWEZI KUNEEMA NA KUINGIA IKULU HATA SIKU MMOJA DAIMA MILELE AMINA. Umemtaja mzee Malecela vema hata yeye alikataliwa na Baba wa Taifa asingeweza kuigusa ikulu, nchi hii ingewaka moto , IKULU NI MAHALA PATAKATIFU SIO KILA MTU ANAWEZA KUKAA PALE KUWATUMIKIA WATANZANIA.

BASHE nakuuliza swali jingine unadhani kwani mwalimu JULIUS KAMBARAGE NYERERE alimkataa EDWARD maana yeye kwakwe walikuwa watoto akiwaita kwa majina yao , unadhani ni kwanini alimkataa? naomba jibu katika hili......unadhani waTanzania hawajui hili? unajua miiko ya uongozi HUSSEIN M BASHE? historia ya Tanzania ina mambo mengi kuliko nchi yeyote AFRIKA MASHARIKI kama ulikuwa hujui hili jua kuanzia leo.

Bashe jua kwamba BABA WA TAIFA KATIKA KILA ALILOLISIMAMIA KATIKA UHAI WAKE WAPO WATANZANIA WATAYAHESHIMU MAWAZO YAKE DAIMA MILELE, HASA KATIKA KUWAPATA VIONGOZI WA TANZANIA......................katika ninayoamini kama angelikuwa hai Kambarage LOWASA ASINGELIKUWA WAZIRI MKUU, nataka ujue waliokufa wamekufa kiwiliwili roho zao ziko hai na zinaona ndio maana yalitokea yaliyotokea DODOMA 2008 mwezi wa pili.

kuna kukataliwa na kuambiwa bado hujatosha wakati ukifika utapata, sasa LOWASA UNAYETAKA WEWE AWE KIONGOZI WA TANZANIA ALIKATALIWA NA JEMEDARI WA NCHI HII, JAKAYA ALIAMBIWA SUBIRI hakukataliwa wewe haya huyajui................jua kuanzia sasa aliyejitolea uhai wake kuwatumikia waTanzania kiukweli? aliyeacha kazi yake ya mshahara kulikomboa Taifa lake, aliyenusurika kifungo kwa ajili ya uhai wa nchi yake. hayo ni machache tu nakupa kijana Bashe, soma historia ya nchii uijue vizuri usidanganywe na siasa za akina LOWASA,CHENGE, ROSTAM wakidhani vijana wengi wa leo hawajui nchi yao mnajidanganya nyie very funny kumtetea LOWASA bila HAYA AU AIBU katika mipaka ya Tanzania.

narudia tena katika hizi harakati za leo ni yeye peke yake aliyekuwa member wa NEC 1990s-19952s ambaye anapanga kila njama za kuingia IKULU 2015, nakwambia itapasuka ikulu ile vipande vipande na waTanzania tutasali sala hazijawahi saliwa popote ACHA ILE SALA ALIFANYA GOVONOR EDWARD TWINNING ALIPOFUNGA NJIA WANANCHI WASIPITE KIVUKONI PALE, ilimlazimu govonor kwenda kwa SHEIKH IDRISA kuomba, duru zinasema alipiga magoti na kuomba maana ilinyesha mvua haina kikomo maji yalijaa ikulu sehemu nyingine zikiwa salama, sheikh Idrisa leo ndio ule msikiti wa Idrisa unaitwa jina lake.

Hussein Bashe soma siasa ya Tanzania penda kuperuzi mambo yalivyokuwa na yalivyoleo, huwezi leo kutetea waTanzania kwa yanayotokea wakati katika vikao vya chama na jumuiya unacheza karata zako za kuwatetea MAFISADI, liko wazi katika kikao cha DODOMA CHA UVCCM ulikuwa kinara wa kutete mafisadi, kwani hujui VIJIWENI, MISIKITINI, MAKANISANI, VITUO VYA DALADALA, MIJINI NA VIJIJINI KILA MTU ANASEMA LOWASA.......LOWASA......kwa ubaya wa UFISADI, imeenda mbali zaidi ikisemwa hata baadhi ya viongozi wa serikali wanakwamisha maendeleo ya nchi wakipata order toka kwake maana ndio aliowapigia debe kupata hizo nafasi,.

japo naamini mambo yameanza kabadilika sasa, naamini tutaenda pazuri kadri siku zinavyokwenda.

mwisho niseme ni haki yako kikatiba kuunga mkono unachokiamini

The Following User Says Thank You to LAMPARD For This Useful Post:
HKigwangalla (Today)​
Na wewe nawe?! Hivi kweli kuna sababu gani inayokufanya utoe thenkiyu kwa upupu wa Lampard?
Ama kweli chama cha magamba mna mambo!
 
Bashe aangalie sana, asiwe anasema kweli, vinginevyo watamfukuza kwenye chama chao.
 
KAA LA MOTO.................hizi siasa za Tanzania kwa wewe ikachukua hata miaka 20 kuzisoma na kuzijua, kwangu mimi imechukua 10 years kujifunza na kuzielewa ndio maana sibwatuki bwatuki, NAKUPA NA WEWE KIDOGO TU, KATIKA WA ASISI WA CCM WA MWANZO TU BAADA YA ASP NA TANU KUUNGANA mpaka nakujibu wewe muda huu walioko hai ni WAWILI TU, MMOJA NI YUKO ANAISHI ILALA NA MWINGINE YUKO ZANZIBAR, hawa kila mkutano mkuu wa CCM Taifa LAZIMA WAWEPO, ndio wasisi na bado wako hai...................sasa nakupa changamoto nenda CCM ILALA dodosa bibi huyo anaishi wapi nenda CCM PEMBA dodosa bubu yuko wapi kajifunze HISTORIA YA NCHI HII kwao mimi wananijua na ninawajua nimejifunza mengi kwao na leo nikisikia kitu huwa narudi nyuma kwanza kuperuzi na kupima upepo........................sikurupuki nilisoma SIASA DARASANI lakini nilijua haitoshi ikanibidi kutafiti ok.

KAA LA MOTO am not fool like other fools , am youth with principal,strategies, above all SOLIDARITY AND INTEGRITY which MOST OF VIJANA WA LEO hawana, Tanzania has come so far, we have seen so much but today we will not accept any kind of toucher, marginalize from our fellow Tanzania whether they are rich or poor, blacks or white, north or south, east or west, WE WILL TELL THEM TO REMEMBER HOW FUTURE ARE BUILT IN OUR COUNTRY.

2015 utakapofika utajua mengi KAA LA MOTO hiyo ni MVUA YA RASHA RASHA TU NIMEKUJULISHA WEWE NA WENGINE WASIOJUA NCHI YAO VIZURI.
 
Ndugu Hussein Mohammed Bashe bado ananipa wasiwasi kuwa hali za mivutano kule Nzega hajazimaliza............naendelea kuamini hivyo? i know politics na nimesomea and i know what i mean by saying that, kwanza naomba ukane hadharani huna jeraha,vita, kisasi kwenye nafsi yako juu ya uchaguzi wa jimbo la Nzega na mtu yeyote. na hili linalozunguka sasa kwamba ukishindwa wewe kurudi jimboni nzega mnamuanda kijana mwenzio SALIM ALLY wa UDSM kuja kuchukua jimbo 2015 je hili ni kweli?.

-umezungumza kuhusu uchaguzi na wanaccm 2015, mbona wewe tayari unakundi lako kwa ajili ya LOWASA AMA NCHIMBI kuwa rais baada ya Jakaya? mbona unaongoza zengwe la kumuingiza JAMAL KASSIM kuwa mwenyekiti wa Taifa UV-CCM na katika hilo wewe ukiwa kama mhasibu wa kutunza pesa za kampeni na kuwagawiya wapiga kura? sijui unapozungumza hayo unadhani unayofanya wewe wananchi hawaoni ama hawaelewi? na hili mnalopanga la mdogo wako IBRAHIM MOHAMED BASHE kuwa Rais wa UDOM mmefikia wapi? maana naona maandalizi ni makali sana, JUA TU KWAMBA KILA MNALOFANYA NA KUNDI LAKO LINAFAHAMIKA ila natakakusema tu huo ndio mwisho wenu wa kufanya haya madudu yoooooooooooye...yoooote so kila mnaloona mnaweza kufanya fanyeni after muda fulani ndio mwisho wa kundi lenu wote kuwalaghai WATANZANIA.

-UVCCM ambayo wewe ni mjumbe mnakazi kubwa sana kuibadilisha, ila nadhani ndio mnakamilisha muda wenu wa umri kikanuni sitegemei mnaweza CHAKACHUA TENA UMRI MRUDI HAPO, malizeni muda wenu waingine VIJANA WANAOWEZA FANYA KAZI SAWA SAWA KWA MASLAHI YA VIJANA WA TANZANIA, naamini nusu yenu mnaondoka 2012, japo mnapiga debe suala la umri liongezeke ili muendelee kukaa hapo UVCCM kwa maslahi ya kundi lenu, enough is enough.

:tonguez:Watch-out BOB!!! Hapa panafuka moshi,kundi hili limesheheni watu aina hiyo likiongozwa na mapacha watatu,Dr Nchimbi na akina Bashe hawa ni Maslahi Binafsi GROUP! wapo wengi ktk mtandao wa RCs,DCs,RASs,PSs,Direcors,Ikulu nk USISHANGAE!! Pengine ndio wanaochelewesha hata uteuzi!!! maana ni ADUI ndani ya vyombo dhidi ya ccm ndani ya serkali! Sina uhakika yaliyoandikwa ni ya Bashe!!! UV-CCM iliyopo mdarakani ni tofauti kabisa na zilizopita ni majungu,visasi kama alivyoandika hajafanya analysis ya kina ie. fact findings is inadequate?????? Hali hii ni zao la vua gamba sawa na Mwl aliandika kijaitabu cha TUJISAHIHISHE? TUJIKOSOE???? kwamba ccm legelege itazaa UV-CCM na serkali zot LEGELEGE!!!! in this case who is to be blamed???? Kama kweli ni dhamira ya Bashe basi UV-CCM is a time set Bomb!!!! Hapa tutashuhudia kuvunjwa umoja huo kama ulivyovunjwa enzi za Guninita????Mungu wabariki vijana wate wa TZ regardless their political defaults!!!! in order to build one country,one nation, on community!!!!!:mimba:

THE SILENCE OF OUR FRIENDS DO HURT MORE THAN THE NOISES OF OUR ENEMIES!!!! (dr martin luther king JR):dance:
 
KAA LA MOTO.................hizi siasa za Tanzania kwa wewe ikachukua hata miaka 20 kuzisoma na kuzijua, kwangu mimi imechukua 10 years kujifunza na kuzielewa ndio maana sibwatuki bwatuki, NAKUPA NA WEWE KIDOGO TU, KATIKA WA ASISI WA CCM WA MWANZO TU BAADA YA ASP NA TANU KUUNGANA mpaka nakujibu wewe muda huu walioko hai ni WAWILI TU, MMOJA NI YUKO ANAISHI ILALA NA MWINGINE YUKO ZANZIBAR, hawa kila mkutano mkuu wa CCM Taifa LAZIMA WAWEPO, ndio wasisi na bado wako hai...................sasa nakupa changamoto nenda CCM ILALA dodosa bibi huyo anaishi wapi nenda CCM PEMBA dodosa bubu yuko wapi kajifunze HISTORIA YA NCHI HII kwao mimi wananijua na ninawajua nimejifunza mengi kwao na leo nikisikia kitu huwa narudi nyuma kwanza kuperuzi na kupima upepo........................sikurupuki nilisoma SIASA DARASANI lakini nilijua haitoshi ikanibidi kutafiti ok.

KAA LA MOTO am not fool like other fools , am youth with principal,strategies, above all SOLIDARITY AND INTEGRITY which MOST OF VIJANA WA LEO hawana, Tanzania has come so far, we have seen so much but today we will not accept any kind of toucher, marginalize from our fellow Tanzania whether they are rich or poor, blacks or white, north or south, east or west, WE WILL TELL THEM TO REMEMBER HOW FUTURE ARE BUILT IN OUR COUNTRY.

2015 utakapofika utajua mengi KAA LA MOTO hiyo ni MVUA YA RASHA RASHA TU NIMEKUJULISHA WEWE NA WENGINE WASIOJUA NCHI YAO VIZURI.
Huna lolote wewe! utamdanganyanani kwa hii mikwara yako ya kujifanya unaijua historia ya nchi hii? unamaneno meeengiiiii ya unafiki wa kujifanya unajua kila kitu! u ar u by the way? kwahiyo unataka kutuambia nchi hatakuja kutawaliwa na chama chochote isipokuwa chama cha magamba? eti oooh kuna babu wa pemba na bibi wa ilala! who are they by the way? wao ni miungu? wao ndiyo waliiumba Tanzania? eti oooh naijua siasa za Tanzania kwa miaka 10! so what? unamtisha na kumlingishia nani? Hivi majimbo ya mbeya,iringa,musoma,kawe,ubungo,mwanza,moshi,arusha,singida na maswa yalipoangukia kwenye mikono ya wapinzani,wewe ulikuwa wapi? hao babu yako wa pemba na bibi wa ilala walikuwa wapi? Mkuu jitahidi kusoma alama za nyakati! hiki ni kizazi cha nyoka a.k.a kizazi cha dot.com....humdanganyi mtu hapa kwa historia yako ya wana magamba. Hivi ujui ccm inaelekea kufa na kutokomea mithili ya KANU ya kenya? keep waiting mkuu....
 
Ndugu Hussein M Bashe naona umejitahidi sana kujitetea vizuri i think unasiasa za VISASI/CHUKI/KIGAIDI KAMA MAGAIDI WENGINE sina shaka katika hilo kwa jinsi ulivyojieleza kabla sijakufamisha kidogo SIASA HIZI ZA CCM NA WAPINZANIA, find any book written by MARIO PUZZO kisome ukielewe na ujikosoe mwenyewe kwa hayo uliyoyaeleza then u will change by being a good politician katika siasa za kiafrika

Acha kujikweza wewe! Mario Puzo the novelist, amendika vitabu 11 kati ya hivyo cha The Gold Father ndicho kilichokuwa maarufu, kumbuka kuna hata sinema yake. Kazi zingine za Mario Puzo ni


  1. The Dark Arena (1955)
  2. The Fortunate Pilgrim (1965)
  3. The Runaway Summer of Davie Shaw (1966)
  4. Six Graves to Munich (1967)
  5. The Godfather (1969)
  6. Fools Die (1978)
  7. The Sicilian (1984)
  8. The Fourth K (1991)
  9. The Last Don (1996)
  10. Omertà (2000)
  11. The Family (2001) (kilimaliziwa na mchumba wake baada ya yeye kuwa amekufa Carol Gino)
Asome kipi hapo, achana na blanket statement eti Mario Puzo hakuna mahusiano na siasa zetu za uchwara! Kawadanganye UVCCM si JF
 
Ndugu Hussein Mohammed Bashe bado ananipa wasiwasi kuwa hali za mivutano kule Nzega hajazimaliza............naendelea kuamini hivyo? i know politics na nimesomea and i know what i mean by saying that, kwanza naomba ukane hadharani huna jeraha,vita, kisasi kwenye nafsi yako juu ya uchaguzi wa jimbo la Nzega na mtu yeyote. na hili linalozunguka sasa kwamba ukishindwa wewe kurudi jimboni nzega mnamuanda kijana mwenzio SALIM ALLY wa UDSM kuja kuchukua jimbo 2015 je hili ni kweli?.

-umezungumza kuhusu uchaguzi na wanaccm 2015, mbona wewe tayari unakundi lako kwa ajili ya LOWASA AMA NCHIMBI kuwa rais baada ya Jakaya? mbona unaongoza zengwe la kumuingiza JAMAL KASSIM kuwa mwenyekiti wa Taifa UV-CCM na katika hilo wewe ukiwa kama mhasibu wa kutunza pesa za kampeni na kuwagawiya wapiga kura? sijui unapozungumza hayo unadhani unayofanya wewe wananchi hawaoni ama hawaelewi? na hili mnalopanga la mdogo wako IBRAHIM MOHAMED BASHE kuwa Rais wa UDOM mmefikia wapi? maana naona maandalizi ni makali sana, JUA TU KWAMBA KILA MNALOFANYA NA KUNDI LAKO LINAFAHAMIKA ila natakakusema tu huo ndio mwisho wenu wa kufanya haya madudu yoooooooooooye...yoooote so kila mnaloona mnaweza kufanya fanyeni after muda fulani ndio mwisho wa kundi lenu wote kuwalaghai WATANZANIA.

-UVCCM ambayo wewe ni mjumbe mnakazi kubwa sana kuibadilisha, ila nadhani ndio mnakamilisha muda wenu wa umri kikanuni sitegemei mnaweza CHAKACHUA TENA UMRI MRUDI HAPO, malizeni muda wenu waingine VIJANA WANAOWEZA FANYA KAZI SAWA SAWA KWA MASLAHI YA VIJANA WA TANZANIA, naamini nusu yenu mnaondoka 2012, japo mnapiga debe suala la umri liongezeke ili muendelee kukaa hapo UVCCM kwa maslahi ya kundi lenu, enough is enough.
Siamini unayosema hapa lakini kiongozi makini na mwanasiasa mwelevu ni lazima asaidie watu wenye uwezo kushika madaraka kama anaamini hivyo....uchaguzi wa mwaka 1995 hata Nyerere alitoka butiama kuja kumsimamia mkapa.........na kama unaamini kuwa tunakwenda kanisani na misikitini kwa kuwa mapadri na masheikh wanahubiri matendo mema na wanafata na hivyo tutawakuta mbinguni umepotoka kwa kiwango cha kutisha......sikilizeni maneno yangu na msifate matendo yangu.....bravo hussein kama unayoongea wanasikia wengi na kama kweli unatenda visivyo basi wanaoona ni wachache na hivyo wengi wataelimika kuliko watakaopotea.
 
Maajabu sana katika hii nchni yetu! Rais aliwai kusema kuwa huyu Jamaa si Raia tena alitangaza na nchni nzima mkamsikia, Rais haitendei haki nchni yake hata hii tabia ni magamba inapaswa kuondolewa ndani ya CCM na Ikulu inakuwaje Rais useme kitu alafu kionekane kama kituko!

Ujasiri na Kiapo cha kulinda katiba na mipaka ya Jamhuri ya Tanzania bila woga upo wapi?!
Jamani jamani hii aibu kubwa rais hajapata kusema Hussein sio raia bali chiligati alisema chama kinataka kujiridhisha juu ya tuhuma zilizozushwa na kina samwel na wenziwe
 
Back
Top Bottom