UVCCM: Hussein Bashe amjibu Nape kiaina

UVCCM: Hussein Bashe amjibu Nape kiaina

FMES,

Nikuombe jaribu kuficha hasira zako kwa Lowassa. Haki na Uhuru wa mimi kumuunga mkono LOWASSA akitangaza NIA, na KUTEULIWA na chama changu ni haki yangu ya Kikatiba kama ilivyokuwa haki yako mwaka 2005 kumuunga mkono Mzee Malecela.

Nikuombe uheshimu haki yangu ya kutoa maoni yangu kama wewe ulivyotoa maoni yako ukitaka wagombea wajitokeze..

Leo mimi nimejitokeza openly na kusema ninachokiamini sijaongelea suala la whether Lowassa ana tuhuma ama hapana, tukianza kufukua tuhuma hata mzee wako ana tuhuma za kupokea fedha za EPA kupitia Jeetu Patel lakini hakuna aliekutuhumu kwa wewe kumuunga Mkono 2005 na pale Morogoro zilipoporwa na wezi wakati mama Anne Malecela akizileta kugawia wapiga kura.

Leo hapa nimesema ninachokiamin, come out sema kama Lowassa hana sifa niliyotaja then utakuwa na hoja ukinipa sababu za yeye kutokuwa na uwezo wa kuchapa kazi na ukajenga hoja nitakuelewa.

Tusipige porojo eti Lowassa alimfata Rais na kubembeleza, go and ask Mr. Malecela and he will give u the facts ambazo wengi hawapendi kusikia. Kama Lowassa anahusika na Richmond apelekwe mahakamani, hakuna anayemtetea na wala hilo halina mjadala; mahakama itaamua, kama Lowassa ni mwizi basi ni udhaifu wa mamlaka kutowakamata wezi na kuwapeleka mahakamani. Kama una ushahidi peleka katika authority uje hapa utueleze umepeleka ushahidi wa wizi wa Lowassa na hata mimi nitakuona hero! Tujadili facts mkuu, tusiingilie uhuru wa mtu kuchagua. Nimesema wazi kama chama kitamteua nitampigia kura na nimetoa sababu yangu, na si Lowassa pekee, same applies kwa CDM, wakisimamisha mgombea hawezi kuwa mkamilifu wa kila kitu lakini kila mmoja atahakikisha anampigia kura.

FMES na Wana JF,

Tusipoteze muda mwingi kujadili LOWASSA, huyu kama ana madhambi yake mamlaka husika zitachukua hatua zinazostahili. Nchi yetu ina bahati mbaya tumekumbwa na ugonjwa wa unaoitwa ‘LOWASSA’, tujadili issues za maendeleo.

Nikutoe shaka juu ya jambo moja: Ssina historia ya kuficha wala kutafuna maneno katika jambo ninaloliamini, kama wewe ulifanya kazi ya kutafuta ushahidi juu ya mkataba mbovu wa Richmond, nikupe hongera ulitekeleza wajibu wako kama RAIA mwema. Kama utaongelea UADILIFU, wewe mwenyewe ni zao la UKOSEFU wa UADILIFU wa Viongozi wetu. Suala la RICHMOND ni udhaifu wa mfumo wetu, jambo ambalo mpaka leo linatugharimu kama Taifa. Tumelalamika, tumetuhumu, tumekosoa lakini hatujajadili ufumbuzi wa tatizo lililoleta RICHMOND. Leo ni mwaka wa sita bado tatizo lipo lakini bado tunajadili RICHMOND na LOWASSA.

FMES, don't fool people here, tunafahamu why unakuwa na hasira when it comes to LOWASSA. Ni tatizo la familia yenu na ni makovu ya 2005. Nimalize kwa kusema LOWASSA akiteuliwa na kupitishwa na chama nitamuunga mkono asipoteuliwa na asipopitishwa na chama pia nitaheshimu na kufanya maamuzi kutokana na wakati na mazingira ya wakati huo, hiyo ni imani yangu. Mimi nimesema msimamo wangu na kwa jina langu, wewe come out and sema msimamo wako. Kila mmoja wetu atakuwa na maamuzi yake tuyaheshimu, akini kwa sasa tujadili masuala ya NCHI yetu na tutimize wajibu wetu. Wewe binafsi huna moral authority kuongelea uadilifu bcs your background inaonyesha, lakini hatukuangalii kwa Background yako tunakuangalia wewe na unachosema kwa sasa.

Hussein

Like father like son
Nakumbuka Lowassa wakati anaachia uwaziri mkuu alijaribu kusema kwamba mjengoni ni wengi ila wanamtosa akijaribu kupata huruma ya wabunge na wananchi kwamba wengi ni wachafu yeye asitolewe kama mbuzi wa kafara.

Hapa Bashe naye kaja na gia ya kuonyesha uchafu wa Lowassa na kulinganisha na wa Malecela kila mmoja tutamsema kwa wakati wake ila hilo ulisemalo la wewe kumsupport Lowassa wala halina tatizo katiba inakuruhusu lakini sisi wananchi tunaamini ampendae na kumsupport jambazi ni JAMBAZI.
 
Congratulation Bashe, my worry is ushauri wako utazingatiwa? Kiongozi mkuu hataki ushauri asioupenda na hilo kamrithisha Nape, nadhani umemsikia anachoendelea kufanya Rukwa. Ni heri kumfundisha mnyama kucheza mziki kuliko kumbadili mawazo mpumbavu!!!!!
 
Like father like son
Nakumbuka Lowassa wakati anaachia uwaziri mkuu alijaribu kusema kwamba mjengoni ni wengi ila wanamtosa akijaribu kupata huruma ya wabunge na wananchi kwamba wengi ni wachafu yeye asitolewe kama mbuzi wa kafara.

Hapa Bashe naye kaja na gia ya kuonyesha uchafu wa Lowassa na kulinganisha na wa Malecela kila mmoja tutamsema kwa wakati wake ila hilo ulisemalo la wewe kumsupport Lowassa wala halina tatizo katiba inakuruhusu lakini sisi wananchi tunaamini ampendae na kumsupport jambazi ni JAMBAZI.

- Salute!

William @ NYC, USA.
 
Hussein Bashe, sina tatizo na asili yako kwakuwa nchi hii imekuwa ya hovyo chini ya CCM, imekuwa ya hovyo zaidi tangu aingie madarakani Kikwete ambapo wagiriki, wachina, wabelgini, wakomoro na wangazija wanachuma raslimali za walipakodi kama hawana akili nzuri, usomali wako haunipi shida kabisa we ukipata fursa ya kukamua chini ya CCM kamua mwanawane.

Pili sina tatizo na mbinu unazotumia kupata madaraka makubwa. Kama una wadogo zako vyuoni, misikitini na penginepo wewe endelea tu mradi azma yako iimie maana tangu mlipolivunja azimio la Arusha kila mtu anatumia mbinu anazozijua yeye kupata ulaji.

Lipo jambo moja ambalo unalazimika kulitazama. Majibu yako yamekaa kihuni. Wenzako HUSAMEHE NA KUSAHAU. Haina maana kusamehe halafu unakumbukumbu ya hujuma za miaka sita iliyopita. Unaonekana ni mtu wa visasi, hutufai watanzania na huwafai wana Nzega.

Baya zaidi ni kuwa achana na LOWASSA. Heshima yako itashuka ukiendelea kumtukuza huyu jambazi. Achana nae jijenge kisiasa wewe mwenyewe.
Ni hayo tu

- Ushauri tu wa bure!

William @ NYC, USA.
 


Mjadala umefungwa au! Nachangia kidogo nikiwa nje ya 'family feud'

Ndugu Bashe, Naomba unishahihishe kama nitakuwa nimeelewa baadhi ya mambo kinyume, lengo langu ni kupata ufafanuzi ili kuondoa maneno yasiyo na uthibitisho au utata.
Kwa vile umejitokeza nashukuru endapo utajibu hoja hapo juu na zitokanazo na thread.

1. Wewe umezaliwa Nzega umekulia na kusomea Tanzania ukitumia respources zote kama raia.
Mwaka 2009(kama sijakosea) ukiwa unajiandaa kugombea ubunge ulienda mahakamani ili kupata uraia wa Tanzania.

Swali: Ukiwa unajiamini, ni kwanini ulienda kuomba uraia ili hali ukijua wewe ni raia? Je hapo si kutafuna maneno. Je unajiamini kwa lipi endapo hukuweza kujiamini kwa yanayokuhusu.

2. Kama unajiamini, katika hotuba yako umetumia maneno ' CCM kutokuwa na social justice'.
Tafadhali tufanunulie ni social justice ipi na ushahidi gani unao wewe wa kuonyesha kuwa
social justice haipo ndani ya chama chako.

3. Katika hotuba yako umesema kuwa CCM isijiingize katika majadiliano kama kudai watu fulani
ni mafisadi. Umesema CCM ijikite katika kujibu hoja za wananchi.

Swali: a)Unataka umma uelewe kuwa ufisadi si sehemu ya hoja za wananchi na wana CCM?

b)Je si kweli kuwa ufisadi ndio unaoipunguzia CCM umaarufu na kwamba ni muhimu
kuushughullikia.
c)Kama chama chako hutaki kiongelee ufisadi, utawezeja kuendeleza sera za chama huku
kikundi cha watu wachache ndani ya chama kikihodhi chama na serikali kwa maslahi
binafsi ?

Nipo tayari kusahihishwa.


Mkuu Bashe kuna maswali unatakiwa kutoa majibu muafaka mbona umekimbia ?.
 
Mkuu Bashe kuna maswali unatakiwa kutoa majibu muafaka mbona umekimbia ?.

Subirini kaenda uliza majibu Monduliiiiiii na hata akirudi msitegemee cha ajabu maana hajui hata kuibia majibu mazuri...ukitaka umfaidi Bashe ongea naye ukiwa unasoma majibu toka kwenye sura yake...ila ni jasiri kweli kwani huwa hana mshipa wa aibu kwa kusema uongo
 
B
Alisema leo CCM inaimba Nyimbo za Chadema na akasema Tumeingia katika POLITICAL TRAP ya chadema tunafanyia kazi ya kwao na kuacha ya kwetu 2015 tutaulizwa yakwetu tutakua hatuna majibu, alisema CCM tumekua REACTIVE badala ya PROACTIVE,badala ya kuwa Viongozi sasa Tunaongozwa,

Kumbe wanajua kuwa Chama tawala kinaongozwa???????
 
Subirini kaenda uliza majibu Monduliiiiiii na hata akirudi msitegemee cha ajabu maana hajui hata kuibia majibu mazuri...ukitaka umfaidi Bashe ongea naye ukiwa unasoma majibu toka kwenye sura yake...ila ni jasiri kweli kwani huwa hana mshipa wa aibu kwa kusema uongo

Mkuu Ngisibara

Bashe alidhani JF ni sawa na UVCCM una bwabwaja unapigiwa makofi.

B
Alisema leo CCM inaimba Nyimbo za Chadema na akasema Tumeingia katika POLITICAL TRAP ya chadema tunafanyia kazi ya kwao na kuacha ya kwetu 2015 tutaulizwa yakwetu tutakua hatuna majibu, alisema CCM tumekua REACTIVE badala ya PROACTIVE,badala ya kuwa Viongozi sasa Tunaongozwa,

Kumbe wanajua kuwa Chama tawala kinaongozwa???????

Vijana wa leo bure kabisa nakwambia miaka ya 60s tungekuwa nao hadi leo mkoloni angekuwa ameweka kambi.
 
- Duh! noumaaaaa!

Willie @ NYC, USA.

Nyambala, leta ushahidi kuthibitisha kwamba 'LAMPARD' ni 'hkigwangalla'

FYI, I have never hidden my identity kwenye hizi public forums hata mara moja, hivyo mimi huongea my mind na nikitaka nihukumiwe kwa kauli yangu...I am not like you bro!
 
Ndugu Hussein Mohammed Bashe bado ananipa wasiwasi kuwa hali za mivutano kule Nzega hajazimaliza............naendelea kuamini hivyo? i know politics na nimesomea and i know what i mean by saying that, kwanza naomba ukane hadharani huna jeraha,vita, kisasi kwenye nafsi yako juu ya uchaguzi wa jimbo la Nzega na mtu yeyote. na hili linalozunguka sasa kwamba ukishindwa wewe kurudi jimboni nzega mnamuanda kijana mwenzio SALIM ALLY wa UDSM kuja kuchukua jimbo 2015 je hili ni kweli?.

-umezungumza kuhusu uchaguzi na wanaccm 2015, mbona wewe tayari unakundi lako kwa ajili ya LOWASA AMA NCHIMBI kuwa rais baada ya Jakaya? mbona unaongoza zengwe la kumuingiza JAMAL KASSIM kuwa mwenyekiti wa Taifa UV-CCM na katika hilo wewe ukiwa kama mhasibu wa kutunza pesa za kampeni na kuwagawiya wapiga kura? sijui unapozungumza hayo unadhani unayofanya wewe wananchi hawaoni ama hawaelewi? na hili mnalopanga la mdogo wako IBRAHIM MOHAMED BASHE kuwa Rais wa UDOM mmefikia wapi? maana naona maandalizi ni makali sana, JUA TU KWAMBA KILA MNALOFANYA NA KUNDI LAKO LINAFAHAMIKA ila natakakusema tu huo ndio mwisho wenu wa kufanya haya madudu yoooooooooooye...yoooote so kila mnaloona mnaweza kufanya fanyeni after muda fulani ndio mwisho wa kundi lenu wote kuwalaghai WATANZANIA.

-UVCCM ambayo wewe ni mjumbe mnakazi kubwa sana kuibadilisha, ila nadhani ndio mnakamilisha muda wenu wa umri kikanuni sitegemei mnaweza CHAKACHUA TENA UMRI MRUDI HAPO, malizeni muda wenu waingine VIJANA WANAOWEZA FANYA KAZI SAWA SAWA KWA MASLAHI YA VIJANA WA TANZANIA, naamini nusu yenu mnaondoka 2012, japo mnapiga debe suala la umri liongezeke ili muendelee kukaa hapo UVCCM kwa maslahi ya kundi lenu, enough is enough.


Sijawahi kufikiri kwamba ndani ya chama cha Magamba kuna viumbe vimesalia na Busara zao, Ahsante kwa kumwelimisha huyo chali.:majani7:
 
Ndugu Hussein Mohammed Bashe bado ananipa wasiwasi kuwa hali za mivutano kule Nzega hajazimaliza............naendelea kuamini hivyo? i know politics na nimesomea and i know what i mean by saying that, kwanza naomba ukane hadharani huna jeraha,vita, kisasi kwenye nafsi yako juu ya uchaguzi wa jimbo la Nzega na mtu yeyote. na hili linalozunguka sasa kwamba ukishindwa wewe kurudi jimboni nzega mnamuanda kijana mwenzio SALIM ALLY wa UDSM kuja kuchukua jimbo 2015 je hili ni kweli?.

-umezungumza kuhusu uchaguzi na wanaccm 2015, mbona wewe tayari unakundi lako kwa ajili ya LOWASA AMA NCHIMBI kuwa rais baada ya Jakaya? mbona unaongoza zengwe la kumuingiza JAMAL KASSIM kuwa mwenyekiti wa Taifa UV-CCM na katika hilo wewe ukiwa kama mhasibu wa kutunza pesa za kampeni na kuwagawiya wapiga kura? sijui unapozungumza hayo unadhani unayofanya wewe wananchi hawaoni ama hawaelewi? na hili mnalopanga la mdogo wako IBRAHIM MOHAMED BASHE kuwa Rais wa UDOM mmefikia wapi? maana naona maandalizi ni makali sana, JUA TU KWAMBA KILA MNALOFANYA NA KUNDI LAKO LINAFAHAMIKA ila natakakusema tu huo ndio mwisho wenu wa kufanya haya madudu yoooooooooooye...yoooote so kila mnaloona mnaweza kufanya fanyeni after muda fulani ndio mwisho wa kundi lenu wote kuwalaghai WATANZANIA.

-UVCCM ambayo wewe ni mjumbe mnakazi kubwa sana kuibadilisha, ila nadhani ndio mnakamilisha muda wenu wa umri kikanuni sitegemei mnaweza CHAKACHUA TENA UMRI MRUDI HAPO, malizeni muda wenu waingine VIJANA WANAOWEZA FANYA KAZI SAWA SAWA KWA MASLAHI YA VIJANA WA TANZANIA, naamini nusu yenu mnaondoka 2012, japo mnapiga debe suala la umri liongezeke ili muendelee kukaa hapo UVCCM kwa maslahi ya kundi lenu, enough is enough.


Haya sasa ni mengine!!! kama sisi binadamu tungepewa nafasi ya kutoa hukumu siku ya mwisho(kiama) pasingetosha ili mradi tu kumalizana.
Kweli kundi lake ni baya lakini kuna uwezekano yeye asiwe hivyo!! nahisi anatumika tu. Anatia huruma masikini lkn hajui afanyeje. Kweli rafiki ya mwizi siku zote naye mwizi hataka kama hajawahi kuiba.
 
Basha amenena kweli kumbe matatizo wanayajua sasa wanakusanya maoni ya nini!!
 
Mjadala Ulikuwa Mzuri sana

Asante Hussein Bashe
 
mr Bashe umechelewa sanaaa!
Kwa sasa mshaurini muheshimiwa aachie ngazi tu!
ili CCM Ijivue gamba kiukweli!
Hapo tena baada ya kutubu ndipo muombe ridhaa kwa wananchi!
Maneno yako si matamu zaidi ya kuondoa umaskini ujinga na maradhi si matamu zaidi ya maisha bora kwa KILA mtanzania!
Leo watanzania wameona hayana mashiko bali ni usanii kama unaouleta sasa!
dawa kaeni pembei lmuangalie mlipo jikwaa, kisha mrudi muwaombe radhi wananchi wakiwasamehe mtapewa ridhaa tena!
kama ni gari is beyond economic repair!
Muda utasema.
 




- Mheshimiwa Bashe, heshima yako sana; kwanza kabisa ningekuomba ufungue mjadala wa Malecela, ili tuweze kujadili huu mjadala wako bila ya kutoka nje ya mada: HOWEVER nitajaribu kukusaidia kwa kutoka nje kidogo ya mada: Malecela amekua kiongozi wa taifa toka akiwa na umri mdogo sana wa miaka 22, alianza na u-DC Tukuyu, sasa tizama kwamba katika miaka yote ya utumishi wake kwa taifa wewe na wanaokutuma hapa yaani MAPACHA WATATU, mlichonacho ni EPA over him? Kwa hiyo unasema Malecela amekuwa muaminifu huko nyuma kote, isipokuwa akiwa mwishoni mwa utumishi wake kwa taifa, ndio kwa mara ya kwanza taama ya kuiba tena EPA ndio ikamshika? ha! ha! ha! ha!

William @ NYC, USA.




Mheshimiwa sana William,
Mimi siko upande wa Bashe kabisa kwa kuwa yeye ni mshiriki wa chama magamba kama wewe, chama kilichotufikisha kwenye malumbano haya. Chama kilichokuwa kikisema kuwa hakuna mafisadi katika chama na baadaye kukili wako. Chama kisichosimamia kauli zake na hivyo kupoteza imani kwetu.
Ninanachohitaji kusema hapa ni kauli yako ya kumtetea baba yako. Ukweli ni kwamba pamoja na kwamba yeye ameanza utumishi wa serikali akiwa na miaka 22 haimuondoi kwenye hatia za ufisadi. Ukweli kabisa ni kwamba baba yako akiwa waziri mkuu kuna maeneo alishiriki au alishirikiana na mafisadi wa wakati wake. Hakuwa msafi kama unavyotaka kutuaminisha. Bahati nzuri mzee wako kawa waziri mkuu wakati nikiwa mtu mzima na ninamfahamu vema. Yawezekana hujui, Amini hakuwa msafi na Mungu anajua hakuwa msafi! Nitasema ukweli daima fitina kwangu mwiko.
Tuendelee na hoja iliyo ukutani!
 
KAA LA MOTO.................hizi siasa za Tanzania kwa wewe ikachukua hata miaka 20 kuzisoma na kuzijua, kwangu mimi imechukua 10 years kujifunza na kuzielewa ndio maana sibwatuki bwatuki, NAKUPA NA WEWE KIDOGO TU, KATIKA WA ASISI WA CCM WA MWANZO TU BAADA YA ASP NA TANU KUUNGANA mpaka nakujibu wewe muda huu walioko hai ni WAWILI TU, MMOJA NI YUKO ANAISHI ILALA NA MWINGINE YUKO ZANZIBAR, hawa kila mkutano mkuu wa CCM Taifa LAZIMA WAWEPO, ndio wasisi na bado wako hai...................sasa nakupa changamoto nenda CCM ILALA dodosa bibi huyo anaishi wapi nenda CCM PEMBA dodosa bubu yuko wapi kajifunze HISTORIA YA NCHI HII kwao mimi wananijua na ninawajua nimejifunza mengi kwao na leo nikisikia kitu huwa narudi nyuma kwanza kuperuzi na kupima upepo........................sikurupuki nilisoma SIASA DARASANI lakini nilijua haitoshi ikanibidi kutafiti ok.

KAA LA MOTO am not fool like other fools , am youth with principal,strategies, above all SOLIDARITY AND INTEGRITY which MOST OF VIJANA WA LEO hawana, Tanzania has come so far, we have seen so much but today we will not accept any kind of toucher, marginalize from our fellow Tanzania whether they are rich or poor, blacks or white, north or south, east or west, WE WILL TELL THEM TO REMEMBER HOW FUTURE ARE BUILT IN OUR COUNTRY.

2015 utakapofika utajua mengi KAA LA MOTO hiyo ni MVUA YA RASHA RASHA TU NIMEKUJULISHA WEWE NA WENGINE WASIOJUA NCHI YAO VIZURI.
Dogo ondoa hapa hadithi za kizamani. FYI mimi ni over 50 kwa hiyo angalau naweza kusimulia yote ninayokumbuka tangu nikiwa TYL miaka ya 1967. Historia ya nchi hii haijawahi kujengwa na watu wawili wa Pemba na Ilala tu unaosema. There many elders walioko huku vijijini wanaofahamu historia ya nchi hii bana. Nina mashaka na elimu yako kama unadhani historia ya nchi hii inajulikana kwa watu wawili tu........ ndio sababu umepoteza mwelekeo.
Ukweli tunaujua woteeee. Sasa kaa chini ufundishwe usijifanye kuwa msomi usiye na kitu bana. Sisi pia tumesoma na tunaendelea kusoma na uzee wetu unasikia?
 
Mheshimiwa sana William,
Mimi siko upande wa Bashe kabisa kwa kuwa yeye ni mshiriki wa chama magamba kama wewe, chama kilichotufikisha kwenye malumbano haya. Chama kilichokuwa kikisema kuwa hakuna mafisadi katika chama na baadaye kukili wako. Chama kisichosimamia kauli zake na hivyo kupoteza imani kwetu.
Ninanachohitaji kusema hapa ni kauli yako ya kumtetea baba yako. Ukweli ni kwamba pamoja na kwamba yeye ameanza utumishi wa serikali akiwa na miaka 22 haimuondoi kwenye hatia za ufisadi. Ukweli kabisa ni kwamba baba yako akiwa waziri mkuu kuna maeneo alishiriki au alishirikiana na mafisadi wa wakati wake. Hakuwa msafi kama unavyotaka kutuaminisha. Bahati nzuri mzee wako kawa waziri mkuu wakati nikiwa mtu mzima na ninamfahamu vema. Yawezekana hujui, Amini hakuwa msafi na Mungu anajua hakuwa msafi! Nitasema ukweli daima fitina kwangu mwiko.
Tuendelee na hoja iliyo ukutani!

- Mkuu huu ni mjadala wa Bashe, wewe baba yako sio msafi na wewe unajua sana kwamba ninajua sana, sasa naomba ufungue mjadala wa baba zetu tuwaongelee wazazi wetu, yaani wangu na wako!, huu ni wa Bashe! Baba yako alipokuwa pale Ubalozini alifanya mengi sana ya ajabu,

- So! utakua mjadala mzuri sana wewe ni kufungua tu thread utakapokua tayari na nifahamishe!

Much Respect!
na Karibu Sana mkuu Wangu!

William @ NYC, USA.
 
Nyambala, leta ushahidi kuthibitisha kwamba 'LAMPARD' ni 'hkigwangalla'

FYI, I have never hidden my identity kwenye hizi public forums hata mara moja, hivyo mimi huongea my mind na nikitaka nihukumiwe kwa kauli yangu...I am not like you bro!

Bwana mdogo unahitaji kuwa makini!!!!!!! huu ndiyo ushauri wangu wa bureeeee kabisa! You can run but you can never hide!
 
- Mkuu huu ni mjadala wa Bashe, wewe baba yako sio msafi na wewe unajua sana kwamba ninajua sana, sasa naomba ufungue mjadala wa baba zetu tuwaongelee wazazi wetu, yaani wangu na wako!, huu ni wa Bashe! Baba yako alipokuwa pale Ubalozini alifanya mengi sana ya ajabu,

- So! utakua mjadala mzuri sana wewe ni kufungua tu thread utakapokua tayari na nifahamishe!

Much Respect!
na Karibu Sana mkuu Wangu!

William @ NYC, USA.
Sawa bana. Msg sent anyaway...........
 
Bashe,

Ondoka CCM kama hupendi vyama vya upinzani ni heri usiwe na chama kama mimi. Utakuwa more objective na utakosoa vizuri sana. Ukisema sasa hivi kila mtu anakufikiria labda tu unawatetea ma-triplets. Kuondoa hayo toka huko tukosoe tukiwa huru. Usije uko-Kolimbwa bure tukapoteza mpiganaji.
 
Back
Top Bottom