hahahahaha
mkuu hapo kama huyo binti ni marehemu mtarajiwa basi wewe hesabu miezi 3 kisha ukacheck afya ili uanze dose mapema lasivyo mmh...!
mhhhh..........Ukizini na dada wa mwenzio, au mama wa mwezio, Ujue mama yako au dada yako nae ataziniwa
Kuna mwanamke ambae nimeanza mahusiano ya kingono nae jana usiku. Tulikwenda gesti kutenda hilo jambo. Sasa kinachoshangaza ni kwamba kabla ya bao la kwanza uume wangu ulianza kujihisi kama vile umechubuka. Demu mwenyewe alikua mkavu kidogo ukeni, nikajaribu kutemea mate ili alainike lakini baada ya mda mfupi ukavu unarudi pale pale na mimi ndio nazidi kuchubuka. Baada ya bao la kwanza, nilikuta tayari kaloa nilipo ingia mara ya pili. Lakini haikudumu. Ni kama vile huyu demu hana unyevu wake mwenyewe wakati anapojamiiana na mwanaume. Sasa leo, maumivu ya mchubuka yametulia, kwahiyo nahisi sii tatizo la kudumu na wala sii gonjwa la zinaa. Ni mara ya kwanza mimi kufanya ngono na mwanamke ambae haloi ukeni ipasavyo. Je, unaweza kunishauri vipi kuhusu hili tatizo na jinsi ya kulitatua?
Mtafanya mwenzenu agongwe na gari kwa mawazo ... ila pole bwana .. raha ya dakika tano ... majuto milele ... kapime tu maana kuambukizwa siyo kufa siku hiyo hiyo
Siku nyingine itakatika kabisa
... kapime tu maana kuambukizwa siyo kufa siku hiyo hiyo
... astaghafirullah!
...yaani hapo umepigilia na msumari kabisaaa, hata ningekuwa mimi siendi kupima tena, na liwalo na liwe!
..kupima ni kujua afya yako!, kuwa hiv +ve si mwisho wa dunia!
...Sahihi kabisa, lini umepima UKIMWI mara ya mwisho?
Yaani ndio nimeMSHANGAA kijana huyu.....kapiga kavu siku ya kwanza?
Well, well, well... what can I say! I practically made up this story (a complete lie) to expose the level of hypocrisy amongst Tanzanians - a nation riddled with AIDS and holier than thou, sanctimonious crap that only serves to ostracize and vilify certain members of the community. How ironic! I find this attitude quite disturbing, patronizing and, to some extent, hilarious. Ive had a mighty good laugh, sardonically, just reading the relentless mudslinging posts on this thread.