Uume hausimami vizuri, naombeni msaada

Uume hausimami vizuri, naombeni msaada

Haina msaada wowote kama uume hauna nguvu kama ni mgeni kwenye maswala ayoo basi ataingia mkenge ila wazoefu tunajua shida ni misuli ya mboo imelegea kwaiyo ata akipaka vumbi bado shida itakuwa kwenye kusimama mboo kisawasawa ili ipitee kwenye uchi
Vumbi linakusaidia kuchelewa tu kumwaga wala siyoo kusaidia uume kusimama vizuri.

Njia nzuri ya kurudisha nguvu ya uume ni mazoezii hasa mazoezi ya kegel yafanye wiki mbili tu misuli ya uume itaanza kurudi polepole ndani ya mwezi utapata matokeo sahihi kabisaa
Mazoezi ya KEGEL ni Aina gani ya Mazoezi??
 
Haina msaada wowote kama uume hauna nguvu kama ni mgeni kwenye maswala ayoo basi ataingia mkenge ila wazoefu tunajua shida ni misuli ya mboo imelegea kwaiyo ata akipaka vumbi bado shida itakuwa kwenye kusimama mboo kisawasawa ili ipitee kwenye uchi
Vumbi linakusaidia kuchelewa tu kumwaga wala siyoo kusaidia uume kusimama vizuri.

Njia nzuri ya kurudisha nguvu ya uume ni mazoezii hasa mazoezi ya kegel yafanye wiki mbili tu misuli ya uume itaanza kurudi polepole ndani ya mwezi utapata matokeo sahihi kabisaa
Mazoezi ya KEGEL ndo yapi hayo mkuu?
 
Ukosefu wa nguvu za kiume ni more of psychological. Itibu fikra yako na ujiamini kwamba uko sawa. Ukijiwekea akilini kwamba una tatizo ndio unaongeza tatizo.

Wapo wanaopiga nyeto huu mwaka wa 20 na show wanapiga kama kawa. Mmojawapo ni mimi.
Tatizo la nguvu zakiume ni more psychological kwa upande wa kuto simamisha au kutosimamisha round ya pili ila sio kwenye kusimamisha legelege hilo ni more physical problem hata uwe psychological stable vipi itakuwa legelegee tu hapo inahitajika physical solutions
 
Mimi nimeanza 2010 mpaka leo nimeshindwa kuacha.Na upo legelege.Huu mchezo sio mzuri Vijana wanaobalehe wanatakiwa wafundishwe BIla kuonewa aibu kusema sijui maadili yatavunjwa.Kama elimu ya UKIMWI ilivyotolewa na Kila mtu yupo makini Sana basi na elimu ya Kujichua itolewe Kwa Vijana wanaanza kubalehe.

Ubaya wa punyeto ukishamaliza kujichua majuto yanaanza.Kuna wakati unatamani Bora ufe au ujiue.
 
Dogo umeupiga mwingi 2014-2023
Ok acha kabisa punyeto, anza kufanya mazoez angalau kilasiku dk30 au 1hr Jitahid mazoez haya sio chini ya miezi 6 au Mwaka, acha kuangalia picha za ngono, kula matunda na vyakula visivyo na mafuta mengi, kula sana tangawizi na matikit mbege za maboga au vitunguu swaumu... baada ya mazoez ya mwez mmoja anza kufanya ngono (performance itakua mbovu usihofu) ila hakikisha baada ya hapo angalau kwa mwezi unafanya ngono isipungue ×3. Wakati wa kufanya ngono punguza presha papara muandae muda mrefu mpenz wako angalau dk15 then endelea... UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI PSYCHOLOGICAL PROBLEM SIO UGONJWA... Hivyo unayeweza kujitibu ni wee mwenyew... Sisi wengine tulipiga sana puri ila athari yake inayotusumbua hadi leo ni kuchelewa kupiz hadi kero dyudyu inasimama muda mrefu bila kupiz...
 
Dogo umeupiga mwingi 2014-2023
Ok acha kabisa punyeto, anza kufanya mazoez angalau kilasiku dk30 au 1hr Jitahid mazoez haya sio chini ya miezi 6 au Mwaka, acha kuangalia picha za ngono, kula matunda na vyakula visivyo na mafuta mengi, kula sana tangawizi na matikit mbege za maboga au vitunguu swaumu... baada ya mazoez ya mwez mmoja anza kufanya ngono (performance itakua mbovu usihofu) ila hakikisha baada ya hapo angalau kwa mwezi unafanya ngono isipungue ×3. Wakati wa kufanya ngono punguza presha papara muandae muda mrefu mpenz wako angalau dk15 then endelea...
Atapona au bado itaendelea
 
Mimi nimeanza 2010 mpaka leo nimeshindwa kuacha.Na upo legelege.Huu mchezo sio mzuri Vijana wanaobalehe wanatakiwa wafundishwe BIla kuonewa aibu kusema sijui maadili yatavunjwa.Kama elimu ya UKIMWI ilivyotolewa na Kila mtu yupo makini Sana basi na elimu ya Kujichua itolewe Kwa Vijana wanaanza kubalehe.

Ubaya wa punyeto ukishamaliza kujichua majuto yanaanza.Kuna wakati unatamani Bora ufe au ujiue.
Kushinda giza, karibisha nuru. Hii ndio njia simple ya kuacha tabia yoyote mbaya
 
Ukosefu wa nguvu za kiume ni more of psychological. Itibu fikra yako na ujiamini kwamba uko sawa. Ukijiwekea akilini kwamba una tatizo ndio unaongeza tatizo.

Wapo wanaopiga nyeto huu mwaka wa 20 na show wanapiga kama kawa. Mmojawapo ni mimi.
huyo anapigaje nyeto au anapinya mishipa kwa nguvu za hali ya juuu watu tunapiga nyeto toka 2001 hadi leo inshu ndio inazidi kukomaa kusimama dede
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom