UTUMISHI: Hakuna nyongeza ya msahahara kwa sasa, tamko la Rais bado linafanyiwa kazi

nimecheka sana eti nyongeza aliyotangaza Rais,hivi nini maana ya kuweka sheria na miongozo lengo si kuzuia matamko kama hayo
 
Tutakutana 2020 nyie mbaki na tegemeo moja tu ka wizi wa kura , sasa hizo mtajiibia wenyewe
 
huyo ndo msema kweli ni mpenzi wa mungu. ndo maana wapinzani wake anawatia pingu midomoni mwao. wafanyakazi awamu hii msitegemee chochote zaidi ya uhakiki.
 
Ha ha ha haaaaa,,, sisi matumishi ya umma nyoko zetu wacha tukome!! Tena namwomba Rais aangalie hata uwezekano wa kupunguza mishahara, kuna watu na vi-diploma na vi-cheti wanachukua mpaka milioni na ushee, huu mshahara sio wao kwa kweli. Mwenye diploma na certificate walipwe laki 3 tu zinawatosha hata kama amaekaa muda mrefu kazini. Punguza mshahara baba huu umewazidi kimo hawa!! Kwa jinsi mitumishi ya umma ilivyombumbu 2019 itaongezwa elfu 20 itapiga kelele za kushangilia hiyoooo!!! Nyoko kabisa wacha tukomeeeee!! Magu,, tunyoooooooshe baba mpaka tushike adabu!!
Una Akili ndogo ww

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Patriotism is the best policy if there's money in it,i was blinded na uzalendo miaka miwili ya mwanzo katika utumishi wangu serikalini ila baadae nimeamka hata wasipoongeza siwezi kuhisi maumivu maana najua wapi nafidia gap ambalo wame-recreate ni wakati sasa watumishi wakajua kua adui yetu wa kwanza ni muajiri wetu hajawahi kutaka kuona tukiwa na maisha bora kama ambavyo anatunyonya basi anagalia nini ufanye kuumpa maumivu nachukia kusikia mtumishi anaacha kazi kisa maslahi naamini hapo ulipo unaweza kufanya kitu mimi siwezi kuacha kazi maana nikikumbuka ile miaka miwili bado nawadai jasho langu,hakuna mtu anaweza kunidanganya kuhusu uzalendo wakati naona wenzangu wananeemeka na keki ya Taifa naamini kua uzalendo ni uwendawazimu tunaopandikizwa ili tuwe masikini hapa dawa ni kua mchwa ili tule wote keki ya Taifa.
 
Na waalimu waliopanda madaraja mwaka jana VIP,hawatapewa mishahara mipya??but mda utaongea.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
hili tamko la ndumbaro linawahusu wale wanaotaka rais aongezewe muda wa kuhudumu au hawapo?
hhhhhaaahha wale huwa wanapewa kupitia hazina yao tofauti na wenzao. Na hata ule wimbo wa kuisoma namba nadhani hauwahusu
 
Quoting masoud kipanya " hard worker hawezi kufanikiwa kimaisha ila smart worker ndo mpango mzima"

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kuna haja ya kuendelea kuwa na kina TUCTA?piga chini
Nilipoajiriwa tu nikasikia ili uwe mwanachama was chama cha wafanyakazi sharti ujaze form,basi me mpaka Leo nazikwepa tu form zao sina mpango nazo maana hawaonyeshi kuwa na msaada.
 
Nilipoajiriwa tu nikasikia ili uwe mwanachama was chama cha wafanyakazi sharti ujaze form,basi me mpaka Leo nazikwepa tu form zao sina mpango nazo maana hawaonyeshi kuwa na msaada.

Unaogopa kujaza ujazwe mkuu

Nothing is easier than blaming others for your own problems
 
mleta uzi umepotosha, nyongeza ya mshahara(annual inrement) ipo, ila mabadiliko ya mishahara ndio yanafanyiwa mchakato. zimebak cku chache utaumbuka mwenyewe, ucje anza kuhamisha magori.

umejibu kwa ujasiri sana unauhakika ndugu???
tutoe hofu basi

2c4da7c678feed5b59ec0dc7ce4c2431.jpg
 
Watumishi wa umma mnalialia nini? Serikali kwa sasa inajikongoja kutafuta vyanzo vya mapato na kuimarisha uchumi wa ndani. Muungeni mkono rais, bila shaka hapo baadae mtanufaika. Besides, kuongeza mshahara kwa wafanyakazi wote nchini ni mchakato mrefu, si kuamka tu kesho mnajaziwa fedha
Umesema ni mchakato mrefu saea. Kwani umeanza jana? Usipotoshe maana humo serekalini wamo watumoshi ambao kazi yao ni hiyo ya kuuchakata huo mchakato.

Pia unasema baadae mambo yatawawia mazuri. Baadae ndio lini na je wanaostaafu kesho inakuwaje? Wewe hujui nini watumishi wanataka.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Halafu kuna watu walikuwa wanamfananisha JK na hili garasa la kanda mavi ya kule ushenzini.... Endeleeni kumuombea

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom