OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,195
- 103,721
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma Dr.Ndumbaro amesema nyongeza ya mshahara iliyotangazwa na rais haitaongezwa kwa sasa kwa kuwa bado inafanyiwa kazi.
Katibu Mkuu alizungumza haya wakati anatoa ufafanuzi juu ya kurejeshwa kazini kwa watumishi waliokata rufaa kutokana na vyeti feki.
MY TAKE
Watumishi wa umma muungeni mkono Rais kwa kufanya kazi, kulilia nyongeza ya mshahara ni kumkwamisha Rais kutumikia watanzania masikini (Natania tu)
Katibu Mkuu alizungumza haya wakati anatoa ufafanuzi juu ya kurejeshwa kazini kwa watumishi waliokata rufaa kutokana na vyeti feki.
MY TAKE
Watumishi wa umma muungeni mkono Rais kwa kufanya kazi, kulilia nyongeza ya mshahara ni kumkwamisha Rais kutumikia watanzania masikini (Natania tu)