Sasa yule wa ewura anabakije kwenye kiti cha kuzunguka? Hivi taasisi ile Ina tija kweli kwa uchumi wetu? Hivi kama hakuna vya kuongeza au kupunguza wana jukumu jingine? Siuoni umuhimu wao na ni bora ingeundwa ewura ya kuwatch bei ya unga na maharage sokoni.