Utumbuaji: Tuache Siasa Kwenye Professionalism, Sio Kila Mtumbuliwa ni Jipu!

"Politics is everything but everyhing is not politics and making everything politics,amount to make everything a failure".

Katika hili la kuzuia kupanda kwa bei ya umeme kwa umbumbu na ujinga wetu,tunasifia maamuzi haya ya wanasiasa lakini hatujiulizi chanzo cha haya yote ni nini na hii shirika limefikaje hapa lilipo leo hii.

Alafu hivi huu mchakato wa kupandisha bei ya umeme ulikuwa wa siri?

Mbona serikali haikusitisha mapema huu mchakato wa kupandisha bei ambao umetumia fedha za serikali(EWURA) na badala yake wanasubiri dakika za mwisho?

Huku si kutafuta sifa za kisiasa tu?

Hivi tunastahili kupongeza hapa?
of
Sometimes huwa nawaza sana kuhusu "evolution na akili zetu!
Brother hapa umenena point ya msingi sana ambayo huwa mara nyingi baada ya maamuzi ya Ikulu huwa ninajiuliza sana, inakuwaje michakato ya kiutendaji imo ndani ya kanuni,sera au scheme of work na watendaji wanaanza mchakato hatua kwa hatua wakati mwingine kwa taarifa na matangazo ya kusudio la utekelezaji wa jambo fulani hatua zote hizi Ikulu inakaa kimya tu mfano suala la sherehe za siku ya ukimwi duniani (kitaifa),sherehe za kuzima mwenge nk matukio yote haya yalikuwa ndani ya kalenda ya utendaji ya serkali lakini maandalizi yalifanywa watu wakatumiwa mialiko na siku moja kabla ya utekelezji ikulu inatoa tamko la kusitisha na hata kuwataka waalikwa wengine kurejesha fedha za ushiriki nk tena katika language inayowaonyesha kama wamezipata fedha hizo kwa hila.Zoezi la kupandisha bei ya umeme hupitia hatua kadhaa ambazo huhusisha mamlaka husika ikiwemo EWURA kutangaza hadharani kusudio la kufanya hivyo haya yote yalizingatiwa na Ikulu ikawa kimya kwa ninI wasingewazuia?zaidi ya yote kwanini Ikulu isitoe MWONGOZO nini inataka na nini hakitakiwi ili watendaji wa serikali nk wajue wazi kuwa yako mambo yakiutendaji ambayo yalikuwa halali (TRADITIONAL) katika serikali zilizopita ila sasa hayatakiwi tena.
 
Wanabodi,

Hili ni angalizo tuu kuhusu utumbuaji majipu wa rais Magufuli, sio kila mtumbuliwa ni jipu, wengine wanatumbuliwa kwa circumstances tuu, wengine wanatumbuliwa for political capitalisation tuu na wengine kweli ni majipu hivyo wanatumbuliwa kihalali.

Hili la kuwatumbua watu maprofession tena wenye weledi wa hali ya juu katika professionals zao for political capitalization, ni udhalilishaji wa hali ya juu wa professional za watu.

Hii ni kufuatia tetesi ya utumbuaji mwingine wa maprofessionals unaotarajiwa kufanywa na Mhe. rais any moment from now.


Nasisitiza Tanzania ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tuwe wakweli kwa kuacha kuingiza siasa kwenye taaluma za watu, kama gharama za uzalishaji umeme per unit ni Kubwa kuliko tozo ya umeme, ukweli ni kwamba umeme lazima upende bei tutake tusitake, hili la Tanesco kuendelea kulishwa kwa spoon feed na serikali huku ikilazimishwa kuuza umeme kwa bei ya hasara, sio sustainable na ni short lived! .

Ili Tanzania tuweze kupiga hatua za kweli za maendeleo na kusonga mbele ni kwanza lazima tuwe wakweli, na pili tuache siasa kwenye kila kitu! .

Let's stop politicizing everything, politicians do politics and leave professionals Alone! .
Heri ya Mwaka Mpya.
Paskali
Acha porojo hii nchi ina watu wengi wasomi watapewa kazi, yeyote atakae leta mazoea lazima aondoke
 
kwanini mkulu hakupinga toka mwanzo na badala yake akuje kumuunga bw.muongo sasa?hakuona mchakato wa vikao kutoka mwanzo na nia ya EWURA Ku raise cost?.Inaweza kuwa political move ya kufufua the deadly influence of someone above!. ndo yaleyale ya wamachinga toka mwanzo wanavunjiwa vibanda mtu fulani anakuja kutoa tamko la kusitisha eviction ya marching guys....
Ninyi hata siwaelewagi....hivi akili zenu zipo wapi...Rais akifanyaga kitu mnakuja humu kua kila kitu anafanya yeye....leo mnakujasema tena alikua wapi...
 
Muhongo kashasema yeye na wizara yake hawakuhusishwa kwa hilo, alafu nyie jamaa mnasema walikuwa wanataarifa before, mbaya zaidi mnaenda mbali zaidi eti na ikulu walikuwa wanataarifa!! Jaribuni kuwa mnaelewa japo kidogo basi.
 
kwanini mkulu hakupinga toka mwanzo na badala yake akuje kumuunga bw.muongo sasa?hakuona mchakato wa vikao kutoka mwanzo na nia ya EWURA Ku raise cost?.Inaweza kuwa political move ya kufufua the deadly influence of someone above!. ndo yaleyale ya wamachinga toka mwanzo wanavunjiwa vibanda mtu fulani anakuja kutoa tamko la kusitisha eviction ya marching guys....

Huu ndiyo ukweli tena ukweli mtupu na huu mwaka nakuombea uwe mzuri sana kwako.
 
Huyu anatakiwa atumbuliwe kabisa waache kula pesa za mafisadi na kuja kusingizia professional...........

Sasa hivi kuna gesi inazalishwap umeme,Tanesco wamefunga Luku karibu kwa watumia 75% sasa hasara inatoka wapi?.........

Wakati mtu akitaka kuunganishiwa umeme ananunua nguzo,vifaa vyote kama mita ananunua sasa hizo garama zinatoka wapi?......

Mchawi ni Tanesco wenyewe waliokubali kuingiza siasa kwenye professional yao kusaini mikataba mibovu kama kuwalipa watu Milioni 400 kwa siku...........

Huyu mkurugenzi huwezi sema hana maslahi wakati umeme ukipanda na tozo yao kama EWURA inapanda pia....

Hawa ndio walisababisha mafuta ya taa yapande bila sababu eti uchakachuaji...

Uchakachuaji unathibitiwa kwa kupandishwa mafuta ya taa?.......

Halafu kichekesho pesa wanayokusanya yote kwenye mafuta,umeme maji ni pesa ya kugawana tu kula kwenye vikao,posho na kuandaa press kwa ajili ya kutoa matamko......

Huyu anatumwa na wezi na wanyonyaji wenye kampuni za kufua umeme tuwe wa kweli hapa Rais akichukua hatua wala siwezi shangaa............

Pasco nakuheshimu sana lakini kama unatetea hawa wasomi wezi sitaungana na wewe...........
Voted as the Best Comment of this Week
 
Wanabodi,

Hili ni angalizo tuu kuhusu utumbuaji majipu wa rais Magufuli, sio kila mtumbuliwa ni jipu, wengine wanatumbuliwa kwa circumstances tuu, wengine wanatumbuliwa for political capitalisation tuu na wengine kweli ni majipu hivyo wanatumbuliwa kihalali.

Hili la kuwatumbua watu maprofession tena wenye weledi wa hali ya juu katika professionals zao for political capitalization, ni udhalilishaji wa hali ya juu wa professional za watu.

Hii ni kufuatia tetesi ya utumbuaji mwingine wa maprofessionals unaotarajiwa kufanywa na Mhe. rais any moment from now.


Nasisitiza Tanzania ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tuwe wakweli kwa kuacha kuingiza siasa kwenye taaluma za watu, kama gharama za uzalishaji umeme per unit ni Kubwa kuliko tozo ya umeme, ukweli ni kwamba umeme lazima upende bei tutake tusitake, hili la Tanesco kuendelea kulishwa kwa spoon feed na serikali huku ikilazimishwa kuuza umeme kwa bei ya hasara, sio sustainable na ni short lived! .

Ili Tanzania tuweze kupiga hatua za kweli za maendeleo na kusonga mbele ni kwanza lazima tuwe wakweli, na pili tuache siasa kwenye kila kitu! .

Let's stop politicizing everything, politicians do politics and leave professionals Alone! .
Heri ya Mwaka Mpya.
Paskali

Nimefurahi sana kumjua moja ya watu wanaovujisha siri za serikali ni mtukufu mwenyewe kwa kuwa "Pascal Mayala" katuthibitishia kuwa mtumbuaji mwenyewe kathibitisha kuea atatumbua hii inatupa mwanga kuwa kumbe hakuna haja ya kuhangaika kushughulika na watu wanaovujisha siri za serikali wakati raisi mwenyewe anaona ni sawa tu kutoa siri zake kwa waandishi

Hakika huu ni udhaifu mkubwa sana kwa mtukufu maana kile kiluchosemwa kama tetesi sasa ni true story kwa 50%
 
Wanabodi,

Hili ni angalizo tuu kuhusu utumbuaji majipu wa rais Magufuli, sio kila mtumbuliwa ni jipu, wengine wanatumbuliwa kwa circumstances tuu, wengine wanatumbuliwa for political capitalisation tuu na wengine kweli ni majipu hivyo wanatumbuliwa kihalali.

Hili la kuwatumbua watu maprofession tena wenye weledi wa hali ya juu katika professionals zao for political capitalization, ni udhalilishaji wa hali ya juu wa professional za watu.

Hii ni kufuatia tetesi ya utumbuaji mwingine wa maprofessionals unaotarajiwa kufanywa na Mhe. rais any moment from now.


Nasisitiza Tanzania ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tuwe wakweli kwa kuacha kuingiza siasa kwenye taaluma za watu, kama gharama za uzalishaji umeme per unit ni Kubwa kuliko tozo ya umeme, ukweli ni kwamba umeme lazima upende bei tutake tusitake, hili la Tanesco kuendelea kulishwa kwa spoon feed na serikali huku ikilazimishwa kuuza umeme kwa bei ya hasara, sio sustainable na ni short lived! .

Ili Tanzania tuweze kupiga hatua za kweli za maendeleo na kusonga mbele ni kwanza lazima tuwe wakweli, na pili tuache siasa kwenye kila kitu! .

Let's stop politicizing everything, politicians do politics and leave professionals Alone! .
Heri ya Mwaka Mpya.
Paskali
Pascal Najua kampuni yako ya ppr ni moja wa wanufaika na menejiment ya mramba. Kwahiyo unatetea maslahi yako. Mbona walipotenguliwa Akina Hosea hakutoa malalamiko Au Mramba Ndiyo professional peke yake?
 
Muhongo kashasema yeye na wizara yake hawakuhusishwa kwa hilo, alafu nyie jamaa mnasema walikuwa wanataarifa before, mbaya zaidi mnaenda mbali zaidi eti na ikulu walikuwa wanataarifa!! Jaribuni kuwa mnaelewa japo kidogo basi.
Sawa mbona walikuwa kimya siku zote?Huku kuviziana ili kupata sifa za kisiasa hakutatusaidi kitu.

Muda utaongea na matokeo mtayaona.
 
Hiyo mikataba haina influence ya wanasiasa?
Usihangaike na mpayukwaji huyo anaongea bora liende,siku shirika likifa hawa hawa wanaibuka na kulaumu.Tanesco yenyewe inabeba mzigo mkubwa sanaaa,ajitokeze Prof muhongo kutueleza gesi imefikia wapi ili tujue imeanza kutumika na tanesco na si kuleta siasa huku shirika likipata hasara zaid na zaid.WAACHE KUCHEZEA PROFESSIONAL sasa.
 
Tatizo la kudumu:mikataba ya umeme wa dharura ya kufua umeme,imekuwa siyo ya dharura,na imekuwa inaiuzia Tanesco umeme kwa bei ya juu.
Kwa nini Tanesco inunue umeme,badala ya kuzalisha umeme wake yenyewe?,
 
Mods huu uzi uunganishwe na ule uzi wa Magufuli au la sivyo nyuzi zetu zilizounganishwa zifumuliwe na kurejeshwa kuwa nyuzi zinazojitegemea....

EWURA wana sifa moja tu....kupandisha bei ya umeme na mafuta.....

Bwana @Pasco na aliyekutuma uje kumtetea hebu njooni na evidence ya kiasi halisi cha gharama ya kuzalisha unit moja ya umeme.

Mtueleze ni lini hizi production costs zilipanda?

Ni kipi kilichopandisha hizo production costs??

Production costs zilipanda kwa kiwango cha asilimia ngapi?

Upandishwaji wa asilimia 8 unamaanisha nini vs ule wa aslimia 18??

Tanesko haipati ruzuku yoyote kutoka serikali kuu??

Madeni yaliyolipwa kwa Tanesko kwa kiwango kikubwa kutoka taasisi za umma kama hospitali yametumiwaje??

Fedha inayokatwa kwenye mauzo ya luku kwenda EWURA inatumika kwa ajili ya nini haswa??? Uongezekaji wa bei ya umeme au mafuta unawafaidishaje EWURA and specifically mabosi wa EWURA?


Mwisho kabisa....tuwekee CV za hao mabosi wa EWURA tuone weledi wao katika Electricity pricing ili kweli uwe na angle ya kuwatetea kama proffesionals.
Umeuliza maswali magumu sana namsubiri @pasco mayalla aje na majibu kwa kila swali otherwise JPM alisema Mayalla kwa ki kwao ni Njaa
 
Wanabodi,

Hili ni angalizo tuu kuhusu utumbuaji majipu wa rais Magufuli, sio kila mtumbuliwa ni jipu, wengine wanatumbuliwa kwa circumstances tuu, wengine wanatumbuliwa for political capitalisation tuu na wengine kweli ni majipu hivyo wanatumbuliwa kihalali.

Hili la kuwatumbua watu maprofession tena wenye weledi wa hali ya juu katika professionals zao for political capitalization, ni udhalilishaji wa hali ya juu wa professional za watu.

Hii ni kufuatia tetesi ya utumbuaji mwingine wa maprofessionals unaotarajiwa kufanywa na Mhe. rais any moment from now.


Nasisitiza Tanzania ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tuwe wakweli kwa kuacha kuingiza siasa kwenye taaluma za watu, kama gharama za uzalishaji umeme per unit ni Kubwa kuliko tozo ya umeme, ukweli ni kwamba umeme lazima upende bei tutake tusitake, hili la Tanesco kuendelea kulishwa kwa spoon feed na serikali huku ikilazimishwa kuuza umeme kwa bei ya hasara, sio sustainable na ni short lived! .

Ili Tanzania tuweze kupiga hatua za kweli za maendeleo na kusonga mbele ni kwanza lazima tuwe wakweli, na pili tuache siasa kwenye kila kitu! .

Let's stop politicizing everything, politicians do politics and leave professionals Alone! .
Heri ya Mwaka Mpya.
Paskali
Huyu aliyetumbiliwa profession yake ni Electricall Engineer Kama sikosei, upangaji wa Bei unaweza kufanywa na expert Kama cost accountant au wachumi.
Pili kuna vitu obvious ambavyo wahusika wange weza kufanya kupunguza mzigo kwa walaji yaani customers .
Tatu vikwazo vikubwa kwa Shirika ni nini ?? Mfano mikataba inayo wa kwanza na juhudi ya kujitoa Huko ukoje?? Kwa kushirikiana na wizara husika kwa mikataba iliyo shinikizwa na Watu nje ya Shirika lenyewe iwe ya iptl , nk
Nne rates za umeme karibu dunia nzima Zipo politically motivated kutegemeana na sera ya nchi ni kuchochea uzalishaji Kama viwanda ni kwenye maeneo yenye kutoa ajira au matumizi ya umeme majumba ni .
Tano huwezi kupandishia bei ya umeme bila waziri husika kujua kwamba bei ya umeme uta ongezeko na hata waziri wa fedha kujua ili kuona impact yake ktk budget kuu ya nchi na effect yake kisiasa .
Haja ya Shirika la tanesco kufanyiwa tathmini na makampuni ya kitaalamu ili kuona Kama muundo wake na idadi ya staff unatija kwa taifa na kwa mlaji , hapo ndipo tunapoweza kuweka professionalism
 
Alafu hivi huu mchakato wa kupandisha bei ya umeme ulikuwa wa siri?

Mbona serikali haikusitisha mapema huu mchakato wa kupandisha bei ambao umetumia fedha za serikali(EWURA) na badala yake wanasubiri dakika za mwisho?

Huku si kutafuta sifa za kisiasa tu?

Hivi tunastahili kupongeza hapa?
What you imply to propose would mean spoon-feeding in the practice of management.
 
Pasco anajaribu kumtisha Rais!!!Hao ma professionals ndio wametufikisha hapa tulipo.
Maprofessionals wamewapa hata watu wa darasa la saba uwezo kuhoji elimu zao.
Mwacheni Rais afanye kazi yake kwa kadiri atakavyoona inafaa,kama mtu anajiona yeye ni mwantaaluma,na hawezi kufanya kazi serikalini aache kazi,wapo watu kibao wana shida ya hizo kazi tena ni wabobezi
 
Huyu anatakiwa atumbuliwe kabisa waache kula pesa za mafisadi na kuja kusingizia professional...........

Sasa hivi kuna gesi inazalishwap umeme,Tanesco wamefunga Luku karibu kwa watumia 75% sasa hasara inatoka wapi?.........

Wakati mtu akitaka kuunganishiwa umeme ananunua nguzo,vifaa vyote kama mita ananunua sasa hizo garama zinatoka wapi?......

Mchawi ni Tanesco wenyewe waliokubali kuingiza siasa kwenye professional yao kusaini mikataba mibovu kama kuwalipa watu Milioni 400 kwa siku...........

Huyu mkurugenzi huwezi sema hana maslahi wakati umeme ukipanda na tozo yao kama EWURA inapanda pia....

Hawa ndio walisababisha mafuta ya taa yapande bila sababu eti uchakachuaji...

Uchakachuaji unathibitiwa kwa kupandishwa mafuta ya taa?.......

Halafu kichekesho pesa wanayokusanya yote kwenye mafuta,umeme maji ni pesa ya kugawana tu kula kwenye vikao,posho na kuandaa press kwa ajili ya kutoa matamko......

Huyu anatumwa na wezi na wanyonyaji wenye kampuni za kufua umeme tuwe wakweli hapa Rais akichukua hatua wala siwezi shangaa............

Pasco nakuheshimu sana lakini kama unatetea hawa wasomi wezi sitaungana na wewe...........
Nmekuelewa coz nlichelewa sana kuelewa,tusipende kutetea vibovu wakati mwingine 7bu hata yai huoza japo linacover
 
Muhongo kashasema yeye na wizara yake hawakuhusishwa kwa hilo, alafu nyie jamaa mnasema walikuwa wanataarifa before, mbaya zaidi mnaenda mbali zaidi eti na ikulu walikuwa wanataarifa!! Jaribuni kuwa mnaelewa japo kidogo basi.
Mkuu Mkarimani, kupandisha bei ya umeme ni process ambayo inapitia hatua zifuatazo
1.Menejiment ya Tanesco inaomba kibali cha kupandisha gharama za umeme kwenye bodi ya Tenasco na kutoa sababu. Hiyo bodi ina serikali ndani yake, na ina ikulu ndani yake, M/Kiti ni mteule wa rais na anawajibika kwa waziri husika.
2. Bodi inapitia maombi, inajiridhisha, inatoa kibali cha kupeleka naombi Ewura, Waziri husika anajulishwa, ikulu inajulishwa.
3. Service provider ambaye ni Tanesco anatuma maombi ya ombi la kuongeza bei ya umeme kwa Ewura akiambatanisha sababu za msingi na mkokotoo wa gharama.
4. Ewura inapokea maombi, inaitisha kikao cha stakeholders kukusanya maoni yao na kufanya upembuzi yakinifu.
5. Ewura inafikia uamuzi inatangaza kusudio kw la kupandisha bei, inaitisha bodi ya Uwura kubariki ongezeko hilo. Ndani ya bodi ya Ewura, serikali imo na ikulu imo. Bodi inabariki uamuzi huo na kuipa Menejiment ya Ewura kutangaza huku waziri husika akihusishwa na ikulu ikitaarifiwa.
6. Ndipo Ewura wanatangaza Bei Mpya za Umeme.
Kwa mchakato huu, mtu akisema baadhi ya maamuzi ya taasisi za serikali ya Magufuli ni shaghala Baghala, tutakuwa tunawaonea? .

Kwa serikali ilijua kabla, ikulu ilijua kabla, kwa vile vyombo vyote hivyo vilipaswa kujua na kuzuia kabla ya kutangazwa ongezeko.

Kama ni kweli ikulu haikujua na serikali haikujua, hii ni gross negligence na wahusika sio Menejiment za Tanesco na Ewura.

Then wahusika ndio wawajibishwe!.

Paskali
 
24 Reactions
Reply
Back
Top Bottom