Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,584
Watu wanaogopa hata kutoa damu nini figo. Hasa mtu akijua hajatulia anaogopa asijeambiwa afya haijatulia.
Wako wa moyoni unaweza kumchangia figo yako?
Watu wanaogopa hata kutoa damu nini figo. Hasa mtu akijua hajatulia anaogopa asijeambiwa afya haijatulia.
Ukweli ukibidi kusemwa, usemwe tu. Mi kwa sasa naona napata tabu hata kufikiria. Na siwezi kujikosha kwa kujipa ujasiri hata niliokuwa sina. Nahofia kuja kunifika then nikaenda kinyume na kauli zangu za majigambo. Mungu atunusuru na haya ila jibu nitakuwa nalo endapo kama yatatokea kwa watu wa karibu nami.
Kutoa figo sawa ila damu kwani mtu atapungukiwa nini??Labda hao unaosema wanaogopa wasijekutwa/julika wana ngoma ndo naweza kuelewa wanachokwepa ni nini!Watu wanaogopa hata kutoa damu nini figo. Hasa mtu akijua hajatulia anaogopa asijeambiwa afya haijatulia.
confirmed.....Kloro is crazy...can anyone help with a new brain for him??? pls call 811
Natoa kwa moyo mmojaWako wa moyoni unaweza kumchangia figo yako?
Juzi kuna kapindi kilinisikitisha kweli!Kuna baba ambae ana tatizo la figo..zimefail kabisa kwahiyo anategemea mashine kuishi!Huyo mzee ana dada na kaka zaidi ya watatu na hamna hata mmoja aliyetaka hata kupima kuona kama wanamatch na ndugu yao achilia mbali kujitolea figo imsaidie!
Ikabidi nijiulize wangapi kati ya ndugu na rafiki zangu wakikutwa na tatizo kama hilo ntakua tayari kujitolea figo yangu moja kusaidia.Wachache ningewapa kwa moyo mkunjufu na wengine ningewapa tu ilimradi!Wewe je?
Natoa kwa moyo mmoja
Mimi niko tayari kudonate brain, ila tu awe tayari kuwa na mawazo ya kizee!!!!
Juzi kuna kapindi kilinisikitisha kweli!Kuna baba ambae ana tatizo la figo..zimefail kabisa kwahiyo anategemea mashine kuishi!Huyo mzee ana dada na kaka zaidi ya watatu na hamna hata mmoja aliyetaka hata kupima kuona kama wanamatch na ndugu yao achilia mbali kujitolea figo imsaidie!
Ikabidi nijiulize wangapi kati ya ndugu na rafiki zangu wakikutwa na tatizo kama hilo ntakua tayari kujitolea figo yangu moja kusaidia.Wachache ningewapa kwa moyo mkunjufu na wengine ningewapa tu ilimradi!Wewe je?
Mimi niko tayari kudonate brain, ila tu awe tayari kuwa na mawazo ya kizee!!!!
Nakutakia pasaka njema spanish lady.hahahahahaha! Mbavu zangu.
Kwaroho zetu binadamu najua jambo lakujitolea ni gumu sana kuingia akilini linashindikana la vitu kama pesa na chakula. Hadi mtu aone atanufaikaje kwa msaada anaoutoa.
Lizz, michelle mnadhani la viungo vya mwili litakuwa rahisi? Hiyo haipo unless further notes.
Nakutakia pasaka njema spanish lady.
Lizzy! swalilako gumu sana, kirahisi naweza sema nitajitolea, lakini kiukweli itategemea litapotokea.. Watu tunakimbia hata kujitolea damu! kwa figo mmh, tuombe Mungu yasitukute kwani hapo tutatofautisha rangi saba bila mikwaruzo! Mungu epushia mbali.
Juzi kuna kapindi kilinisikitisha kweli!Kuna baba ambae ana tatizo la figo..zimefail kabisa kwahiyo anategemea mashine kuishi!Huyo mzee ana dada na kaka zaidi ya watatu na hamna hata mmoja aliyetaka hata kupima kuona kama wanamatch na ndugu yao achilia mbali kujitolea figo imsaidie!
Ikabidi nijiulize wangapi kati ya ndugu na rafiki zangu wakikutwa na tatizo kama hilo ntakua tayari kujitolea figo yangu moja kusaidia.Wachache ningewapa kwa moyo mkunjufu na wengine ningewapa tu ilimradi!Wewe je?
lIZZY, KUTOA FIGO NI RAHISI KAMA UKO NCHI ILIYOENDELEA, LAKINI KUTOA FIGO TANZANIA YAWEZA IKAWA NDIO MWISHO WA MAISHA YAKOJuzi kuna kapindi kilinisikitisha kweli!Kuna baba ambae ana tatizo la figo..zimefail kabisa kwahiyo anategemea mashine kuishi!Huyo mzee ana dada na kaka zaidi ya watatu na hamna hata mmoja aliyetaka hata kupima kuona kama wanamatch na ndugu yao achilia mbali kujitolea figo imsaidie!
Ikabidi nijiulize wangapi kati ya ndugu na rafiki zangu wakikutwa na tatizo kama hilo ntakua tayari kujitolea figo yangu moja kusaidia.Wachache ningewapa kwa moyo mkunjufu na wengine ningewapa tu ilimradi!Wewe je?
Acha wivu dearest.Thread ya kutakiana pasaka njema hamjaiona?