sjui kwanini hii comment yako ndio nimeiamini zaidi halaf ile ya BJ kisha ndio zinafatia nyengine. Nadhani hapa tunajiburudisha tu lakini likija suala la utoaji kweli usishangae hao wanaosema watatoa wakazima simu zao, mimi bana only God knows, sio mchoyo lakini na laifu nalipenda ajabu.
Kuna kitu nimefikiria kufanya...sio ethical ila ntapata kujua wangapi watoaji wangapi sio!Ntaleta feedback!
Juzi kuna kapindi kilinisikitisha kweli!Kuna baba ambae ana tatizo la figo..zimefail kabisa kwahiyo anategemea mashine kuishi!Huyo mzee ana dada na kaka zaidi ya watatu na hamna hata mmoja aliyetaka hata kupima kuona kama wanamatch na ndugu yao achilia mbali kujitolea figo imsaidie!
Ikabidi nijiulize wangapi kati ya ndugu na rafiki zangu wakikutwa na tatizo kama hilo ntakua tayari kujitolea figo yangu moja kusaidia.Wachache ningewapa kwa moyo mkunjufu na wengine ningewapa tu ilimradi!Wewe je?
ok umekula leo lakini? kama haujakula ni tabu sana kunielewa ujue!Sijakuelewa wewe na mtoaji damu wako!Ilikuwaje mpaka imzidie mgonjwa?
majini mahaba si yapo bana! dah! yaani naomba kesho akuje mshefa alembee sredi anaomba mchango wa figo halaf tuone kama mtaonekana online.Acha uchoyo!Tukifa wote utakula life na nani?
majini mahaba si yapo bana! dah! yaani naomba kesho akuje mshefa alembee sredi anaomba mchango wa figo halaf tuone kama mtaonekana online.
hakyanani tutapokea ID mpya kama nne hivi, wee unazani kutoa figo mchezo?, usishangae Lizzy akajiita kibiritiupele.kesho naingia kama guest....l.o.l
majini mahaba si yapo bana! dah! yaani naomba kesho akuje mshefa alembee sredi anaomba mchango wa figo halaf tuone kama mtaonekana online.
hakyanani tutapokea ID mpya kama nne hivi, wee unazani kutoa figo mchezo?, usishangae Lizzy akajiita kibiritiupele.
SuperMan yani mpaka damt watu wanabania??Hiyo ni hatari sasa!Mbona mtu hata hapungukiwi chochote??Binafsi napenda sana kua blood donor sema kwa sasa siwezi...
Hahahahah..mi ntaingia na mzee mkongwe sidhani kama atataka yangu!
acheni nilog out bana! kesho alfajiri nina press conference la kuzungumzia athari za kufanya sex vichakani.na Klorokwini akajiita MEBENDAZOLE....l.o.l
Lizzy mimi nimeshuhudia mara nyingi tu. Wakati sisi wengine kutoa Damu ni hobby, kuna watu ni kama kiama hivi. wengine wanadai itagundulika ina "Mchanga" LOL.
Kwa nini kwa sasa huwezi kutoa?
acheni nilog out bana! kesho alfajiri nina press conference la kuzungumzia athari za kufanya sex vichakani.