Utoto mitandaoni: Mnamu-overate sana Kagame, hawezi na hatoweza

Huna ukijuacho kuhusu lile ' Bifu ' la Rwanda na Tanzania wakati wa utawala / awamu ya Kikwete na kwa taarifa yako tu ni kwamba aliyeomba ' po ' alikuwa ni Tanzania kupitia kwa Rais Mstaafu Mkapa, Mzee Butiku na aliyekuwa Waziri awamu ya Kikwete Profesa Mark Mwandosya baada ya kutumwa na huyo Kikwete wenu na ukizingatia kwamba hao niliowataja hapo juu hasa hasa Mzee Mkapa na Mzee Butiku wana ukaribu wa Kiheshima sana na Rais wa Rwanda Paul Kagame uliojengwa na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere. Kuna mengineyo sijakuwekea hapa kwani bado ni mtoto mdogo mno kwa Wewe kuyaelewa ila huna ' Jeshi ' la Kupambana na Rwanda kwa sasa labda hili ambalo limeanza kupikwa sasa chini ya Rais Dkt. Magufuli kwasababu ambazo nazijua Mimi mwenyewe.
Jeshi lipi ambalo limepikwa na Magufuli?
 
Mkuu kagame sio overrated ila ni mtu hatari sana kma aliweza kuinyoosha nchi kubwa zaidi ya Tanzania mara 5 yaani DR Congo nzima mara 2 na mpaka leo haikaliki kisa yeye unafkiri atashindwa Tz??

2. Nakumbuka kipindi ana beef na kikwete alisema anaintelijentsia kila kona Tz kiasi kwamba anajua mpaka shuka zinavyobadilishwa ikulu!! Hivi mpaka anajiamini hivyo unafkiri ni mtu wa kawaida huyo?

3. Unaposema eti Tanzania hatuijui ukimaanisha intelijentsia yetu iko vzuri sana.... Basi niambie kivp tembo laki 5 wamekufa toka 2005 hao TISS hwakuzuia?? Vipi makinikia TISS hawakuzuia kwa miaka 15?? Hao mapandikizi wa kagame hadi kufika kufanya kazi ikulu kivp TISS imeshindwa kuwagundua ?? Vp kura zinaibiwa na TISS wanashindwa zuia!!

4. Eti Rais anapita kwa vetting sio voting!! Sasa alipiga kampeni za nini hadi kuanza kulia lia jukwaani tumchague if at all mlijua anauzika na kwamba atapita iwe amepigiwa kura ama lah..... Mlitumia gharama za kampeni ya nni kma mlijua hata akishindwa mtaiba tu?? We sema tu NEC na katiba ndio inawabeba CCM hayo ya TISS kutupangia Rais haiwezekani maana kma wananchi wakiingia barabarani kma kenya 2003 hao TISS hawawezi zuia lolote maana hawafiki 10% ya wapiga kura wote wa upinzani!!!so usiwasifie sana kana kwamba wako very bright ilihali rais waliyetuletea hana hata busara za kiuongozi

Magufuli kapatikana baada ya beef ya lowasa na membe lasihivyo urais angeusikia kwenye bomba..... Na kma kweli TISS walimpendekeza magufuli awe Rais basi naweza kusema tuna TISS mbovu zaidi katika historia ya dunia kma ndio wanapendekeza viongozi type ya magufuli

Si ukae kimya tu rafiki unajiabisha tu hujui kitu.Rudi darasani au tafuta mentor akusaidie kujua mambo.
 
Hiyo ni hoja yangu,Mkuu,,,hivi ndivyo nilivyoifahamu hii mada kwanini Magu kaamua kumuegemea Kagame,...stori imanza 2010...,lakini naona hii habari imeegemea sana kisiasa kuliko uchumi wa nchi...,

Tatizo kubwa waliokuwa nalo wanasiasa wa Tanzania wanafikiria zaidi katika siasa kuliko uchumi...Hata wewe mleta mada umeagemea sana katika siasa,"Majungu,kutengana,kugeukana,kuchongeana"...siasa za maji taka....,siasa ni uchumi,siasa ni manufaa ya nchi,porojo ni udhaifu,,,,

kwa dunia ya sasa,siasa nzuri ni siasa ya kujenga uchumi wa nchi,tengeneza uchumi mzuri katika nchi yako,wafanye raia wako wajidai na nchi yao,wafanye raia wawe wazalendo hizo ndio siasa nzuri ,siasa ni uchumi,,,...

"For the love of the nation",Mungu wafanye wanasiasa wa Tanzania watumie akili katika kuipeleka Tanzania katika maendeleo...

Asante sana Kamanda. Mawazo yako mazuri sana. Nauunga mkono hoja
 
Huna ukijuacho kuhusu lile ' Bifu ' la Rwanda na Tanzania wakati wa utawala / awamu ya Kikwete na kwa taarifa yako tu ni kwamba aliyeomba ' po ' alikuwa ni Tanzania kupitia kwa Rais Mstaafu Mkapa, Mzee Butiku na aliyekuwa Waziri awamu ya Kikwete Profesa Mark Mwandosya baada ya kutumwa na huyo Kikwete wenu na ukizingatia kwamba hao niliowataja hapo juu hasa hasa Mzee Mkapa na Mzee Butiku wana ukaribu wa Kiheshima sana na Rais wa Rwanda Paul Kagame uliojengwa na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere. Kuna mengineyo sijakuwekea hapa kwani bado ni mtoto mdogo mno kwa Wewe kuyaelewa ila huna ' Jeshi ' la Kupambana na Rwanda kwa sasa labda hili ambalo limeanza kupikwa sasa chini ya Rais Dkt. Magufuli kwasababu ambazo nazijua Mimi mwenyewe.
Huu upuuzi kiwango cha lami Tanzania kupiga na mkoa wake nyinyi ndio mabwege mliobaki TZ usie jua chochote Tanzania uombee poo?
 
Humu wanaoongea wengi hawaijui Tanzania ndio wanatisha watu TZ haiwezi kupigana na mkoa wake slim mwenyewe anatambua kichapo ambavyo kingemshukia aliufya mkia ila Uzuri wa TZ katika haya mambo huwa tupo kimyaa Kama hatupo subiri Kazi ndio utaitambua
 
Watanzania tusijidanganye kwa udogo wa Rwanda hawa watu wana akili sana, angalieni hata walivyo wastaarabu, ni watu wa kushirikiana nao kwa tahadhari kubwa wakiamua kutugeuka ni hatari maana wana mapandikizi kila pahali huwa na mfananisha kagame na Putin wa Urus
Hivi nyie wapuuz wawapi waulize wakenya mbona wamenyooka kimyaa kimya na dharau zao itakua hawa
 
Mleta mada hajui kitu. Katunga uongo kuwaaminisha wasiojua.

Nchi inaongozwa kwa mbinu kutoka Rwanda. Tunao wageni kibao huku ktk taasisi za umma wanyarwanda wameletwa saivi.

Acha twende hivo hivo bhana. Si mna macho ila hamuoni?! Poa
Acha upuuzi wako je watanzania waliojaa katika jeshi la Rwanda hawaoni eti sasa hivi mnadukua mawasiliano ya wanajeshi wenu hasa wanaoongea Kiswahili mnajisumbua wengi wananunua ardhi TZ wakistaafu wanarudi home Pumbafu Sana wanyarwanda
 
Katika nchi ambayo vijana wake wanategemea Mange kupata habari hawawezi kumwelewa mleta mada.

Mm nina uhakika Nyerere angekuwa na vijana kama hawa wa leo angepata shida sana na Uganda ya Idd amin
huyo mleta mada hovyo kabisa , eti rais hapatikani kwa votting bali kwa vetting!!!!
Nimewauliza swali hivi kama rais hapatikani kwa kura za wanachi hizo kampeni huwa mnafanya za nini?

Na hao wasanii wa mziki wa kizazi kipya huwa mnawatumia wa nini?
Naomba jibu.
Mkuu nmekuelewa
 
Msipo chukua hatua sitahiki dhidi ya hicho kikaragosi Mr. Slim mtavuna mabua very soon.

Mnadhania kuwa Dr. JK awamu yake ya NNE alikuwa mjinga!?
Dr. JK, knew the game and a real face behind Mr. Slim.

I know what I am writing to you guys in Tanzania.
Put more beef on empty bones
 
Rwanda ni Nchi ndogo sana kwa Tanzania.

Of- course Kagame is smart but siyo extent hiyo. Kagame hawezi kuingilia siasa za Tanzania hata kwa asilimia 1%. Kuna watu wanadhani Kagame anaushawishi kwa regime hii mnapotoka sana. Acheni siasa za kitoto eti mzee walinzi wake ni wanatoka Rwanda. Kagame hawezi kuingilia siasa za Tanzania.. Hata akiamua hana uwezo huo. Kuna watu mnaishi Tanzania lakini hamjui vizuri Tanzania. Au mnadhani Magu amekuwa Rais kwa bahati mbaya. Urais ni vetting siyo voting. Kwa kazi aliyoifanya wizara ya ujenzi ili chama kiendelee ilikuwa lazma asimamishwe MTU anae uzika.

Why Magu na Rwanda; miaka ya 2010+ kipindi Uganda mseven akiwa mwenyekiti wa EAC, Kenya/UG na S.S pamoja R walianzisha coalition of will au Cow, ambayo walikubaliana kuashirikiana kwenye mambo ya miundombinu/elimu etc. Tz/Burundi tulitengwa. Cow n chokochoko za Kenya kutaka kumtingisha Tz. Baadaye cow ikaja ikawa northern corridor..!!
Kwenye maamuzi mengi ya eac hasa maamuzi ya tz yalikuwa hayapewi support na nchi 3(K,U,R) rafiki yetu n B tu. Magu baada ya kuingia ilibidi kuirudisha Tanzania kwenye hadhi yake ya EAC. Na MTU pekee wa kutimu naye alikuwa R na Ug. Ikumbukwe tu Kenya anatakuwa kuwa ndiyo baba wa EAC na Tz hawez kukubali hawa jamaa ni manyang'au kabsa..wabinafsi sana..wajuaji sana.Magu kutaka Urafiki na Rwanda n mkakati mzito sana na siyo suala la siasa km wengi mnavyodhani. Na now Tz iko vizuri sana kwenye siasa za A.M.

Narudia tena Tz hawez kuingiliwa kisiasa na Nchi yeyote Africa. Hawawezi. Rwanda hatuna cha kujifunza kwao.. But tuna bandari kwahyo lazma wawe marafiki zetu ilituzipate pesa yao. Rwanda haiwezi kutuwekea Rais Tanzania sisi tunaweza kumuweka Rais R. Rwanda alitaka kuweka Rais Burundi,Tz tulinjinia na kijana wetu NKURU bado yupo Burundi

Tanzania ni silent giant. Bado tunasifa sana duniani. Ukifika duniani unaulizwa kuhusu Kilimanjaro & Zanzibar. Sisi Tanzania kuwa na waburundi au Watusi/wahutu haikwepeki kutokana na wakimbizi na machafuko yaliyotokea.

Utoto huu mitandaoni ebu tuuache.. Hizo Nchi ndogo zipo naked to us. Hazina madhara. We beyond that.Rais anajua anafanya nini:

Kitu ambacho R, wanatuzid ni wale wadada wenye pua mchongoko only that..maendeleo tumewaacha, kila ki2 wapo nyuma kwetu. Acheni kuwa inferior na Nchi nyingine..ebu ijue Tanzania kwanza.
Huu ni ujinga na uhuni period...
 
Wantanzania bingwa wa kuchambua yaliyopita, sema Mungu katunyima kuangalia yajayo ili tusirudie rudie makosa yetu tusongembele na kupiga hatua za maendeleo.
 
Israel ni nchi ndogo zaidi kuliko Rwanda na influence kubwa zaidi katika siasa za nchi ya Marekani ambayo ni powerful duniani.....sembuse Rwanda kwa Tanzania ambao hata frança yao ina thamani dhidi ya tz shilling.
Balfour declaration, nenda katafute hiyo nondo upo EMPTY kichwani
 
WATU HUMU MNALAUMU TISS BURE KWA MFANO ISHU YA WANYAMAPORI MA TOP WAPO HUMU NDO WAKUBWA WA CHAMA TAWALA RIPOTI INAENDA LAKINI KWA SABABU NI WAKUBWA INPIGWA CHINI
 
Ili watumie akili, kitu cha kwanza ni hizo akili ziwepo, zikiishakuwepo, ndipo zitumike, hivyo muombe Mungu kwanza awape akili, kisha ndio awawezeshe kuzitumia.

Paskali.
Mwananchi wa kawaida ndio anaepata matatizo,halafu wanamsema Trump kwa kuziita nchi za Afrika "shithole",,,Nchi za Asia zinajua nini zinafanya,nchi za Amerika kusini zinajua nini zinafanya....ni nchi za Afrika chini ya Jangwa la sahara ndizo zina matatizo,nchi zilizojaaliwa kila rasilimali....

....,,dunia imeandelea na inazidi kuendelea kwa watu kuja na mawazo mapya,sisi tunaanza kuuana kwa kuleta mawazo na fikra mpya...

"We are the victims of bogus politicians,we are slaves in our own nation".haturuhusiwi kuwaza wala kuamua nini kifanyike kwenye nchi yetu,tumetekwa na kikundi cha watu wanaofikiri wana hati miliki ya nchi na uwezo wa kutawala kuliko wengine...

only in Afrika,na kwa vile waafrika ni rahisi kutiwa kasumba(manipulated),bado tunawatetea wale wanaotufanya watumwa wa mawazo,wale wanaotuzia tusifikiri wala kuwaza,au kuota...
 
Wewe ndio mtoto, kama hujui Kagame ndiye Rais wa Tanzania kwa sasa. Hata walinzi wa Rais wanaovaa nguo za Kijeshi ni wa Rwanda sio Watanzania. Huyu Magufuli amwewekwa tu pale kama picha.
Acheni siasa za kitoto Na hoja za kukaririshwa
 
Hebu fafanua TISS wanausikaje kwenye wanajeshi wa Tz-UN waliopo Congo na Darfur kuuawa. Yaani ulitegemea nini kwa TISS huko Congo na Darfur ili wanajeshi wetu wasiuawe???
Mkuu wengine fikira zao up side down wasamehe bure
 
Ameshinda kwa 7babu ya vita ya panzi, still aligaragazwa na babu na ndio maana analazimisha kuua upinzani kwa akili yake anafikiri I ataweza. Uminyaji wa demokrasia unatokana na kichapo cha 2015 hiyo ipo wazi
 
Back
Top Bottom