Rwanda ni Nchi ndogo sana kwa Tanzania.
Of- course Kagame is smart but siyo extent hiyo. Kagame hawezi kuingilia siasa za Tanzania hata kwa asilimia 1%. Kuna watu wanadhani Kagame anaushawishi kwa regime hii mnapotoka sana. Acheni siasa za kitoto eti mzee walinzi wake ni wanatoka Rwanda. Kagame hawezi kuingilia siasa za Tanzania.. Hata akiamua hana uwezo huo. Kuna watu mnaishi Tanzania lakini hamjui vizuri Tanzania. Au mnadhani Magu amekuwa Rais kwa bahati mbaya. Urais ni vetting siyo voting. Kwa kazi aliyoifanya wizara ya ujenzi ili chama kiendelee ilikuwa lazma asimamishwe MTU anae uzika.
Why Magu na Rwanda; miaka ya 2010+ kipindi Uganda mseven akiwa mwenyekiti wa EAC, Kenya/UG na S.S pamoja R walianzisha coalition of will au Cow, ambayo walikubaliana kuashirikiana kwenye mambo ya miundombinu/elimu etc. Tz/Burundi tulitengwa. Cow n chokochoko za Kenya kutaka kumtingisha Tz. Baadaye cow ikaja ikawa northern corridor..!!
Kwenye maamuzi mengi ya eac hasa maamuzi ya tz yalikuwa hayapewi support na nchi 3(K,U,R) rafiki yetu n B tu. Magu baada ya kuingia ilibidi kuirudisha Tanzania kwenye hadhi yake ya EAC. Na MTU pekee wa kutimu naye alikuwa R na Ug. Ikumbukwe tu Kenya anatakuwa kuwa ndiyo baba wa EAC na Tz hawez kukubali hawa jamaa ni manyang'au kabsa..wabinafsi sana..wajuaji sana.Magu kutaka Urafiki na Rwanda n mkakati mzito sana na siyo suala la siasa km wengi mnavyodhani. Na now Tz iko vizuri sana kwenye siasa za A.M.
Narudia tena Tz hawez kuingiliwa kisiasa na Nchi yeyote Africa. Hawawezi. Rwanda hatuna cha kujifunza kwao.. But tuna bandari kwahyo lazma wawe marafiki zetu ilituzipate pesa yao. Rwanda haiwezi kutuwekea Rais Tanzania sisi tunaweza kumuweka Rais R. Rwanda alitaka kuweka Rais Burundi,Tz tulinjinia na kijana wetu NKURU bado yupo Burundi
Tanzania ni silent giant. Bado tunasifa sana duniani. Ukifika duniani unaulizwa kuhusu Kilimanjaro & Zanzibar. Sisi Tanzania kuwa na waburundi au Watusi/wahutu haikwepeki kutokana na wakimbizi na machafuko yaliyotokea.
Utoto huu mitandaoni ebu tuuache.. Hizo Nchi ndogo zipo naked to us. Hazina madhara. We beyond that.Rais anajua anafanya nini: Kitu ambacho R, wanatuzid ni wale wadada wenye pua mchongoko only that..maendeleo tumewaacha, kila ki2 wapo nyuma kwetu. Acheni kuwa inferior na Nchi nyingine..ebu ijue Tanzania kwanza.
Watanzania wengi wanapenda kusikia yanayo wafurahisha tu..nimesoma comments zenu, nimefurahishwa na nimeshtushwa na uchambuzi wenu..watu wengi mnachangia mada hii kwa dhahania (abstract) bila prove na facts weka ushahidi: hatuwezi kuendelea kwa kutofautiana na majirani. Uadui na R hauna faida kwetu na hata kwao..yale ya jk yamepita..now new page regime. R haijawahi ku interfere/ influence chochote Tz, na haitowahi: Jk alisema za kuambiwa changanya na zako>> Msilishwe na matangapoli,. Hawezi na hatoweza. Mwingine anapotosha eti R, inatumika na France..sijui kama anafatilia vitu huyu. fatilia uhusiano wa R na F mpaka R wakahama to English side. Ila naheshimu mawazo ya kila mtu, Utofauti wa kisiasa usitufanye tukawa vipofu.Sisi ni vijana tusiwe washabiki wa wanasiasa na vyama. Ideas/facts lead us.
Of- course Kagame is smart but siyo extent hiyo. Kagame hawezi kuingilia siasa za Tanzania hata kwa asilimia 1%. Kuna watu wanadhani Kagame anaushawishi kwa regime hii mnapotoka sana. Acheni siasa za kitoto eti mzee walinzi wake ni wanatoka Rwanda. Kagame hawezi kuingilia siasa za Tanzania.. Hata akiamua hana uwezo huo. Kuna watu mnaishi Tanzania lakini hamjui vizuri Tanzania. Au mnadhani Magu amekuwa Rais kwa bahati mbaya. Urais ni vetting siyo voting. Kwa kazi aliyoifanya wizara ya ujenzi ili chama kiendelee ilikuwa lazma asimamishwe MTU anae uzika.
Why Magu na Rwanda; miaka ya 2010+ kipindi Uganda mseven akiwa mwenyekiti wa EAC, Kenya/UG na S.S pamoja R walianzisha coalition of will au Cow, ambayo walikubaliana kuashirikiana kwenye mambo ya miundombinu/elimu etc. Tz/Burundi tulitengwa. Cow n chokochoko za Kenya kutaka kumtingisha Tz. Baadaye cow ikaja ikawa northern corridor..!!
Kwenye maamuzi mengi ya eac hasa maamuzi ya tz yalikuwa hayapewi support na nchi 3(K,U,R) rafiki yetu n B tu. Magu baada ya kuingia ilibidi kuirudisha Tanzania kwenye hadhi yake ya EAC. Na MTU pekee wa kutimu naye alikuwa R na Ug. Ikumbukwe tu Kenya anatakuwa kuwa ndiyo baba wa EAC na Tz hawez kukubali hawa jamaa ni manyang'au kabsa..wabinafsi sana..wajuaji sana.Magu kutaka Urafiki na Rwanda n mkakati mzito sana na siyo suala la siasa km wengi mnavyodhani. Na now Tz iko vizuri sana kwenye siasa za A.M.
Narudia tena Tz hawez kuingiliwa kisiasa na Nchi yeyote Africa. Hawawezi. Rwanda hatuna cha kujifunza kwao.. But tuna bandari kwahyo lazma wawe marafiki zetu ilituzipate pesa yao. Rwanda haiwezi kutuwekea Rais Tanzania sisi tunaweza kumuweka Rais R. Rwanda alitaka kuweka Rais Burundi,Tz tulinjinia na kijana wetu NKURU bado yupo Burundi
Tanzania ni silent giant. Bado tunasifa sana duniani. Ukifika duniani unaulizwa kuhusu Kilimanjaro & Zanzibar. Sisi Tanzania kuwa na waburundi au Watusi/wahutu haikwepeki kutokana na wakimbizi na machafuko yaliyotokea.
Utoto huu mitandaoni ebu tuuache.. Hizo Nchi ndogo zipo naked to us. Hazina madhara. We beyond that.Rais anajua anafanya nini: Kitu ambacho R, wanatuzid ni wale wadada wenye pua mchongoko only that..maendeleo tumewaacha, kila ki2 wapo nyuma kwetu. Acheni kuwa inferior na Nchi nyingine..ebu ijue Tanzania kwanza.
Watanzania wengi wanapenda kusikia yanayo wafurahisha tu..nimesoma comments zenu, nimefurahishwa na nimeshtushwa na uchambuzi wenu..watu wengi mnachangia mada hii kwa dhahania (abstract) bila prove na facts weka ushahidi: hatuwezi kuendelea kwa kutofautiana na majirani. Uadui na R hauna faida kwetu na hata kwao..yale ya jk yamepita..now new page regime. R haijawahi ku interfere/ influence chochote Tz, na haitowahi: Jk alisema za kuambiwa changanya na zako>> Msilishwe na matangapoli,. Hawezi na hatoweza. Mwingine anapotosha eti R, inatumika na France..sijui kama anafatilia vitu huyu. fatilia uhusiano wa R na F mpaka R wakahama to English side. Ila naheshimu mawazo ya kila mtu, Utofauti wa kisiasa usitufanye tukawa vipofu.Sisi ni vijana tusiwe washabiki wa wanasiasa na vyama. Ideas/facts lead us.