EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Ingekuwa usiku ni ngwala hakuna kulemba akikuonyeshea jino kwa ishara ya kucheke huyo tayari amekubali kifuatacho ITV ni ngwala na kula vyombo!!
Huyo kaka anaonekana ni muharibifu hafaiii
Kila mtu ana approach tofauti kutokana na mazingira yaliyopo!!
Demu kama huyo ni wale "nataka sitaki", lazima umvute au umkimbize ndo raha kakwe.
Hawa ndo wanatuharibia watoto zetu hawa...... Sasa anamvutia wapi mtoto wa watu????
Precisely!yaani umepatia kabisa,nayeye amepata dude anataka akapumzike baada ya kazi ngumu!!Jamaa anaonekana kama mjanja fulani wa mjini aliyepangiwa kituo cha kazi kilicho kijijini. Kama sio mwalimu, basi atakuwa nesi!
Jamaa anaonekana kama mjanja fulani wa mjini aliyepangiwa kituo cha kazi kilicho kijijini. Kama sio mwalimu, basi atakuwa nesi!
Precisely!yaani umepatia kabisa,nayeye amepata dude anataka akapumzike baada ya kazi ngumu!!
Huyu alikuwa hatongozi walikuwa wanacheza ule mchezo wa ukuti, ukuti wa umeme wa umeme,ingia upepo wa tetema,ingia upepo wa tetema!!