Psalm 103
JF-Expert Member
- Jul 5, 2026
- 1,657
- 2,700
"""Bali wao wamngojeao BWANA watapata nguvu mpya;,,,, watapanda juu kwa mbawa kama tai;,,, watapipiga mbio wala hawatachoka;,,,, watakwenda kwa miguu,,, wala hawatazimia"""
Isaya 40:31......
"""Umngoje BWANA uwe HODARI,,,, Upige moyo konde,,,,,, naam umngoje BWANA.....
Zaburi 27:14......
Kwanini leo ni vigumu, kumngoja BWANA???
Cc: Samson Ernest, Baba mtakatifu91, Dogoli kinyamkela, Matunzo 02, Mopak, Seran
Isaya 40:31......
"""Umngoje BWANA uwe HODARI,,,, Upige moyo konde,,,,,, naam umngoje BWANA.....
Zaburi 27:14......
Kwanini leo ni vigumu, kumngoja BWANA???
Cc: Samson Ernest, Baba mtakatifu91, Dogoli kinyamkela, Matunzo 02, Mopak, Seran