Utofauti wa speed nchi kavu, angani na baharini

Utofauti wa speed nchi kavu, angani na baharini

generationn Z

Senior Member
Joined
Jun 30, 2025
Posts
154
Reaction score
166
Iko wazi, kwa kila mtumiaji wa map zinazopatikana ktk simu zetu amewah kupima speed pale anapokuw safarini. Sasa swali langu ni.
Ikiwa uko baharini(boti/meri) au angani(ndege/parachuti) hii map itaendelea kufunction km kawaida au kutakuwepo na mabadiliko?
Nauliza hivo maana sijawahi panda ndege na nilipo panda meri pia sikuwa na wazo hili huenda ningelifanyia utafiti?
 
Kwanini unafikiri itakua tofauti?

Unajua jinsi GPS inavyofanya kazi?
Iko wazi, kwa kila mtumiaji wa map zinazopatikana ktk simu zetu amewah kupima speed pale anapokuw safarini. Sasa swali langu ni.
Ikiwa uko baharini(boti/meri) au angani(ndege/parachuti) hii map itaendelea kufunction km kawaida au kutakuwepo na mabadiliko?
Nauliza hivo maana sijawahi panda ndege na nilipo panda meri pia sikuwa na wazo hili huenda ningelifanyia utafiti?
 
Mungu nisamehee
Kuna siku natoka Zanzibar naingia bara ile tunaanza tu kuiona Dar kama dk 15 hivi nikavuta simu nika request Bolt ya bodaboda !!Naomba niishie hapa🤣🤣🤣
 
Speed/Velocity ni kipimo standard haijalishi unatembea kwa miguu, umepanda gari, ndege au meli...

Speed = Distance covered ÷ Time consumed

Same principle ndio inayotumiwa pia na hizo apps kama Google map n.k, kwa sababu point to point distance inajulikana

Iko wazi, kwa kila mtumiaji wa map zinazopatikana ktk simu zetu amewah kupima speed pale anapokuw safarini. Sasa swali langu ni.
Ikiwa uko baharini(boti/meri) au angani(ndege/parachuti) hii map itaendelea kufunction km kawaida au kutakuwepo na mabadiliko?
Nauliza hivo maana sijawahi panda ndege na nilipo panda meri pia sikuwa na wazo hili huenda ningelifanyia utafiti?
 
In that sense there is no difference even if they are in the sky or at sea
Kikawaida Meli na ndege hutumia Nautical miles/hr katika speed lakini computer inaweza kuibadilisha kwenda km/hr.
Mfano nmewahi kuona baadhi ya ndege zikionesha equivalent ground speed ya ndege ikiwa ngani kwenye zile maps za kwenye vile vi screen vya kwenye seats.
 
Speed/Velocity ni kipimo standard haijalishi unatembea kwa miguu, umepanda gari, ndege au meli...

Speed = Distance covered ÷ Time consumed

Same principle ndio inayotumiwa pia na hizo apps kama Google map n.k, kwa sababu point to point distance inajulikana
Nimepat ktu
 
Kikawaida Meli na ndege hutumia Nautical miles/hr katika speed lakini computer inaweza kuibadilisha kwenda km/hr.
Mfano nmewahi kuona baadhi ya ndege zikionesha equivalent ground speed ya ndege ikiwa ngani kwenye zile maps za kwenye vile vi screen vya kwenye seats.
Shukran
 
Back
Top Bottom