Utofauti wa Hayati Magufuli na Rais Samia

MWAG

Member
Sep 15, 2021
7
5
Leo ni nimewaza sana nikagundua mambo mawili kwanza people we differ kama alivyosema msomi wa kitambo hicho hayati TUTEMEKE SANGA(MAKETE) Lakini pia nikakumbuka ule mstari wa biblia unao sema kuna matoashi wa kuzaliwa na kuna matowashi wa kutengenezaa lakini hayo yote yalianzia mbalibasi nilikuwa na watafakari marais wawili JOHN POMBE MAGUFULI NA SMIA SULUHU HASSAN nikagundua kitu kimoja hawa jamaa ni watu wawili tofauti na watu wanahindwa kuelewa hapo tu wanapo taka wabehave kwa staili moja yaani ni kwamba hiko hivi

MAGUFULI
Huyu yeye ni kiongozi wa kuzaliwa yaani katika maisha yake akusoma sana masomo ya uongozi yaani kiufupi sio mbobezi katika masuala ya siasa lakini ana kipaji cha siasa ndio maana aliwaongoza hadi washauri wake akataka wamshauri juu ya ndoto zake yeye yaani waonee ni namna gani mawazo yake yanavyo weza kutia ukimuona sio mtu wa kufuata taratibu yeye anahamua nini cha kufanya kwa mda gani MFANO;- ni juu ya safari za nje kuuzuria vikaombalimbali kiufupi ni kazi ya mheshimiwa rais lakini yeye hiyo kazi alimpa waziri mkuu na makamo wa rais lakini pia ziara za ndani ni kazi ya waziri mkuu lakinii alizifanya yeye hii ndio sifa ya kiongozi wa kuzaliwa mbave na afuati utaratibu tofauti na
Samia

Yeye ni msomi amesoma lakini pia ni mzoefu amefanya kazi umoja wa mataifa sababu tu ya elimu yake ndo maana yeye anafuata utaratibu uwe mbaya uwe mzuri protocal ni muhimu kwake kuliko kitu chochote kile kwahiyo tumuache haiwakilishe nchi huko vikaoni nje ya nchi muacheni haunde tume imshauri cha kufanya juu ya uviko 19 kwa leo mpendwa nikipata nafasi zaidi nitakushirikisha juu ya uzuri na ubaya wake.
 
Mkuu hebu kaa utulie ndo uandike. Unamwelezea Magufuli kama bado yuko hai. Huyi ashatwaliwa. Huendz unamantiki kuwa kmtu huzaliwa kiongozi japo hiyo nadharia haiko kwa unaowazungumzia.

Binadamu sio kama cocacola ulichopenda kukiona machoni kwa kiongozi mmoja usitarajie kujiaminisha kuwa ndo hicho hicho utakiona kwa kiongozi mwingine. Mwisho acha mihemko! yaliyopota yamepita.
 
Tukusapoti kwa uharo ulioshusha hapa? Eti Magufuli alizaliwa kama kiongozi,yule ni Mnyapara na sio Kiongozi. Kiongozi gani hana busara,hana kauli nzuri hadharani,hana uwezo wa kushawishi hadi atumie maguvu,anaua na kutesa wanaomkosoa.
Alimuua nani? Wapi hakutumia busara? Kauli zipi mbaya alizitoa hadharani? Siku ukielewa kuwa Kiongozi wa watu hutokana na watu huwa kwa ajili ya watu na sio wa mtu utaelewa ushahidi wa vielelezo visivyo Tia shaka tu ndio hutumiwa na Great thinkers mfano aliingia madarakani kwa kigezo cha uchapakazi kwa Kura aslimia 50s akachapa kazi akachaguliwa tena kwa Kura asilimia 80s tafiti mtangulizi wake aliingiaje na alichaguliwaje kwa mara ya pili
 
Alimuua nani? Wapi hakutumia busara? Kauli zipi mbaya alizitoa hadharani? Siku ukielewa kuwa Kiongozi wa watu hutokana na watu huwa kwa ajili ya watu na sio wa mtu utaelewa ushahidi wa vielelezo visivyo Tia shaka tu ndio hutumiwa na Great thinkers mfano aliingia madarakani kwa kigezo cha uchapakazi kwa Kura aslimia 50s akachapa kazi akachaguliwa tena kwa Kura asilimia 80s tafiti mtangulizi wake aliingiaje na alichaguliwaje kwa mara ya pili
Eti aliingia madarakani kwa kura asilimia 80,hapa ndio nimejua nabishana na mtu wa aina gani. Wewe ni masalia ya Mfu Kayafa,na moto wa kuzimu uendelee kumchoma milele.
 
Kwa nini tukubless kwa kura wakati umeshasema mwenyewe hustahili?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Eti aliingia madarakani kwa kura asilimia 80,hapa ndio nimejua nabishana na mtu wa aina gani. Wewe ni masalia ya Mfu Kayafa,na moto wa kuzimu uendelee kumchoma milele.
Mkuu wewe ndoo hujaelewa pole sana kwa kushindwa kuelewa huenda tayari umeshapata bapa lako! Ni hivi kwa kuwa unaishi kwa kukariri jk aliingia madarakani kwa kura asilimia 80!

Ushindi huo 2010 uliporomoka hadi kufikia asilimia 62 maana yake ni kwamba ingawa alipendwa sana swrikali yake ilijawa na wahuni wa kupiga dili hawakumsaidia kilichotokea ni kashifa mbalimbali ndani ya serikali na kwa vile wengi wao walikuwa marafiki zake waliteka akili yake akashindwa kuamua kama raisi! Tunakuja jpm ameingia kwa asilimia 52 amechapa kaz zikaonekana
 
Leo ni nimewaza sana nikagundua mambo mawili kwanza people we differ kama alivyosema msomi wa kitambo hicho hayati TUTEMEKE SANGA(MAKETE) Lakini pia nikakumbuka ule mstari wa biblia unao sema kuna matoashi wa kuzaliwa na kuna matowashi wa kutengenezaa lakini hayo yote yalianzia mbalibasi nilikuwa na watafakari marais wawili JOHN POMBE MAGUFULI NA SMIA SULUHU HASSAN nikagundua kitu kimoja hawa jamaa ni watu wawili tofauti na watu wanahindwa kuelewa hapo tu wanapo taka wabehave kwa staili moja yaani ni kwamba hiko hivi

MAGUFULI
Huyu yeye ni kiongozi wa kuzaliwa yaani katika maisha yake akusoma sana masomo ya uongozi yaani kiufupi sio mbobezi katika masuala ya siasa lakini ana kipaji cha siasa ndio maana aliwaongoza hadi washauri wake akataka wamshauri juu ya ndoto zake yeye yaani waonee ni namna gani mawazo yake yanavyo weza kutia ukimuona sio mtu wa kufuata taratibu yeye anahamua nini cha kufanya kwa mda gani MFANO;- ni juu ya safari za nje kuuzuria vikaombalimbali kiufupi ni kazi ya mheshimiwa rais lakini yeye hiyo kazi alimpa waziri mkuu na makamo wa rais lakini pia ziara za ndani ni kazi ya waziri mkuu lakinii alizifanya yeye hii ndio sifa ya kiongozi wa kuzaliwa mbave na afuati utaratibu tofauti
NA
SAMIA
Yeye ni msomi amesoma lakini pia ni mzoefu amefanya kazi umoja wa mataifa sababu tu ya elimu yake ndo maana yeye anafuata utaratibu uwe mbaya uwe mzuri protocal ni muhimu kwake kuliko kitu chochote kile kwahiyo tumuache haiwakilishe nchi huko vikaoni nje ya nchi muacheni haunde tume imshauri cha kufanya juu ya uviko 19 kwa leo mpendwa nikipata nafasi zaidi nitakushirikisha juu ya uzuri na ubaya wake
lakini pia nikuombe kura yako nimeshiriki shindano la STORY OF CHANGE kwa kuandika makara mbili juu ya
1/TIBA YA MTOTO KIKOJOZI NA USHAURI WA KITABIBU
2/JAMIIFORUM HABARI KATIKA KURASA SALAMA
NAOMBA UNIBLESS KURA YAKO JAPO SISTAHILI PLEESEEEE!!!!!!!!!
Unasema eti Magufuli alikuwa na kipaji cha siasa?! Dikteta na mtu wa hovyo kiasi kile ana kipaji cha siasa?! Unajua watanzania viwango vyetu vibovu sana ndio maana tunamshukuru Mungu kwa watu wa hovyo kama hawa. Tunyanyuke!
 
Unasema eti Magufuli alikuwa na kipaji cha siasa?! Dikteta na mtu wa hovyo kiasi kile ana kipaji cha siasa?! Unajua watanzania viwango vyetu vibovu sana ndio maana tunamshukuru Mungu kwa watu wa hovyo kama hawa. Tunyanyuke!
Taifa la Tanzania kwasasa limekumbwa na mmong'onyoko wa Maadili, Watanzania hawako tayari kulipigania Taifa lao na ndiyo maana kila anaepata nafasi anawaza apoge asepe sababu ya maadili mabovu kuanzia kwenye familia zetu! Akijq kiongozi kuzuia ili jambo anaanza kuonekana mbaya! Ayah tuseme why kwann Magufuli unamuita katili ana roho mbaya? Sababu yakuzuia mikutano ya siasa ndiyo dicteta? Mbona Samia kazuia? Sawa anaroho mbaya na muua kwasababu ya vifo visivyoeleweka vya watanzania baadhi? Mbona mlipata vifo vya kueleweka kwa JK hasa kifo cha Mwangosi lakini hamkumuita JK katili? Why JPM? sababu aliwabana tu.
 
Hapo ndipo nilitaka ufike kwenye point ya juu kabisaa ya kuelezea namna ulivyo na unavyofikiri na hata usijali mama yako sio Malaya ndio maana alikuzaa ukiwa wa ovyoovyo ingetokea Akawa na punje ya umalaya sijui ungekuwaje sasa l feel sorry for you son
 
Kashaoza tayari na ule mdomo wake usio na staha
Bado tukilinganisha na mdomo wako wake ni Bora zaidi yaani alikupigisha Kwata akiwa hai na anaendelea kukupigisha akiwa kaburini kila ukisikia Jina lake tumbo la kuhara linakushika na utateseka mpaka siku yako ya kufa Viva MAGUFULI Viva
 
Back
Top Bottom