Jambo pekee la maana uliloandika, PEOPLE DIFFER.
Wakati Magufuli, kwa vigezo vyote, alikuwa kiongozi dikteta asiyejali katiba, sheria wala kanuni; alikuwa kiongozi aliyeongoza kwa uwongo na hila na akafanikiwa kuwadanganya ninyi nyote wenye upeo mdogo kuwa ukuaji wa uchumin ulikuwa unapaa wakati alikuwa akiudidimiza ukuaji wa uchumi kwa kiwango kikubwa (Aliangusha GDP growth from 7% to 1.9%, utalii from 15% mpaka 3.6%, uwekezaji toka 28% mpaka 4%), wewe unasema alikuwa na sifa za kuwa kiongozi. Hapo ndipo ilipo tofauti, na tofauti hiyo ipo kwenye uelewa. Wajinga wengi, kwa sababu ya kulishwa uwongo na hadaa, wanaamini marehemu alikuwa kiongozi mzuri, wenye weledi, ufahama na akili kubwa, wote wanajua jinsi Taifa letu lilivyokuwa kwenye mazingira hatari kiuongozi, chini ya Magufuli.
Madhara ya utawala mbaya wa marehemu, yatalitesa Taifa hata kwa miaka 10 ijayo. Sera zake mbovu za kiuchumi, zimeifanya Tanzania kuwa nchi ya wachuuzi, na siyo wazalishaji. Wazalishaji/wawekezaji wa ndani na nje wameikimbia Tanzania. Walipaji wakubwa wa kodi wameikimbia Tanzania, na kuwaacha Watanzania wa kipato cha chini (ambao walistahili kusaidiwa ili wakue) wakisumbuliwa kwa kodi nyingi na tozo.
Wakati Magufuli, kwa vigezo vyote, alikuwa kiongozi dikteta asiyejali katiba, sheria wala kanuni; alikuwa kiongozi aliyeongoza kwa uwongo na hila na akafanikiwa kuwadanganya ninyi nyote wenye upeo mdogo kuwa ukuaji wa uchumin ulikuwa unapaa wakati alikuwa akiudidimiza ukuaji wa uchumi kwa kiwango kikubwa (Aliangusha GDP growth from 7% to 1.9%, utalii from 15% mpaka 3.6%, uwekezaji toka 28% mpaka 4%), wewe unasema alikuwa na sifa za kuwa kiongozi. Hapo ndipo ilipo tofauti, na tofauti hiyo ipo kwenye uelewa. Wajinga wengi, kwa sababu ya kulishwa uwongo na hadaa, wanaamini marehemu alikuwa kiongozi mzuri, wenye weledi, ufahama na akili kubwa, wote wanajua jinsi Taifa letu lilivyokuwa kwenye mazingira hatari kiuongozi, chini ya Magufuli.
Madhara ya utawala mbaya wa marehemu, yatalitesa Taifa hata kwa miaka 10 ijayo. Sera zake mbovu za kiuchumi, zimeifanya Tanzania kuwa nchi ya wachuuzi, na siyo wazalishaji. Wazalishaji/wawekezaji wa ndani na nje wameikimbia Tanzania. Walipaji wakubwa wa kodi wameikimbia Tanzania, na kuwaacha Watanzania wa kipato cha chini (ambao walistahili kusaidiwa ili wakue) wakisumbuliwa kwa kodi nyingi na tozo.