Utofauti ni mazingira tu; English Medium/Private na St. Kayumba wote wanatoa elimu mbovu

Mto Songwe

JF-Expert Member
Jul 17, 2023
6,013
12,278
Ukiondoa hizi international Schools ISM, Braeburn, IST, St. Constantine.

Shule zilizo baki Tanzania zinatoa elimu mbovu utofauti ni mazingira ya upokeaji wa vilivyo vibovu.

St. Kayumba na hizi English medium/private wote wale wale wanaendelea kutoa yale yaliyo mabovu yaliyo andaliwa na wizara ya elimu.

Utofauti ni mazingira tu huku huyu St.kayumba akipokea elimu mbovu kwenye mazingira mabovu huku Private anapokea elimu mbovu kwenye mazingira bora.

Mfano. Ni sawa na watu wawili wanao kula maembe yaliyo oza katika sehemu mbili tofauti, mmoja akila embe lake lililo oza chooni mwengine akilila ndani ya hoteli ya nyota tano.

Ila wote kwa pamoja wamekula vilivyo oza.
 
Ukiondoa hizi international Schools ISM, Braeburn, IST, St. Constantine.

Shule zilizo baki Tanzania zinatoa elimu mbovu utofauti ni mazingira ya upokeaji wa vilivyo vibovu.

St. Kayumba na hizi English medium/private wote wale wale wanaendelea kutoa yale yaliyo mabovu yaliyo andaliwa na wizara ya elimu.

Utofauti ni mazingira tu huku huyu St.kayumba akipokea elimu mbovu kwenye mazingira mabovu huku Private anapokea elimu mbovu kwenye mazingira bora.

Mfano. Ni sawa na watu wawili wanao kula maembe yaliyo oza katika sehemu mbili tofauti, mmoja akila embe lake lililo oza chooni mwengine akilila ndani ya hoteli ya nyota tano.

Ila wote kwa pamoja wamekula vilivyo oza.

Kuna tofauti kati ya cha bure na cha kulipia gharama mzee Baba! Angalia matokeo yaliyotoka ya Darasa la 7 2023 ndo urudi tena
 
Kuna tofauti kati ya cha bure na cha kulipia gharama mzee Baba! Angalia matokeo yaliyotoka ya Darasa la 7 2023 ndo urudi tena
Wewe unaangalia matokeo mimi nazungumzia wanachokula wote kuwa ni kibovu ila mazingira tu ndio yanatofautisha sehemu ya kulia vibovu.
 
Ukiondoa hizi international Schools ISM, Braeburn, IST, St. Constantine.

Shule zilizo baki Tanzania zinatoa elimu mbovu utofauti ni mazingira ya upokeaji wa vilivyo vibovu.

St. Kayumba na hizi English medium/private wote wale wale wanaendelea kutoa yale yaliyo mabovu yaliyo andaliwa na wizara ya elimu.

Utofauti ni mazingira tu huku huyu St.kayumba akipokea elimu mbovu kwenye mazingira mabovu huku Private anapokea elimu mbovu kwenye mazingira bora.

Mfano. Ni sawa na watu wawili wanao kula maembe yaliyo oza katika sehemu mbili tofauti, mmoja akila embe lake lililo oza chooni mwengine akilila ndani ya hoteli ya nyota tano.

Ila wote kwa pamoja wamekula vilivyo oza.
Kwa hiyo unashaurije
 
English medium za pesa ndefu zina tija.

Sasa hapo kwenye pesa ndefu ndo tutabishana, ila kwa uzoefu wangu hua zinaanzia kwenye 3-4M/mwaka
 
Back
Top Bottom