Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Sasa si alishasema kuwa alikaa nyumbani miaka miwili kuchunga ngombe?Pasco tungemuelewa Mh Mwigulu Nchemba kama angefupisha maelezo kwa kusema "..waungwana, vyeti ni vyangu na nimesoma kama vinavyoonyesha, ila nilirudia shule kwa majina ya mtu mwingine ili kuweza kupata nafasi ya kuendelea na masomo shule ya msingi" ingefaa zaidi
Ina maana aliporudi aliendelea na jina la mtu mwingine