Njaa, njaa , njaa...na elimu duni...wengine tulisema mwanzo kabisa, bila umoja hawa jamaa hawataweza kufanikisha kitu. Kinachonisikitisha ni hata kwenye huu mgogoro wa wao kwa wao wanaweza kusema kuna mkono wa kanisa...hivi ndani ya uislam mfumo wao wa uongozi ukoje,kwani hamna mwenye mamlaka ya mwisho hadi kufikia hatua ya kupingana kila wakati.!
magume-gume
Hivi ni kwanini hakuna hata MWANAMKE MMOJA mwislamu "ALIYESOMA" anayetaka mahakama ya kadhi?
Hata yule aliyepewa TUZO ya uvaaji HIJAAB hataki mahakama ya kadhi. Je ni kwanini?
Mwanaharaki Ponda.
Kwa nini kila wakati unakuwa against Bakwata?
Tulikuwa tunalilia kupata Mufti na tayari tumempata,huoni kama hii ni hatua moja mbele?
Mara nyingi nimekuwa sikuelewi kwani unaelekea kuwa mtu wa shari kuliko kusaidia jami ambayo ipo chini.
Wenzetu wanaitumia nafasi vizuri na wamejaza vyuo vikuu sisi hata sekondari za kuhesabu na tukitoka hapo ni kulia kuonewa kama yatima.
Tutumie fursa na tuwe waadilifu tutapata maendeleo.
Kama una hoja nenda kaongee na Sheikh Mkuu lakini kwangu nashindwa kukuelewa.
Hebu Ponda mtizame Kijana Arfu wa Islamic foundation mambo anayosimamia,huu ni mfano wa kuigwa sio kila wakati kupinga wenzio.
Naona umekurupuka alafu sielewi unachozungumzia ni nini ...?!Mate IF you have to replay me in English would you please do us a favor & learn the language ..?! other wise andika kwa kiswahili kilichonyooka ulitaka kuongea nini..?
This is a sarcastic statement.Take some time to read on how these courts work and get a little bit of insight on Shariah.
You may not agree with it but at least you can widen your thinking horizon.
Sasa Ina Maana kama una kesi
Wewe Mkristo na yeye Mwislamu mtakwenda Mahakama Tofauti?