Kodi yangu ikawalipe akine Shehe Ponda and Co? over my dead body...Agenda ya mahakama ya kadhi ni ya waislamu pekee lakini kuikazia na kuleta umoja ni vema ikafanywa ni agenda ya wote bila kujali imani hasa litakapokuja suala la kuhudumia mahakama hiyo ambapo kodi itakayotumika itakuwa ni ya watanznia wote.
Kama wote tutalitazama suala hili kitaifa tutafika salama.
ukiona mkiristo analipenda baraza la waislam ujue kuna Kitu. NDIO MAANA MAASKOFU +MAPADRI WANALIKUMBATIA. ZILE TAASISI ZINAZOONEKANA KUENDELEZA VYUO VIKUU. MAASKOFU HIZO WANAZIPIGA VITA
HIVI MDF ilokuwa na Chuo kikuu Morogoro nasikia mapadri na maaskofu hawataki hata kuisikia. yao wao BAKWATA isiokuwa na hata mwelekeo. MAPADRI BANA.ujajibu swali mkuu,tatizo la BAKWATA NI NINI???
na izo tahasisi za kiislamu zilizoanzisha vyuo vikuu ni zipi??
naona nyie kila ishu mnakimbilia wakristo ,ata ya kwenu...
Mkuu naona umeshalewa gahawa na pilau asubuhi asubuhi
Unayemsahihishi hujamsaidia bali umemwongezea matatizo ya akili. Kama ungejenga hoja ungemwondoa kwenye tatizo lake.
Refer to your own post dude! One could write even in your own mother tongue, but if your understanding is challenged the result will always be the same!
Kumekuuuuchaa, najuta kufungua uzi huu!!
HIVI MDF ilokuwa na Chuo kikuu Morogoro nasikia mapadri na maaskofu hawataki hata kuisikia. yao wao BAKWATA isiokuwa na hata mwelekeo. MAPADRI BANA.
Uislamu nikama ilivyo imani nyingine, kuna utofauti wa jinsi ya kuiishi imani. Hili ndilo linaloanzisha madhehebu na tofati za mitizamo japo wote hukiri kuwa wa imani moja. Ukristo uko hivyo na Uislamu pia. , na naamini katika imani nyingine pia. Huo ndio ubinadam halisia. Hivyo si jambo jema kutegemea kwa Waislamu au Wakristo na wengine kwa na msimamo mmoja katika kila jambo. Pengine itakuwa jambo jema kama BAKWATA katika mfumo wa sasa kukubali hawawakilishi Waislamu wote bali wale wasunni. Ili kukubalika na wale wa madhehebu mengine wapewe nafasi vinginevyo itakuwa kama walivyo wakristo CCT, TEC,UMPTA n.khivi ndani ya uislam mfumo wao wa uongozi ukoje,kwani hamna mwenye mamlaka ya mwisho hadi kufikia hatua ya kupingana kila wakati.!
mkuu iyo mdf ni nini??
Navyofahamu hicho chuo baada ya kupewa na benjamin mkapa,kilikabidhiwa kwa islamic foundation...japo ni kama kimekufa sasa ivi..
Unasema bakwata haina mwelekeo,ebu nitajie tahasisi ya kiislamu ata moja yenye mwelekeo..alafu kwanini maaskofu na mapadre mbona wanawaumiza vichwa sana,mbona wao hawawaumizi vichwa na masheikh.
duuuu. Swali. Kwanini mapadri na maaskofu wakifunga mikataba na serekali wanaificha bakwata? Lkn mambo mengine wanaikumbatia?
Agenda ya mahakama ya kadhi ni ya waislamu pekee lakini kuikazia na kuleta umoja ni vema ikafanywa ni agenda ya wote bila kujali imani hasa litakapokuja suala la kuhudumia mahakama hiyo ambapo kodi itakayotumika itakuwa ni ya watanznia wote.
Uislamu nikama ilivyo imani nyingine, kuna utofauti wa jinsi ya kuiishi imani. Hili ndilo linaloanzisha madhehebu na tofati za mitizamo japo wote hukiri kuwa wa imani moja. Ukristo uko hivyo na Uislamu pia. , na naamini katika imani nyingine pia. Huo ndio ubinadam halisia. Hivyo si jambo jema kutegemea kwa Waislamu au Wakristo na wengine kwa na msimamo mmoja katika kila jambo. Pengine itakuwa jambo jema kama BAKWATA katika mfumo wa sasa kukubali hawawakilishi Waislamu wote bali wale wasunni. Ili kukubalika na wale wa madhehebu mengine wapewe nafasi vinginevyo itakuwa kama walivyo wakristo CCT, TEC,UMPTA n.k
Mwanaharaki Ponda.
Kwa nini kila wakati unakuwa against Bakwata?
Tulikuwa tunalilia kupata Mufti na tayari tumempata,huoni kama hii ni hatua moja mbele?
Mara nyingi nimekuwa sikuelewi kwani unaelekea kuwa mtu wa shari kuliko kusaidia jami ambayo ipo chini.
Wenzetu wanaitumia nafasi vizuri na wamejaza vyuo vikuu sisi hata sekondari za kuhesabu na tukitoka hapo ni kulia kuonewa kama yatima.
Tutumie fursa na tuwe waadilifu tutapata maendeleo.
Kama una hoja nenda kaongee na Sheikh Mkuu lakini kwangu nashindwa kukuelewa.
Hebu Ponda mtizame Kijana Arfu wa Islamic foundation mambo anayosimamia,huu ni mfano wa kuigwa sio kila wakati kupinga wenzio.
MUFTI hajatumia akili,suala la kadhi linatakiwa litambuliwe na katiba ya jamhuri
Mkuu kwani lazima waislam wahesabiwe? kwani mkijihesabu nyinyi wakiristo itakuwa kosa?