Azniv Protingas
JF-Expert Member
- Oct 29, 2020
- 264
- 405
Jaji George Joseph Kazi ameteuliwa leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ataapishwa tarehe 28 Agosti, 2023 saa 8 Mchana Ikulu Zanzibar na wajumbe wa Tume hiyo. Uteuzi wake unaanza leo 24 Agosti, 2023.
Pia ameteua wajumbe mbalimbali wa tume hiyo; Jaji Aziza Iddi Suwedi, Ndugu Idrisa Haji Jecha, Ndugu Juma Haji Ussi, Ndugu Halima Mohamed Said, Ndugu Ayoub Bakar Hamad na Ndugu Awadh Ali Said.
Pia ameteua wajumbe mbalimbali wa tume hiyo; Jaji Aziza Iddi Suwedi, Ndugu Idrisa Haji Jecha, Ndugu Juma Haji Ussi, Ndugu Halima Mohamed Said, Ndugu Ayoub Bakar Hamad na Ndugu Awadh Ali Said.