AmiinHuyu
Huyu mama atavunja muungano sababu ya upendeleo wa Zanzibar na udini wake
“ukivunjika Tanganyika itakuwa kama Congo”PROF.KABUDI
AmiinHuyu
Huyu mama atavunja muungano sababu ya upendeleo wa Zanzibar na udini wake
Maza kila akipata nafasi lazima ateua Ustaadh.
Yaani ukiangalia uteuzi wa mama ni kama anataka kufanya usawa wa kidini kwenye teuzi.
Akiteua boss muislamu basi msaidizi mkiristo, akiteua boss mkiristo basi msaidizi muislamu.
Hapo anamuandaa aje awe CG baada ya kidata kustaafu.
Hii ni mentality ya kipumbavu kabisa.
Yah right..... Think twice.Ubalozi haulipi bwashee labda kama unataka watoto wakasome nje
Tayari alikuwa balozi!Kama ni hivyo sawa Mkuu.
Maana kutoka Naibu Katibu Tawala tena Mkoani mpaka Vienna that was a BIG JUMP .....!!
Wewe jamaa mjinga sana. Kama mzanzibari amekuwa Rais wa lijamhuri lote hilo then ikushangaze mzanzibari kuwa Naibu Kamishna wa TRA?Umeanza Desemba 5, 2021..?!
Samia Hassan amemteua Mcha Hassan
Mzazibara sio au mzazibari😄
Hii nchi MaCCM mlipoifikisha siko kabisa kabisa.
Jamani mambo mengine hatuyaelewi mimi pia nimekaa muda mrefu hapo Vienna nikiwa mwanafunzi na pia nimeishi Jiji la Salzburg huko huko Austria nikiwa mwanafunzi pale Klessheim 1984, 1985, 1986 sijakutana na hayo mambo.....Jamaa kaenda Vienna patamu hapa Baba
Nilishakaa hiyo kiwanja siku 9 nikarudi Ujerumani kwa wabaguzi
Wananusaga ngozi ya kibongo wanadhani eti labda itakuwa na harufu
Mwisho wanagundua wao ndio Wana harufu
Nawaambia tukae bila kuoga siku tatu Mimi black hutasikia chochote ila wewe utanuka balaa
Tukafanya Hilo zoezi jamaa kesho yake kiatu inatema balaa na kale kaharufu kao
Mimi Niko fresh kabisa
Wakasema African real human being.
Jamaa kaenda Vienna patamu hapa Baba
Nilishakaa hiyo kiwanja siku 9 nikarudi Ujerumani kwa wabaguzi
Wananusaga ngozi ya kibongo wanadhani eti labda itakuwa na harufu
Mwisho wanagundua wao ndio Wana harufu
Nawaambia tukae bila kuoga siku tatu Mimi black hutasikia chochote ila wewe utanuka balaa
Tukafanya Hilo zoezi jamaa kesho yake kiatu inatema balaa na kale kaharufu kao
Mimi Niko fresh kabisa
Wakasema African real human being.
Soma uelewe mkuu Wacha kutaka kujulikana kama na wewe umeenda Austria.Jamani mambo mengine hatuyaelewi mimi pia nimekaa muda mrefu hapo Vienna nikiwa mwanafunzi na pia nimeishi Jiji la Salzburg huko huko Austria nikiwa mwanafunzi pale Klessheim 1984, 1985, 1986 sijakutana na hayo mambo.....
Tafelspitz sawa na huku Bongo huwezi kuruka kula ugaliUlikula Wiener schnitzel mkuu. Au ma Knödel.
Ebhana ehAfu mangi wao hawahitaji teuzi Mana ni matajiri muda sanna kabla hata ya wakoloni walikuwa tayari na shule zao ujue wanasoma.
Saivi hawategemei serikali ya ccm kuwapa ulaji.
Jk anaenda uno kudai Uhuru wamangi wanamsaidia nauli na hotel ya kulala.hii nafasi Bora tungepewa wachunga ng'ombe jamani.
Ila Hawa jamaa ni level zingine.yaani Moshi ikijitenga tu inakuwa among of top three za G7.
Tena Wana Teknolojia ambayo mmarekani akasome