Ndiho
JF-Expert Member
- Feb 23, 2013
- 2,306
- 1,531
Wewe unawajua wanachama wote? Umepigania kukijenga chama wapi? Nani anakujua? Isitoshe hiyo ni nafasi ya walemavu na wewe ni mlemavu mwanamke? Ridhika na kile kinachokutokea kwa njia yako kama sehemu ya maisha yakoTULIKIPIGANIA CHAMA HAKUNA ILA WAKUNJA JUZI WANAPEWA SHAVU.NCHII HII NA VYAMA VYETU NI SIDA