Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,024
- 1,616
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imemteua Aziza Sleyum Ally kuwa Mbunge wa Viti Maalum wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Uteuzi huu ni kufuatia kujiuzulu aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Bahati Keneth Ndingo