Ngoda95
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 2,680
- 4,896
Duuuh huyu lazima atakuwa kiti Maalum kwa Mtu maalum. Hongera zake ni mzurii.Amekaa kikaha kahaba
Duuuh huyu lazima atakuwa kiti Maalum kwa Mtu maalum. Hongera zake ni mzurii.Amekaa kikaha kahaba
Kuwa Niaba ya WAHAYA wote nchini Tunakupongeza sana Mhe. RUGE.
Amekaa kikaha kahaba
Ni kimada wa nani huko Chamani !?
Hatareeeeeeeeeree!
Huyu ni wa mara - serengeti.Kuwa Niaba ya WAHAYA wote nchini Tunakupongeza sana Mhe. RUGE.
Wa M/kiti huyo
View attachment 504730 Ndio maana Mbowe hataki kuachia uenyekiti??
Hebu fafanua kdg mistari miwili ya mwisho tafadhali, itapendeza zaidi ukiweka mfano japo mmojaHapana sio wa kawaida, kwa akii za darasani kweli nakubali ni wa kawaida sana, lakini kwenye mbinu za kupata anachotaka....sio wa kawaida,
Kwani taratibu za kuteuwa zikoje?TULIKIPIGANIA CHAMA HAKUNA ILA WAKUNJA JUZI WANAPEWA SHAVU.NCHII HII NA VYAMA VYETU NI SIDA
Tume ya uchaguzi ndio inayowachagulia hao chadema mwakilishi au chadema ndio wanapendekeza mwakilishi huko tume ya taifa . naomba kueleweshwa tafadhali.
We kweli una wazimuCDM ma-mvi wanapewa pande. Asilia wapoteana.
Ahsanteeee
Soma comment #11Macha alikua mlemavu na alikua anawawakilisha walemavu vp huyu nae mlemavuu
Mkuu una sifa zinazotakiwa?TULIKIPIGANIA CHAMA HAKUNA ILA WAKUNJA JUZI WANAPEWA SHAVU.NCHII HII NA VYAMA VYETU NI SIDA
Tume ya uchaguzi ndio inayowachagulia hao chadema mwakilishi au chadema ndio wanapendekeza mwakilishi huko tume ya taifa . naomba kueleweshwa tafadhali.
Hongera sana lakini brief CVs pls.