Wacha ujinga wewe, kinachotoa mwongozo ni kura za maoni kwenye viti maalum. Hivyo huyu binti alikuwa anawafuatia walioteuliwa mara ya kwanza, hivyo tume huingia tu kwenye orodha na kuchukua aliyekuwa anafuatia kwa wingi wa kura. Hata Mama Rwakatare ilikuwa hivyo hivyo!!
Sidhani km ya mama Rwakatare ilikuwa hivyo hivyo.
M/kiti wa UWT huwa ana nafasi kwenye ubunge wa viti maalum.
Sophia Simba alipata ubunge wa viti maalum kwa kuwa m/kiti wa UWT.
Sasa sijui kuhusu mama Rwakatare.