Deodat
JF-Expert Member
- Sep 18, 2008
- 1,274
- 272
Kabla ya hapo alikuwa anafanya nini..
CV yake kidogo
Catherine, kipindi hicho tukisoma wote alikuwa maarufu kama "Nyakao" ni mwanaharakati mzuri tu, pia ni mjanja sana. Amemaliza chuo mwaka 2007, BCom pale Mlimani. Nakumbuka mara baada ya kumaliza chuo alipata kazi NBC. Alijindeleza pia na kupata MBA with distinction. Ni kitambo kidogo lakini mara ya mwisho nilisikia aliamua kuwa mjasiriamali na kuachanan na kazi za kuajiriwa, na pia akaingia kwenye siasa. Sikusikia tena habari zake hapa katikati mpaka leo nilivyosikia amepata ubunge. Nachoweza kusema she is smart and very strategic. Kwa waliosoma naye wanamjua vizuri.