Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,284
- 10,665
Tena wampe kabisa hiyo nyumba maana walishasema Tooooooooop apewe tu kwa kweli,hawezi kosa Mia tisaNilikuwa nabishana na jamaa yangu hapa kitu hiki hiki tangu jana kuwa huyu jamaa hakutamka neno Millioni so hana alichokosea bali wale Yono ndio wapumbvu kwa kubali kumuuzia mtu nyuma ya millioni 900 kwa Mia 900