Utetezi wa dr. Louis

c7e5d622d2b8066596cdf59c22f92470.jpg

Tuendelee kuzidi kumjua dr shika, na ametushika haswaa
 
Siichukii Chadema ila wenyewe ndiyo wanajipa majanga kupeleka misukule kwenye chama chao. Yaani kila mwenye kasoro LAZIMA atachukuliwa na chadema, jiulize kwanini?
Kwa hiyo walio CCM wote wasafi? Haya ndugu
 
Bashite anajifanya nunda mchapa kazi Luis XVI ni kiboko yake

Don't mind me
 
Utetezi wa Dr. Louis....
Mimi ni kweli nilipanga kununua nyumba zote tatu, na kwenye mnada nilitamka fedha 700, 800 na mwisho 900...
Hakuna popote niliposema milion 900

Nimewaacha police wanarudia kusikiliza ile clip
Exactly.
Wa kulaumiwa ni Dalali.
Ili kuokoa jahazi wanunue wale waliofika bei ya million ie waliopandiliwa dau na Dr.
Neno itapendeza lilitosha sana kumtia upofu Dalali na kupoteza neno million kama mzizi wa thamani ya Mali husika.
 
Utetezi wa Dr. Louis....
Mimi ni kweli nilipanga kununua nyumba zote tatu, na kwenye mnada nilitamka fedha 700, 800 na mwisho 900...
Hakuna popote niliposema milion 900

Nimewaacha police wanarudia kusikiliza ile clip
Lakini si ndiyo ukweli?
 
Back
Top Bottom