kadagala1
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 5,941
- 6,213
HahahaHebu tufanye bilioni moja
HahahaHebu tufanye bilioni moja
Hakuwa nayo wakati huosasa si angelipa tu hiyo 25% ya 900?
Chief tengaga mda wa siasa na mda wa ku-refresh mind..sio kila saa tunajadili mambo ya vyama humu use your brain!
Hata kama ni kuichukia Chadema sio kihivyo mkuu
Utakuwa unawashwa sio bure
Nakupuuzia najua ni stress tu za maisha zinakusumbua,na bado mtanyoka tu snaNdiyo maana mchana nilikuchapa zile goli mpaka ukalia na kujuta kwa nini ulinikubalia ile mechi.
Exactly.Utetezi wa Dr. Louis....
Mimi ni kweli nilipanga kununua nyumba zote tatu, na kwenye mnada nilitamka fedha 700, 800 na mwisho 900...
Hakuna popote niliposema milion 900
Nimewaacha police wanarudia kusikiliza ile clip
Lakini si ndiyo ukweli?Utetezi wa Dr. Louis....
Mimi ni kweli nilipanga kununua nyumba zote tatu, na kwenye mnada nilitamka fedha 700, 800 na mwisho 900...
Hakuna popote niliposema milion 900
Nimewaacha police wanarudia kusikiliza ile clip
Mkuu mimi sidaiwi
Tuendelee kuzidi kumjua dr shika, na ametushika haswaa
Kwa hiyo walio CCM wote wasafi? Haya ndugu