Utetezi wa dr. Louis

Aise nimecheka mpaka nimeanguka kwenye kiti....Hahahaha Pale Yono na Polisi kuna vioja vya kufa mtu, ila sishangai, na ndio naelewa kwanini The late Mch. Mtikila kwanini hajashindwa kesi vs dola...
pole nyanyuka mkuu
 
Yaani hunishindi mimi, leo ofisini kila nikipata muda, najikumbushia youtube ule mnada na yale mapozi yake sasa! Yule akija humu JF namkabidhi kwako!
Hapana
nimemshindwa halafu alivyofika tu anaulizia malipo yanakuaje yanalipwaje
kumbe hana thumni
 
Yaani hunishindi mimi, leo ofisini kila nikipata muda, najikumbushia youtube ule mnada na yale mapozi yake sasa! Yule akija humu JF namkabidhi kwako!
Achana na hilo, hukuona vile vitambaa alivyopepewa navyo! Mama Yono naye alilewa na mawazo ya "ching ching" akasahau kabisa sheria za minada.. hahahahaha, niko hoi kabisa aise, sjiwezi na mbavu zauma...
 
Achana na hilo, hukuona vile vitambaa alivyopepewa navyo! Mama Yono naye alilewa na mawazo ya "ching ching" akasahau kabisa sheria za minada.. hahahahaha, niko hoi kabisa aise, sjiwezi na mbavu zauma...
yule jamaa mkali aiseee! ni zaidi ya genius!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…