Ronzobe B29
JF-Expert Member
- Jul 8, 2017
- 242
- 89
Wakauu,
Kuna changamoto moja nakumbana nayo katika utengenezaji wa sabuni ya mche nayo maji kujitenga chini na mafuta kuwa juu
Mara ya kwanza nilitumia mawese na mara ya pili nilitumia mise hali ikawa ni ileile
Naomba msaada nifanyeje ili maji yasijitenge na mafuta?
Na swali la pili niongeze nini ili sabuni iwe na mapovu mengi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna changamoto moja nakumbana nayo katika utengenezaji wa sabuni ya mche nayo maji kujitenga chini na mafuta kuwa juu
Mara ya kwanza nilitumia mawese na mara ya pili nilitumia mise hali ikawa ni ileile
Naomba msaada nifanyeje ili maji yasijitenge na mafuta?
Na swali la pili niongeze nini ili sabuni iwe na mapovu mengi?
Sent using Jamii Forums mobile app