Maduka ya Malighafi za viwandani kwa hapa dar hapo kariakoo ..mwenge na mbagala au sido yoyote iliyopo karibu na wewe.Maduka gani wanauza hizo malighafi
ThanksThanks for sharing, what a generous spirit, be blessed
Unachanganya na Castile soap pamoja na vidonge vya vitamin e ili iweze kukaa kwa muda mrefuNikitaka kutengeneza shampo ya virutubisho, kwa mfano, ya Nazi,ya olive nk
Nafanyaje?
Umefanya vzr sana madam kufungua kiwanda
AhsanteniMkuu vizuri
Ahsante kwa kunikumbusha nitaziweka keshoUmesahau bei za malighafi ambapo ndio mzizi mkuu wa uzalishaji
Nakuaminia jiraniLazima nijue kutengeneza hii jirani subiri muda ufike.
Bei zinatofautiana mkuu; mfano huku Rocky city Sulphonic Acid lita Tshs. 8,000/= Sless lita 7,000/= Glyselyn Lita 6,500/= Chumvi Kg. 1,000/=Umesahau bei za malighafi ambapo ndio mzizi mkuu wa uzalishaji
Mwanza bei zipo juu sana duh!!Bei zinatofautiana mkuu; mfano huku Rocky city Sulphonic Acid lita Tshs. 8,000/= Sless lita 7,000/= Glyselyn Lita 6,500/= Chumvi Kg. 1,000/=
Amen mkuuMungu akubariki Mkuu,