Utekaji Tanganyika! Kumepoa kidogo au!?

Utekaji Tanganyika! Kumepoa kidogo au!?

Hueleweki unataka nini, watu wakitekwa kelele nyingi, wasipotekwa bado kelele nyingi. ni kama unapenda na unafurahia watu wanavyotekwa kiasi cha kuwakumbusha wahusika
Kama hujaelewa mada unaweza kuomba ukaeleweshwa kwa hekima
 
Kwa kipindi kisichopungua miaka ishu na habari za utekaji zilianza kuoezwa kwenye masikio yetu.. Utekaji ukawa kama fashion!

Ilikuwa haipiti siku mbili bila kusoma habari na matukio ya utekaji.. Kuteka watu mitaani..

Kuna walionusurika kutekwa
Kuna waliotekwa kisha wakapatikana wakiwa hai wazima wa afya lakini taswira zao zikionesha hofu

Kuna waliotekwa na kupatikana wakiwa hai lakini katika hali mbaya sana kiafya kutokana na majeraha ya mateso na vipigo
Kuna waliotekwa na kupatikana wakiwa marehemu na miili yao ikionesha dakika zao za mwisho walizimalizaje

Kuna waliotekwa na baada ya kelele nyingi wakapatikana vituo vya police

Kuna waliotekwa na hawajawahi kuonekana popote na ndugu hawajui waweke msiba au waanue tanga!

Kwenye kilele cha utekaji likaibuka kundi la TFF na kupiga mkwara mzito kuhusu watekaji na utekaji..

Baada ya mkwara huo ni kama kumepoa kidogo ama ndio wameenda halftime?
wamefunga mwezi mtukufu, ngoja mwezi uuishe kwanza
 
Kwa kipindi kisichopungua miaka ishu na habari za utekaji zilianza kuoezwa kwenye masikio yetu.. Utekaji ukawa kama fashion!

Ilikuwa haipiti siku mbili bila kusoma habari na matukio ya utekaji.. Kuteka watu mitaani..

Kuna walionusurika kutekwa
Kuna waliotekwa kisha wakapatikana wakiwa hai wazima wa afya lakini taswira zao zikionesha hofu

Kuna waliotekwa na kupatikana wakiwa hai lakini katika hali mbaya sana kiafya kutokana na majeraha ya mateso na vipigo
Kuna waliotekwa na kupatikana wakiwa marehemu na miili yao ikionesha dakika zao za mwisho walizimalizaje

Kuna waliotekwa na baada ya kelele nyingi wakapatikana vituo vya police

Kuna waliotekwa na hawajawahi kuonekana popote na ndugu hawajui waweke msiba au waanue tanga!

Kwenye kilele cha utekaji likaibuka kundi la TFF na kupiga mkwara mzito kuhusu watekaji na utekaji..

Baada ya mkwara huo ni kama kumepoa kidogo ama ndio wameenda halftime?
Hii bila shaka ni mbinu ya kuwasahaulisha wananchi waamini hali ni shwari ghafla wanaanza tena utekaji. Lakini tangu walipowaua raia siku ya MO29 naona kama hamu yao ya kuteka imepungua kidogo. Anyway, ngoja tuone. Hawa jamaa sio wa kuwaamini hata kidogo.
 
Hii bila shaka ni mbinu ya kuwasahaulisha wananchi waamini hali ni shwari ghafla wanaanza tena utekaji. Lakini tangu walipowaua raia siku ya MO29 naona kama hamu yao ya kuteka imepungua kidogo. Anyway, ngoja tuone. Hawa jamaa sio wa kuwaamini hata kidogo.
Sidhani nadhani UTEKAJI SASA BASI
 
Kwa kipindi kisichopungua miaka ishu na habari za utekaji zilianza kuoezwa kwenye masikio yetu.. Utekaji ukawa kama fashion!

Ilikuwa haipiti siku mbili bila kusoma habari na matukio ya utekaji.. Kuteka watu mitaani..

Kuna walionusurika kutekwa
Kuna waliotekwa kisha wakapatikana wakiwa hai wazima wa afya lakini taswira zao zikionesha hofu

Kuna waliotekwa na kupatikana wakiwa hai lakini katika hali mbaya sana kiafya kutokana na majeraha ya mateso na vipigo
Kuna waliotekwa na kupatikana wakiwa marehemu na miili yao ikionesha dakika zao za mwisho walizimalizaje

Kuna waliotekwa na baada ya kelele nyingi wakapatikana vituo vya police

Kuna waliotekwa na hawajawahi kuonekana popote na ndugu hawajui waweke msiba au waanue tanga!

Kwenye kilele cha utekaji likaibuka kundi la TFF na kupiga mkwara mzito kuhusu watekaji na utekaji..

Baada ya mkwara huo ni kama kumepoa kidogo ama ndio wameenda halftime?
Wamefunga
 
Kwa kipindi kisichopungua miaka ishu na habari za utekaji zilianza kuoezwa kwenye masikio yetu.. Utekaji ukawa kama fashion!

Ilikuwa haipiti siku mbili bila kusoma habari na matukio ya utekaji.. Kuteka watu mitaani..

Kuna walionusurika kutekwa
Kuna waliotekwa kisha wakapatikana wakiwa hai wazima wa afya lakini taswira zao zikionesha hofu

Kuna waliotekwa na kupatikana wakiwa hai lakini katika hali mbaya sana kiafya kutokana na majeraha ya mateso na vipigo
Kuna waliotekwa na kupatikana wakiwa marehemu na miili yao ikionesha dakika zao za mwisho walizimalizaje

Kuna waliotekwa na baada ya kelele nyingi wakapatikana vituo vya police

Kuna waliotekwa na hawajawahi kuonekana popote na ndugu hawajui waweke msiba au waanue tanga!

Kwenye kilele cha utekaji likaibuka kundi la TFF na kupiga mkwara mzito kuhusu watekaji na utekaji..

Baada ya mkwara huo ni kama kumepoa kidogo ama ndio wameenda halftime?
Wamefunga
 
Mama Shetani anajifunza mbinu mpya za utekaji
 
Wapinzani wapo wachache Sasa hamna wa kunyanyua mdomo. 😔It's very painful to see, how two kind of colonizers wanatutawala licha ya kuwa na raia wenye majoho wengi, na raia wanaoelewa umuhimu wa haki inayofuata katiba nchini.
 
Back
Top Bottom