Utekaji Tanganyika! Kumepoa kidogo au!?

Utekaji Tanganyika! Kumepoa kidogo au!?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,869
Reaction score
828,401
Kwa kipindi kisichopungua miaka ishu na habari za utekaji zilianza kuoezwa kwenye masikio yetu.. Utekaji ukawa kama fashion!

Ilikuwa haipiti siku mbili bila kusoma habari na matukio ya utekaji.. Kuteka watu mitaani..

Kuna walionusurika kutekwa
Kuna waliotekwa kisha wakapatikana wakiwa hai wazima wa afya lakini taswira zao zikionesha hofu

Kuna waliotekwa na kupatikana wakiwa hai lakini katika hali mbaya sana kiafya kutokana na majeraha ya mateso na vipigo
Kuna waliotekwa na kupatikana wakiwa marehemu na miili yao ikionesha dakika zao za mwisho walizimalizaje

Kuna waliotekwa na baada ya kelele nyingi wakapatikana vituo vya police

Kuna waliotekwa na hawajawahi kuonekana popote na ndugu hawajui waweke msiba au waanue tanga!

Kwenye kilele cha utekaji likaibuka kundi la TFF na kupiga mkwara mzito kuhusu watekaji na utekaji..

Baada ya mkwara huo ni kama kumepoa kidogo ama ndio wameenda halftime?
 
Kwa kipindi kisichopungua miaka ishu na habari za utekaji zilianza kuoezwa kwenye masikio yetu.. Utekaji ukawa kama fashion!

Ilikuwa haipiti siku mbili bila kusoma habari na matukio ya utekaji.. Kuteka watu mitaani..
Kuna walionusurika kutekwa
Kuna waliotekwa kisha wakapatikana wakiwa hai wazima wa afya lakini taswira zao zikionesha hofu
Kuna waliotekwa na kupatikana wakiwa hai lakini katika hali mbaya sana kiafya kutokana na majeraha ya mateso na vipigo
Kuna waliotekwa na kupatikana wakiwa marehemu na miili yao ikionesha dakika zao za mwisho walizimalizaje
Kuna waliotekwa na baada ya kelele nyingi wakapatikana vituo vya police
Kuna waliotekwa na hawajawahi kuonekana popote na ndugu hawajui waweke msiba au waanue tanga!
Kwenye kilele cha utekaji likaibuka kundi la TFF na kupiga mkwara mzito kuhusu watekaji na utekaji.. Baada ya mkwara huo ni kama kumepoa kidogo ama ndio wameenda halftime?
Utekaji umepisha tume kwanza imalize kazi yake ya kuandaa ripoti ya kuitetea serikali ktk mauaji ya uchaguzi wa MO29. Baada ya tume kuwasilisha utetezi wake kwa serikali, mauaji yataanza upyaaaaa!
 
Watekaji wametishika, wameona tayari wanajulikana na chochote kibaya kinaweza kuwatokea muda wowote. Wametishika baada ya kelele nyingi kupigwa juu yao kuhusu utekaji, imebaki kidogo watajane maana wanajuana
 
Watekaji wametishika, wameona tayari wanajulikana na chochote kibaya kinaweza kuwatokea muda wowote. Wametishika baada ya kelele nyingi kupigwa juu yao kuhusu utekaji, imebaki kidogo watajane maana wanajuana
 
Mtoa mada mimi kama MR PIPA kwenye ulimwengu wa roho nakuona kama na wewe ni mmoja wa hao tff afu kama unapigia chapuo la ku comfim chama......alisikika mganga mmoja kutoka chitipa
 
Mtoa mada mimi kama MR PIPA kwenye ulimwengu wa roho nakuona kama na wewe ni mmoja wa hao tff afu kama unapigia chapuo la ku comfim chama......alisikika mganga mmoja kutoka chitipa
Ndugu mr pipa ulimwengu wa roho una pande mbili halisi isiyochakachulika na fekelo! Hapa umejaribu kutumia ramli chonganishi zinazochakachulika kulingana na matakwa ya binadamu
 
Back
Top Bottom