Wana Tango tembeeni vifua mbele mfurahie kutekwa.
Kama kule Tarime tu mmama asipopigwa na mumewe lazima akashtaki ukweniRaia wasipotekwa wanauliza kuna tatizo gani?
Tena kama mtu ana anwani ya kueleweka wanaweza hata wakamfata ofisini kwake na viongozi wake wakafahamu au kama ni nyumbani wapitie serikali ya mtaaHivi kukamatana kisheria haiwezekaani mpaka watu watekane? Kama mtu anakukosea kwanini usimfungulie mashtaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena kama mtu ana anwani ya kueleweka wanaweza hata wakamfata ofisini kwake na viongozi wake wakafahamu au kama ni nyumbani wapitie serikali ya mtaaHivi kukamatana kisheria haiwezekaani mpaka watu watekane? Kama mtu anakukosea kwanini usimfungulie mashtaka
Sent using Jamii Forums mobile app