Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 370,954 Reaction score 858,889 Jan 12, 2015 Thread starter #3 DULLAH B. said: Nachukua Click to expand... Na tunguli zake?
Shy land JF-Expert Member Joined Jul 28, 2013 Posts 6,245 Reaction score 2,856 Jan 12, 2015 #4 mshana jr pale kwenye heading ya thread ni typing erro au uliamisha hivyo hivyo kama ulivyoandikwa "utazichua" Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
mshana jr pale kwenye heading ya thread ni typing erro au uliamisha hivyo hivyo kama ulivyoandikwa "utazichua"
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 370,954 Reaction score 858,889 Jan 12, 2015 Thread starter #5 Shy land said: mshana jr pale kwenye heading ya thread ni typing erro au uliamisha hivyo hivyo kama ulivyoandikwa "utazichua" Click to expand... Ooh thanks Shy land ni typing error Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Shy land said: mshana jr pale kwenye heading ya thread ni typing erro au uliamisha hivyo hivyo kama ulivyoandikwa "utazichua" Click to expand... Ooh thanks Shy land ni typing error
KikulachoChako JF-Expert Member Joined Jul 21, 2013 Posts 19,880 Reaction score 40,040 Jan 12, 2015 #6 Potelea mbali uchawi hauendi kwa mentali... Nazichukua nafanya yangu..mambo mengine baadaye...
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 370,954 Reaction score 858,889 Jan 12, 2015 Thread starter #7 KikulachoChako said: Potelea mbali uchawi hauendi kwa mentali... Nazichukua nafanya yangu..mambo mengine baadaye... Click to expand... Hahahahaaaa zikienda kugeuka joka kubwa sijui utafanyaje
KikulachoChako said: Potelea mbali uchawi hauendi kwa mentali... Nazichukua nafanya yangu..mambo mengine baadaye... Click to expand... Hahahahaaaa zikienda kugeuka joka kubwa sijui utafanyaje
KikulachoChako JF-Expert Member Joined Jul 21, 2013 Posts 19,880 Reaction score 40,040 Jan 12, 2015 #8 mshana jr said: Hahahahaaaa zikienda kugeuka joka kubwa sijui utafanyaje Click to expand... Nalifanya kuwa la maonyesho alafu napiga hela....
mshana jr said: Hahahahaaaa zikienda kugeuka joka kubwa sijui utafanyaje Click to expand... Nalifanya kuwa la maonyesho alafu napiga hela....
20PROFF JF-Expert Member Joined Nov 5, 2013 Posts 8,217 Reaction score 7,261 Jan 12, 2015 #9 mshana jr said: View attachment 217882 Click to expand... Mbona hayo wanatisha tu, mimi nachukua mkwanjwa mayai na hivyo viungo naenda kupika, kama mbwai mbwai tu
mshana jr said: View attachment 217882 Click to expand... Mbona hayo wanatisha tu, mimi nachukua mkwanjwa mayai na hivyo viungo naenda kupika, kama mbwai mbwai tu
naiman64 JF-Expert Member Joined Nov 22, 2013 Posts 6,989 Reaction score 5,510 Jan 12, 2015 #10 Nazichukua hivyo vingine vinabaki
naiman64 JF-Expert Member Joined Nov 22, 2013 Posts 6,989 Reaction score 5,510 Jan 12, 2015 #11 mshana jr said: Hahahahaaaa zikienda kugeuka joka kubwa sijui utafanyaje Click to expand... Mkuu hizi hazifiki nyumbani na bank haziendi, na silali nazo, mkuu usicheze na pesa
mshana jr said: Hahahahaaaa zikienda kugeuka joka kubwa sijui utafanyaje Click to expand... Mkuu hizi hazifiki nyumbani na bank haziendi, na silali nazo, mkuu usicheze na pesa
T tigo ya17 Member Joined Jan 7, 2015 Posts 18 Reaction score 3 Jan 12, 2015 #12 Pesa hailogeki,mkuu siachi KTU hapo
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 370,954 Reaction score 858,889 Jan 12, 2015 Thread starter #13 naiman64 said: Nazichukua hivyo vingine vinabaki Click to expand... naiman64 said: Mkuu hizi hazifiki nyumbani na bank haziendi, na silali nazo, mkuu usicheze na pesa Click to expand... Hahahahaaaa unazijojolea tu unafuiza kila kitu
naiman64 said: Nazichukua hivyo vingine vinabaki Click to expand... naiman64 said: Mkuu hizi hazifiki nyumbani na bank haziendi, na silali nazo, mkuu usicheze na pesa Click to expand... Hahahahaaaa unazijojolea tu unafuiza kila kitu
WABALLA Inc JF-Expert Member Joined Sep 2, 2014 Posts 2,711 Reaction score 1,018 Jan 12, 2015 #14 mshana jr said: Na tunguli zake? Click to expand... Hapo tunguli zinawekwa kando fedha inabebwa!
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 370,954 Reaction score 858,889 Jan 12, 2015 Thread starter #15 merengo90 said: Mbona hayo wanatisha tu, mimi nachukua mkwanjwa mayai na hivyo viungo naenda kupika, kama mbwai mbwai tu Click to expand... Hahahahaaaa hii Kali visipoiva sijui itakuwaje
merengo90 said: Mbona hayo wanatisha tu, mimi nachukua mkwanjwa mayai na hivyo viungo naenda kupika, kama mbwai mbwai tu Click to expand... Hahahahaaaa hii Kali visipoiva sijui itakuwaje
20PROFF JF-Expert Member Joined Nov 5, 2013 Posts 8,217 Reaction score 7,261 Jan 12, 2015 #16 mshana jr said: Hahahahaaaa hii Kali visipoiva sijui itakuwaje Click to expand... Mbele ya mto uliochochewa kwa kuni ya mninga, then ukiwek magadi kidgo.aaah ngoma inaitika
mshana jr said: Hahahahaaaa hii Kali visipoiva sijui itakuwaje Click to expand... Mbele ya mto uliochochewa kwa kuni ya mninga, then ukiwek magadi kidgo.aaah ngoma inaitika
naiman64 JF-Expert Member Joined Nov 22, 2013 Posts 6,989 Reaction score 5,510 Jan 12, 2015 #17 mshana jr said: Hahahahaaaa unazijojolea tu unafuiza kila kitu Click to expand... Nitakumbuka hiyo tiba baada ya kuzimaliza mkuu,.
mshana jr said: Hahahahaaaa unazijojolea tu unafuiza kila kitu Click to expand... Nitakumbuka hiyo tiba baada ya kuzimaliza mkuu,.
kitwala JF-Expert Member Joined Aug 31, 2012 Posts 1,476 Reaction score 1,066 Jan 12, 2015 #18 Hizo nachukua kama vile zangu.
Mchochezi JF-Expert Member Joined Feb 29, 2012 Posts 11,451 Reaction score 9,966 Jan 12, 2015 #19 Ntachukua kila kitu kilichopo
Lukub JF-Expert Member Joined Feb 5, 2012 Posts 3,796 Reaction score 4,297 Jan 12, 2015 #20 yai naliangalia juani kama sio viza nachemsha kisha napika Chai Na tangawizi,pesa nafungua a/c ya euro saaafi
yai naliangalia juani kama sio viza nachemsha kisha napika Chai Na tangawizi,pesa nafungua a/c ya euro saaafi