Joeli
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 4,941
- 3,414
Kiimani ni dhambi hata quraan imeandika "ole wake mwanaume aufanyaye mkono wake kuwa uke". kwa biblia cjui imeandikwaje ila ni dhambi as unazini. Kitaalam (afya) tabia hii ukiizoea ina kujakupunguza ladha ya utamu wa tendo la ndoa, yaani utakuwa ukilalal na mwanamke hutakaa uone utamu wake as umeshazoea kufanya hivi, haitapendeza umeoa mke unalala nae huridhiki utajarib mwingine, tatizo pale pale na mwingine na mwingine kumbe tatizo ni wewe.
na kwa mada yako hapo juu huyu tatizo lishamkumba amesema "hyo mambo ndo inamfanya apate raha kuliko hata ku du na mwanamke". akioa itakuwa tabu atakua MALAYA as mkewe hatamtosha.
Mbinu yakuacha ni kujikeep bize na kazi au shule na kusogea karib na Mungu ili aache nakutubu
Natumai nimejibu nakukusaidia kama Great thinker
Haipunguzi raha ya tendo la ndoa, hii kitu raha yake ni tofauti.
Halafu hebu niambie ipi dhambi, ufanye na mwanamke au upige puli usipate ukimwi...