Utawezaje kuacha kupiga punyeto?

Utawezaje kuacha kupiga punyeto?

back to the topic,Morgan muache jamaa aendelee na game,faida kibao wadau wamedadavua,na wengi wamesema wanaendelea na game,na wengine tulichukulia ubingwa,pamoja na yote hayo MASTERMASTER DOESNT BREAK YOUR HEART!haaaaa!haaaa!haaaa
 
MC tilly chizenga wakati unafanya hayo au unaelezea hayo fikiria mbavu zetu bana
maana mambo mengine unaeleza halafu mtu anakuimagine ulivyo na hizi story zako duh ni balaa
 
bwana usiache labda nikuongezee na stly mbili

1: chukua nzi kama 6 waweke kwenye kifuko cha icecrem au ubuyu kilichojaa upepo kisha ingiza hiyo dushelele ndani yake then washitue wale inzi design kama unawasha pikipiki na mguu kisha utaona habari yake

2: kitandani pale kwenye godoro (hasa hasa la posho city(dodoma)) toboa kitobo kidogo sana na peni (obama smooth line) kisha weka maji ya moto kidogo na sabuni nyingi ( family ya mche) kisha dumbukiza dushelele, chukulia kama upo na nick minaji back and for mara 36.67 kisha utaona vitu vinatoka mbele ya dushelele.

usiogope hiyo ni faida yako kwa kazi uliyo ifanya

Eeeee Mungu... saidia kizazi hiki.
 
round ya kwanza yaani mchujo kigezo ilikuwa LONG DISTANCE SHOT,hiyo ilikuwa anayerusha "risasi" mbali zaidi,mashindano yalifanyika ktk jengo la KICC,mwana nilirusha risasi toka jengo KICC mpaka Continental hotel!kama ni dar ni jengo la benjamin mkapa mpaka city garden hotel!nikavuka round ya awali wapinzani wakaanza kunihofia

Kwi kwi kwi kwi.......
 
FAINALI:ODONGO VS MIMI

QUANTITY SHOT:hapo ngoma ilikuwa ujazo wazee,piga bao nyingi utakazo mpaka useme basi,ilikuwa kujaza vikombe vya kahawa!Odongo sitamsahau,ilikuwa kama penati piga nipige lakini kwetu ilikuwa jaza nijaze,Odongo alijaza vikombe 12 vya kahawa bingwa wenu nilijaza 13 nikabeba taji!

nimemaliza,kuna maswali?

Hamna kitu hapo, kuna jamaa alizima moto gari yake kwa manii, hakukua na maji karibu
 
mashindano yapo tu kiongozi,siku hizi waganda wanashinda kila siku sijui jamaa wanatumia nini,
naendelea kutiririka

round ya pili ilikuwa kigezo cha POWERFUL SHOT,yaani unaachia risasi nzito,mpinzani wangu mkuu yeye alirusha risasi akatoboa gazeti la daily nation likiwa zimazima bila kuchambua page yeyote

ilipofika zamu yangu nikawaambia walete kioo cha lori scania,nikakoki mtambo mwana nikafyatua "wareno" kwenye kioo cha scania nikatoa cracks kibao,japo lengo langu ilikuwa nikivunjilie mbali kioo lakini nilitisha kwa hiko kiwango nikaingia robo fainali

Umenivunja mbavu ya kushoti juu...
 
FAINALI:ODONGO VS MIMI

QUANTITY SHOT:hapo ngoma ilikuwa ujazo wazee,piga bao nyingi utakazo mpaka useme basi,ilikuwa kujaza vikombe vya kahawa!Odongo sitamsahau,ilikuwa kama penati piga nipige lakini kwetu ilikuwa jaza nijaze,Odongo alijaza vikombe 12 vya kahawa bingwa wenu nilijaza 13 nikabeba taji!

nimemaliza,kuna maswali?

Hakuna maswali...
 
Hamna kitu hapo, kuna jamaa alizima moto gari yake kwa manii, hakukua na maji karibu

inawezekana mi sikatai,tatizo la huyo jamaa kipaji anacho lakini anakikalia,wenzake tumechukulia madolali!mshauri akashiriki!

yapo pia mashindano ya mwanamke mtamu zaidi,kama unajiamini we mtamu nikupe mchongo ukashiriki?kumbuka kuna interview lakini!!!!!teh!teh!teh
 
Jaman nina ndugu yangu anapenda cana hizo mambo nimemshauri aache but anacema hyo mambo ndo inamfanya apate raha kuliko hata ku du na mwanamke co naomben michango jaman nimcaidiaje.

Ha haaaa. Mkuu huyo jamaa yako ni domo zege hana lolote

Kwa mujibu wa utafiti wa kisayansi imebainika wanaume wengi wanaopiga zaidi nyeto na kuathirika na tendo hilo ni wale madomo zege

Huyo dawa yake ni kumtafutia demu tu alafu demu apewe z
A to Z kisha jamaa aanze kupewa mambo adimu .......... Ataacha mwenyewe
 
Ha haaaa. Mkuu huyo jamaa yako ni domo zege hana lolote

Kwa mujibu wa utafiti wa kisayansi imebainika wanaume wengi wanaopiga zaidi nyeto na kuathirika na tendo hilo ni wale madomo zege

Huyo dawa yake ni kumtafutia demu tu alafu demu apewe z
A to Z kisha jamaa aanze kupewa mambo adimu .......... Ataacha mwenyewe

kaka umerudi?hivi ulikuwa na kisa gani kile ulichokuja nacho mara ya mwisho?
 
Jaman nina ndugu yangu anapenda cana hizo mambo nimemshauri aache but anacema hyo mambo ndo inamfanya apate raha kuliko hata ku du na mwanamke co naomben michango jaman nimcaidiaje.



Nimekuwekea post yako vizuri wakuu waichangie...........inaenda hivi sasa,


"Jaman ninapenda cana hizo mambo nimejaribu niache but hyo mambo ndo inanfanya npate raha kuliko hata ku du na mwanamke co naomben michango jaman nifanyeje?!?!"
 
kaka umerudi?hivi ulikuwa na kisa gani kile ulichokuja nacho mara ya mwisho?

Namkumbuka na mimi huyu mdau alikujaga na pasua kichwa ya ajabu..
Sijui hata aliamua nini aisee..kuna haja ya hawa watu kuwa wanatuletea 'mlishonyuma'..
 
kaka umerudi?hivi ulikuwa na kisa gani kile ulichokuja nacho mara ya mwisho?

Namkumbuka na mimi huyu mdau alikujaga na pasua kichwa ya ajabu..
Sijui hata aliamua nini aisee..kuna haja ya hawa watu kuwa wanatuletea 'mlishonyuma'..
Duh kila ninapotupia post lazima nibandikwe hili swali...........
Nipo kwenye mchakato
ukikamilika nitarudi kwa mlishonyuma wandugu

kwasasa tumsaidie huyu muheshimiwa
 
Jaman nina ndugu yangu anapenda cana hizo mambo nimemshauri aache but anacema hyo mambo ndo inamfanya apate raha kuliko hata ku du na mwanamke co naomben michango jaman nimcaidiaje.

Fuata ushauri huu hapa, ndugu yako atapona.

Rekebisha lugha kwanza ndio nitasema chochote
Tena mie nina dawa ya kunywa tatizo linaisha kabisa

Sharti, rekebisha kiswahili chako kwanza.
 
Acheni utani nyie, mtu kaomba ushauri aachane na puri halafu nyinyi mnanogesha jinsi mnavyoneemeka na puri, kisaikolojia mnamfanya huyu jamaa ajione yupo sawa, hammtendei haki huyu jamaa. Nimecheka sana hizo stori zenu za puri mnavyozinogesha
 
Back
Top Bottom