Utawezaje kuacha kupiga punyeto?

Utawezaje kuacha kupiga punyeto?

ckia basi! fanya mazoezi, jikeep busy na mambo yako hutakuwa na hisia za kupiga pull!
 
Huwa anapiga mara ngapi kwa juma? Jibu la swali hili ndo litaleta ushauri mzuri kwa ndugu yako.
 
Jaman nina ndugu yangu anapenda cana hizo mambo nimemshauri aache but anacema hyo mambo ndo inamfanya apate raha kuliko hata ku du na mwanamke co naomben michango jaman nimcaidiaje.

Acha hizo bhana!!! Omba msaada kwa ajili yako, wacha kuwazushia wengine.
 
yani mi kupiga puli siachi na dawa sitaki, asipokuwepo tu mama watoto kwa muda lazima nipige kidogo, ina raha yake tofauti na kula mzigo wa ukweli....raha sana...
wala asiwadanganye mtu eti kuna madhara, yani nimeanza tangu nabalehe mpaka leo lakini hakuna mgongo kuuma wala nguvu kupungua tena ndo nimeongeza kasi hahhahahahaha

Daa hii topic imenivunja mbavu saana.. kwani kuna mshikaji tulipokuwa form v alikuwa anapiga sana.. siku moja alipiga kelele bafuni kwa utamu, akadondokea kwenye ndoo ya chuma ikamkata.. tulipokwenda kumsaidia tunakuta mwanaume kavimba sana.. Haaaa haaa haaaaa
 
Itafika kipindi utaacha tu mwenyewe mzee nakwambia hivi asilimia 80 ya wanaume hasa hawa waliozaliwa 1985+ wamepiga punyeto lakini hatimaye tumeacha hivyo usiwaze sana bro endelwa tu kujiachia kwa raha zako.
 
Pole Sana..nguvu ya Mungu inahitajika Sana ili uachane na huo mchezo.
 
Ninaye lkn nakwambia lazma tu ntaingia kwenye 18 na chaputa

Unatakiwa umgonge huyo demu mara kwa mara isipite siku bila ya kumgonga.

Ikiwezekana hata mara 3 kwa siku halaf utaniambia mrejesho.
 
truthone, mimi naamini ukipata side effect kama ambazo baadhi ya wadau huwa wanazipost utaacha mfano siku ukishindwa kumiliki mchezo utaacha tu. Aaaf niunge mkono hoja ukikua utaacha
 
Wewe endelea, lkn yakikukuta makubwa hakuna kuja kulia huku. Punyeto ni kitu kibaya kabisa, kinabadili body chemistry!. Acha haraka sana kabla hazijaja siku za majuto
 
Once in, always in! You can't beat it, it's too addictive! Inahitaji nguvu kubwa ya kisaikolojia kujitoa huko!
 
Anyway pole sana dogoo, sijajua umri wako ila i bet unaweza ukawa teenager au early 20's. Hilo tatizo sio geni sanaa na naamini 90% ya wanaume wengi tumepitia huko au kupata tabu kuacha huo mchezo.

Nakumbuka enzi zangu za high school uboizini kushtua hata mara tatu kwa siku ilikuwa jambo la kawaida sana ila mchezo ulikuja kuisha kipindi cha University, sikuona sababu ya sabuni wakati watoto wazuri kila kona.

USHAURI
Usipende kujiweka mwenyewe mwenyewe sanaa, punguza au achana kabisa na michezo ya kukesha kwenye page za porn zinaongeza sana ushawishi kupiga nyeto, Kama si mtu wa michezo, ebu anza sasa kuuchosha mwili wako na mazoezi hutopata muda wa nyeto.

Najua kwa umri wako inaweza ikawa ngumu kupata "papuchi" mwanamke wa kusex nae mara kwa mara lakini nakushauri ukipata demu chapa sanaa hapa utaongeza heshima ya kiume na kuona sabuni na mafuta sio saizi yako. N:B Bado kasi ya maambukizi ya VVU ipo juu, CHEZA SALAMA.
180501-men-masturbate-better-lovers-01.jpeg
 
Back
Top Bottom