Morgan james
Member
- May 21, 2012
- 28
- 1
Jaman nina ndugu yangu anapenda cana hizo mambo nimemshauri aache but anacema hyo mambo ndo inamfanya apate raha kuliko hata ku du na mwanamke co naomben michango jaman nimcaidiaje.
===
Same Cases
MAONI YA WADAU
===
Same Cases
Nimekuwa nikisumbuka kuaacha mchezo wa kujichua kwa mda sasa ni kama miaka 3 najichua mchezo huu nilifundishwa na ndugu yangu alf nilivyoenda bafuni siku ya kwanza na ya pili nilisahau kwa kuwa sikuwa naufanya ila siku ya tatu nilikumbuka na nikatest ilikuwa tamuchungu kiukweli sikuwa napenda kuoga wakati ule nlikuwa napita hata siku tatu sijaoga lkn toka nianze ule mchezo nilianza kuogamara tatu kwa siku.
Kwa kuwa mi nimtundu na simu nikaja kuona google punyeto ya mafuta nkajaribu nikaona nayo fresh nilivyoona madhara nikaona ngoja nipige ya mwisho alf niache lkn toka siku hiyo ni kitenda wil nimeshidwa nikaja kugundua punyeto ya ndani kwa kuwa nda mwingi niko alone naipigaga najaribu kwa mda mrefu kuacha kunakipindi nilikaa
Miezi mitatu bila kupiga lkn wapi nikaludi chaputa nilipiga punyeto tarehe1/9 lkn jana nimeshindwa kujinzuia nikapata moja baridi pia leo asubuhi nanacho jizuia ni kupiga mara mbili au zaidi kwa siku mawazo yangu yametawaliwa na ngono tu
Msaada plz
Ahsanteni.
MAONI YA WADAU
Anyway pole sana dogoo, sijajua umri wako ila i bet unaweza ukawa teenager au early 20's. Hilo tatizo sio geni sanaa na naamini 90% ya wanaume wengi tumepitia huko au kupata tabu kuacha huo mchezo.
Nakumbuka enzi zangu za high school uboizini kushtua hata mara tatu kwa siku ilikuwa jambo la kawaida sana ila mchezo ulikuja kuisha kipindi cha University, sikuona sababu ya sabuni wakati watoto wazuri kila kona.
USHAURI
Usipende kujiweka mwenyewe mwenyewe sanaa, punguza au achana kabisa na michezo ya kukesha kwenye page za porn zinaongeza sana ushawishi kupiga nyeto, Kama si mtu wa michezo, ebu anza sasa kuuchosha mwili wako na mazoezi hutopata muda wa nyeto.
Najua kwa umri wako inaweza ikawa ngumu kupata "papuchi" mwanamke wa kusex nae mara kwa mara lakini nakushauri ukipata demu chapa sanaa hapa utaongeza heshima ya kiume na kuona sabuni na mafuta sio saizi yako. N:B Bado kasi ya maambukizi ya VVU ipo juu, CHEZA SALAMA.
View attachment 1218860