Utawezaje kuacha kupiga punyeto?

Utawezaje kuacha kupiga punyeto?

ponyeto ni mbaya kiafya...madaktari wameprove hilo inapunguza nguvu za kiume na asilimia kubwa mbegu yako ya kiume itashindwa kurutubisha ya mwanamke....please acha for your health......mademu wapo wengi
 
kuna moja unaupitisha mkono chini ukiwa umekaa unapitisha chini mguuni afu unatokezea kwa mbele unaikamata bunduki ebanaeeeh ni balaa risasi hufyatuka mpk raha

Du aisee wewe mkali si mchezo,,,eheee na nyingine?
 
ponyeto ni mbaya kiafya...madaktari wameprove hilo inapunguza nguvu za kiume na asilimia kubwa mbegu yako ya kiume itashindwa kurutubisha ya mwanamke....please acha for your health......mademu wapo wengi

mbona mpk watoto tumepata, nguvu hazijapungua tangu tuko tuko sekondari? hakuna mgongo kuuma wala kiuno...
 
ponyeto ni mbaya kiafya...madaktari wameprove hilo inapunguza nguvu za kiume na asilimia kubwa mbegu yako ya kiume itashindwa kurutubisha ya mwanamke....please acha for your health......mademu wapo wengi

sosi please sio unadanganya tu wakati kule JF dr kuna mtaalam wa mapenzi kashauri nyeto ili kuzuia maambukizi ya virus vya ukimwi sasa nani aaminiwe kwenye hilo..

Still loading in these facts..
 
Unjua hii hali hutookea kama mwanaume hawezi kutongoza mwanamke.but ukipata mwanamke hutoweka yenyewe bila dawa yoyote ila sasa utakuwa hujiwezi vizuri kitandani. maana punyyeto huwa ni cha kwanza tu hafu basi. so akili yako itakuwa imezoea hivyo hata kwa mwanamke utafanya kimoja tu afu unateremka kitu ambacho wanawake hawapendi, maana unapomaliza yeye ndo anakaribia kuanza kusikia raha. ila napo kuna jinsi ya kufanya ili uendelee kubaki kwenye gemu muda mrefi ila inahitaji ujasiri kidogo. nitawaambia ikibidi
 
bwana usiache labda nikuongezee na stly mbili

1: chukua nzi kama 6 waweke kwenye kifuko cha icecrem au ubuyu kilichojaa upepo kisha ingiza hiyo dushelele ndani yake then washitue wale inzi design kama unawasha pikipiki na mguu kisha utaona habari yake

2: kitandani pale kwenye godoro (hasa hasa la posho city(dodoma)) toboa kitobo kidogo sana na peni (obama smooth line) kisha weka maji ya moto kidogo na sabuni nyingi ( family ya mche) kisha dumbukiza dushelele, chukulia kama upo na nick minaji back and for mara 36.67 kisha utaona vitu vinatoka mbele ya dushelele.

usiogope hiyo ni faida yako kwa kazi uliyo ifanya
 
Ebu hadithia mtaalamu wa Afrika mashariki na kati...

round ya kwanza yaani mchujo kigezo ilikuwa LONG DISTANCE SHOT,hiyo ilikuwa anayerusha "risasi" mbali zaidi,mashindano yalifanyika ktk jengo la KICC,mwana nilirusha risasi toka jengo KICC mpaka Continental hotel!kama ni dar ni jengo la benjamin mkapa mpaka city garden hotel!nikavuka round ya awali wapinzani wakaanza kunihofia
 
Bro hebu tiririka basi..
Haya mashindano yanasimamiwa na nani??? au ndio ile pool?


mashindano yapo tu kiongozi,siku hizi waganda wanashinda kila siku sijui jamaa wanatumia nini,
naendelea kutiririka

round ya pili ilikuwa kigezo cha POWERFUL SHOT,yaani unaachia risasi nzito,mpinzani wangu mkuu yeye alirusha risasi akatoboa gazeti la daily nation likiwa zimazima bila kuchambua page yeyote

ilipofika zamu yangu nikawaambia walete kioo cha lori scania,nikakoki mtambo mwana nikafyatua "wareno" kwenye kioo cha scania nikatoa cracks kibao,japo lengo langu ilikuwa nikivunjilie mbali kioo lakini nilitisha kwa hiko kiwango nikaingia robo fainali
 
sio utuhadithie tu na picha upost kabisa hapa!tena sio za mnato ziwe zenye mwendo!

we snowhite unadhani mautupu mengine kuyaona ni baraka????

naendelea kutiririka,robo fainali kigezo kilikuwa TRICKY SHOT,yaani unatoa "bujibuji" a.k.a "wareno" a.k.a "risasi" ktk mtindo wowote wa kushangaza!mi niliwachorea ramani ya afrika mashariki,mipaka yote ya nchi,hadi maziwa bila kusahau ziwa nyasa nikawachorea!mashabiki wakataka nipewe ubingwa wangu papo hapo lakini majaji wakasema taratibu zifuatwe yaani nusu fainali na fainali

n.b Bujibuji usiogope hayo makitu wengine tunayaita jina hilo toka kitambo!teh!teh!teh
 
nusu fainali ilikuwa inaitwa SOFT SHOT!yaani unashusha "mzigo" kwa kutumia kitu lainii kabisa,jamaa mmoja alichukua mpira wa maji wa kumwagilia mchicha akamwagia mashine yake mpaka akashusha mzigo,mkali mwingine alitumia style ya nzi,alipaka uji mzito ktk kile kichwa chake cha kule akachukua nzi akamnasisha,nzi alipokuwa anakukuruka jamaa akashusha mzigo

ikaja zamu yangu,niliwajia na bonge la style....niseme nisisemeeeeee?nilonge nisilongeeeeeee?



itikieni basi niendelee
 
naunga mkono hoja mia kwa mia, dah puli tamu sana sana yani mi nikiwa kitanda cha ugenini nateseka sana sipati uhuru wa kupiga puli, ikipita siku 2 sjapiga puli najiskia ovyoo. Nimeanza poli 1997 hadi hivi leo napiga puli,. Nimegundua style mpya sasa ya puli

Hahahahahhaaa! Duh, tangu 1997? Kama ni mtoto ungekuwa umempata angekuwa ana miaka 16 now, duh!! Kweli ni kilema hicho.
 
yani mi kupiga puli siachi na dawa sitaki, asipokuwepo tu mama watoto kwa muda lazima nipige kidogo, ina raha yake tofauti na kula mzigo wa ukweli....raha sana...
wala asiwadanganye mtu eti kuna madhara, yani nimeanza tangu nabalehe mpaka leo lakini hakuna mgongo kuuma wala nguvu kupungua tena ndo nimeongeza kasi hahhahahahaha

Pamoja kiongozi

Masturbation is health..tatizo lake is more psychological...mimi bado natumia hii kitu...ni safe....haina gharama za taxi... na hotel ya kawaida sasa hivi si chini ya 30,000/= acha suala zima la mlo na vinywaji...sasa linganisha na kipato cha wakati huu.... pesa imekuwa ngumu kidogo...

Lakini nataka kuandika kwamba Puli halina shida ...safi...safi sana...haina shida

MAISHA YANAKUWA MAGUMU, CONSIDERING NILIYOANDIKA HAPO JUU PASIPO NYETO
 
nusu fainali ilikuwa inaitwa SOFT SHOT!yaani unashusha "mzigo" kwa kutumia kitu lainii kabisa,jamaa mmoja alichukua mpira wa maji wa kumwagilia mchicha akamwagia mashine yake mpaka akashusha mzigo,mkali mwingine alitumia style ya nzi,alipaka uji mzito ktk kile kichwa chake cha kule akachukua nzi akamnasisha,nzi alipokuwa anakukuruka jamaa akashusha mzigo

ikaja zamu yangu,niliwajia na bonge la style....niseme nisisemeeeeee?nilonge nisilongeeeeeee?



itikieni basi niendelee
 
mi nikawaambia walete bikini/thong moja ya ukweli,ikaletwa,nikaiangalia kwa uchu na hisia,nikaishika huku nimenyoosha mikono nikawa naisogeza karibu ya mashine taratibu,kabla haijagusa mashine wazungu haoooooooooooo!ukumbi ukalipuka kwa shangwe!nikaingia fainali na jamaa mmoja wa Kenya anaitwa Odongo!jamaa naye mkareeeee!mashine yake ina magamba magamba kwa kupiga puri!(sio puli)
 
FAINALI:ODONGO VS MIMI

QUANTITY SHOT:hapo ngoma ilikuwa ujazo wazee,piga bao nyingi utakazo mpaka useme basi,ilikuwa kujaza vikombe vya kahawa!Odongo sitamsahau,ilikuwa kama penati piga nipige lakini kwetu ilikuwa jaza nijaze,Odongo alijaza vikombe 12 vya kahawa bingwa wenu nilijaza 13 nikabeba taji!

nimemaliza,kuna maswali?
 
Back
Top Bottom