Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,330
- 17,857
halafu wewe naona unataka kuwa ka IMA MBASHA EEH?
Hahahahahahaha mahaba niue
halafu wewe naona unataka kuwa ka IMA MBASHA EEH?
we atoto kuwa uyaone huyu mwenyewe kutwa na michepuko Vaislay mwenyewe katangaza wazi wazi kwamba Kaizer ni mchepuko wake sasa mi nifanyaje? mnataka mi niwe kwenye njia kuu peke yangu? hata tairi likipata pancha nani atanisaidia? na mie nabanana na michepuko kama kawa...aftaolu mi sijui ka Nyalotsi ni me.
Natamani nikufananishe na yule
mume wa yule mheshimiwa.
Haya njooni tusemezane, asema Bwana. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu nami nitazisafisha muwe weupe kama Sufi.
Neno hilo kutoka maandiko matakatifu, laweza kuwa utangulizi wa jitihada za kuwasaidia.
Katika hili Flora ana nafasi ya kuibuka shujaa, kama atatangaza kumsamehe mume wake. Atakuwa amemfuata vyema Yesu anayemhubiri (aliwasamehe wauaji wake), Papa John Paul II (alimsamehe aliyempiga risasi, Moses Kulola babu wa Flora (alimsamehe Kakobe)na Hillary Clinton (alimsamehe Bill Clinton na Lewinsky)
Yaani kubakwa kunamalizwa kifamilia????
I see
hv dada DEMBA? kweli hv ndivyo mama alitufunza? mpaka aende kwa mchepuko ww ulikuwa wapi, kwahiyo hapa kisasi ndio suluhu yako sio! mwanamke kamwe hashindani na mwanaume,hubaki njia kuu akimuombea mumewe na kujitahidi kurekebisha lile lililomfanya akachepuka ili asichepuke tena
yaani nilichotaka kukwambia ukamwambie dadako umeshamwambia apo juu🙂
Mentor umeona shemeji mie siungi..? Mbona wamkabidhi Vin Diesel mai waifu wangu jamani..?
Namtambua charminglady kama my number one girl...hao wengine walishanitoka
Habari za Paloma muulize sosoliso
jf kuna mambo loh sasa hiyo picha ya nn tena inaonekana umependahahahahhahah kusutwa suna